Mimi napenda shoo kama hizo sio zile za kuadhibiwa ..Yaan wasanii wa bongo wanatakiwa wawe wabunifu kwa upande wangu siend shoo ya kibongo hata bure ila music na video zao napenda ila ktk shoo hamna jipya said ya kuonyesha mavaz na kufuatilia cdHapo ndio wanakwama wasanii wetu...Angalia show akipiga meek mill au 2chainz unawekewa mzigo juu ya mzigo mpaka unafurah..hakuna mikono juu
Nipo kwa mbaaaali, nasubiri kuzoom povu la omo litaloletwa kama majibu...Hivi hizo show zikiishaga
Vinatuletea viwanda vingapi?????
Ova
HahahaNipo kwa mbaaaali, nasubiri kuzoom povu la omo litaloletwa kama majibu...
Weka mziki mwanzo mwisho sasa mtu kila muda mikono juu mikono juu mpaka muda unaishaNimeona akina mboso na lava lava walivyokosa mwelekeo baada kupewa muda mfupi .walixoea wasemeshe watu na kuwaimbisha!
Kwangu walioperform vyema ni wageni wetu ,twanga na academia,bi kopa ,prof feruzi chid haroun na nature wasaf wameniangusha
unafiki kama upi?Acha unafiki dogo tunakujua
Ndie mwenye Hisa kubwa kuliko wengine lakin sio mmiliki pekeeMk
Mke wa Kusaga si yo mmiliki pekee wa Wasafi Media. Yeye ni majority shareholder tu. Anao wamiliki wenzake wawili ambao nao ni wanahisa.
Tunaita mwanzo mzuriShow moja tu mnafananisha na Fiesta?fanyeni miaka kumi mfululizo
Show zinawatosha kabisaMnanunua kazi zao!?au ndo wategemee show!?