Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I'm gobsmacked!!
Sishangai sana kwani hata katika Ustaarabu Kihistoria barani Afrika ulianzia hasa nchini Ghana.
Sishangai mno kwani hata Siasa bora na Demokrasia iliyokomaa Barani Afrika ilianzia nchini Ghana wengine wakaiga.
Vile vile sishangai zaidi kwani hata Wasoni wengi na Watu Wetevu (Intelligent) Barani Afrika wako nchini Ghana.
Hatimaye leo hi Taifa la Ghana limethibjtisha kuwa halina Upuuzi, Siasa, maneno mengi na Ushamba kwa kuwa Taifa la Kwanza Barani Afrika lililothubutu na kufanikiwa Kuwarudisha Raia wake kutoka nchi Mbili zenye Mzozo wa Kivita za Ukraine na Urusi (Russia)
Mataifa mengine wakati Raia wao wakiwa Wanateseka, Wanabaguliwa na Kuhangaika sana Viongozi wao Waandamizi na Raia wao tokea Juzi, Jana na Leo wako busy Kushangilia na Kujisifu kwa Bendera yao Kupandishwa Dubai (Jengo refu Duniani) na muda wote Wanahimizana tu Kujimwambafai Mitandaoni na Redioni bila kusahau hata Runingani.
Natamani sana atokee tena Kiongozi mwingine (nchi Kubwa na Matajiri) huko Ulaya, Marekani, Mashariki ya Kati na hata Asia kama ambavyo aliwahi kufanya aliyekuwa Rais wa Marekani Mtukutu Mwerevu na Tajiri Donald Trump atunange Waafrika (tena wa nchi fulani moja hivi na Bibi Bomba wao) kuwa hatujitambui, hatujui Kufikiri, Washamba na tunachojua ni Kungonoka, Kuzaana, Uchawi, Majungu, Wivu na kulewa Pombe na Gongo.
Yaani Bendera imewekwa (tena kwa Kunakshiwa Kiteknolojia) na Waarabu waliotuzidi Akili kwa Shinkizo la Bibi Bomba na Pesa ya Ganji aliyowapa ili tumsifu Kiutendaji huku walioweka hiyo Bendera wskihakikishiwa kwenda Kuinyonya nchi kwa Mgongo aa Uwekezaji na percent fulani wanampa Bibi Bomba akawekeze Babarini Kwao Watu wanashangilia.
Taifa likikosa Critical Thinkers ni Hatari.
Hahahahaha,dah nimecheka sanaSasa kama Watu ( hasa wenye Tamu zao ) wamesikika BBC Dira ya Dunia wakilalamika kuwa hawana Chakula, Blanketi na sehemu za Kulala unadhani Wazungu wa Poland na Romania 'hawatajisevia' tena kwa 'bwerere' tu kabisa Mkuu?
Wamekanusha,hakuna ndege iliyotumwa.Ndege zingekuwa zinaruhusiwa kutua Kiev nina uhakika mpaka muda huu watanzania wote wangekuwa wamekwisha kuondoka.
Yanayotokea Ukraine ni tofauti kabisa na yanayotokea Dubai. Ndege ipo Poland wanafunzi wameambiwa wafanye wawezalo wafike hapo ili iwachukue na waweze kurudi nyumbani.
Kukosoa ni kazi nyepesi sana, kila mtu anaiweza.
Haya haya kama kwetu tu huku