Wakati wasanii wetu wanafanya show na wanasiasa, Davido apiga shows na 50 Cent na Chris Brown

Wakati wasanii wetu wanafanya show na wanasiasa, Davido apiga shows na 50 Cent na Chris Brown

Niwe na multiple ID ili iweje? Au namuogopa nani?

Tatizo lako hupendi kupingwa ,kujibu hoja za wenzio,umeulizwa maswali hujajibu,ila unapenda watu wajibu hoja zako.

Kuna thread yako moja nilichangia nilikuuliza maswali zaidi ya kumi hukunijibu zaidi ya kurukaruka na ndio maana hata ulivyonitag asubuhi sikutaka kuchangia sababu najua una akili ndogo.

Hizo comment zote nilizo like jamaa wapo sawa,tatizo hujui alafu ubaya zaidi HUJIJUI KWAMBA HUJUI.Usiku mwema ,ila sitochoka kulike 😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎.

Hahaha!!! Karibu sana Bi Chau.

Nyie ndiyo mnashikilia mapepo ya ujinga yanayoendelea kusumbua vijana wa kitanzania. Mkiona mtu anataka kuwaelimisha na kuwainua mnatoa makucha yenu kuwabakiza kwenye kiza. Kafieni baharini ( Mark 5:10-20)!
 
Hahaha!!! Karibu sana Bi Chau.

Nyie ndiyo mnashikilia roho za ujinga zinazoendelea kusumbua vijana wa kitanzania. Mkiona mtu anataka kuwaelimisha na kuwainua mnatoa makucha yenu kuwabakiza kwenye kiza. Kafieni baharini ( Mark 5:10-20)!
😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎 si shangai ndio level yako kufikiri imegotea hapo.
 
😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎 si shangai ndio level yako kufikiri imegotea hapo.

Mbona unasahau kutumia hizo ID zingine kulike post za ID hii? Na mimi mbona unanibania likes au unaona nitafaidi sana?

Kama nilivyowaamuru, nendeni mkawaingie nguruwe kama mlivyoomba halafu mkafie baharini (Mark 5:10-20).

Nilizaliwa Ijumaa ila usidhani ni Ijumaa iliyopita!
 
Mbona unasahau kutumia hizo ID zingine kulike post za ID hii? Na mimi mbona unanibania likes au unaona nitafaidi sana?

Kama nilivyowaamuru, nendeni mkawaingie nguruwe kama mlivyoomba halafu mkafie baharini (Mark 5:10-20).

Nilizaliwa Ijumaa ila usidhani ni Ijumaa iliyopita!
😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎
 
Nilikujibu kukupa heshima kama mchangiaji ila nikakujulisha tubaki kwenye hoja ya msingi. Sijashindwa kudefend jambo lolote, usilazimishe.

Wawili au watatu mnaong'ang'ania upuuzi mnaoandika mnasound kama huyo jamaa anayelike comment zenu joseph1989. Multiple IDs?
We jamaa lofa sana!! Mada unaanzisha mwenyewe halafu oh, unang'ang'ania yasiyo na msingi!! Sasa kwanini ulete mambo yasiyo na msingi?

Btw, hivi huoni kabisa kwamba ni wewe ndie unaandika upuuzi?! Unaleta vipi hoja kisha watu wanakuuliza unadai hiyo haina msingi?!! Kwanini ulete hoja isiyo na msingi kama sio uzwazwa?! The problem unadhani upo smart kumbe hamna kitu!

Jibu maswali niliyokuuliza, maswali ambayo yametokana na hoja yako mwenyewe... acha kuruka ruka! Anza na lile dogo, ni akina nani hao wanaotamani kutoka kupitia Series ya Power?!
 
Mbona unasahau kutumia hizo ID zingine kulike post za ID hii? Na mimi mbona unanibania likes au unaona nitafaidi sana?

Kama nilivyowaamuru, nendeni mkawaingie nguruwe kama mlivyoomba halafu mkafie baharini (Mark 5:10-20).

Nilizaliwa Ijumaa ila usidhani ni Ijumaa iliyopita!
Kumbe uliandika kutarajia upate Likes? Kwahiyo hata kama umeandika utumbo bado ulitarajia upewe likes kwa utumbo ulioandika?!
 
Mie nadhani ni management,hao akina Salah hawangaiki kum promote Diamond huko kwa Trump ama Uk...badala yake wanatafuta ki stratergically wasanii wa Africa kufanya Kolabo, Wangejua sometimes wangejifunza kutoka kwa wasanii kutoka mbele kuna wasanii walivuma na baadae wakapotea kwenye Music,kuwa na kipaji haimaanishi utaimba forever,it is talent when meet with good management ndio itakufanya ubaki juu... mimi ningekua manager wake Dai ningehakikisha anakua busy throughout the year, ma collabo ya kufa mtu😂😂😂😂😊😊😊😊, huwezi kujua after five years hutokua na nguvu tena ya kusimama jukwaani, so make the most while you are at it....
 
Baada ya maelezo yooote niliyotoa, umeng'ang'ania mambo yasiyo ya msingi na somo lenyewe halijakuingia unaendelea kushikilia ujinga wako.

Ungekuwa darasani, bakora zingekuwa zinakuhusu.
Sio nimeng'ang'ania endelea kuwatukuza mabahasha wako wa kimarekani.
 
Bodi ya Wakurugenzi ya Uzi huu inawaomba radhi ndugu wasomaji. Tulivamiwa na viwawi jeshi wachache na mmoja anayetumia Multiple IDs.

Tumeweza kulitatua tatizo hilo na tunaendelea na program zetu kama kawaida.
 
Power siyo Show ya 50cent sijui kwanini watu mnafiria hivyo. 50cent alishirikishwa kwasavabu ana experience ya mtaa na drug business
Binafsi simsikilizi ila 50 bado ni msanii mkubwa sana. Usishangae siku kumuona Davido kwenye TV show ya Power. Unajua kuna wasanii wangapi DUNIANI wanaweza kuwauza mama zao kupata nafasi ya kuperform na 50 Cent?

Chini hapa ni show ya 50 Cent ambayo Davido alitokea.

 
Mimi ni mtu ninayeamini kuwa changamoto kubwa katika sanaa ya Bongo inaanzia kwa wasanii wenyewe ingawa serikali inachangia sana kwa kiwango kikubwa kuwadumaza, na hii sidhani kama wanasiasa wnafanya kwa bahati mbaya.

Hivi karibuni niliwahi kuleta uzi hapa nikimkosoa Diamond kwa mambo kadhaa, kuna watu wakanishambulia sana kuwa nina chuki binafsi. Ukweli mimi sipo kwenye 'team' yoyote, I just like good entertainment haijalishi ni nani. Ningependa niwaone Diamond, Ali Kiba, Darassa, Harmonize na wengine wanapiga shows MSG na Las Vegas. Ule uzi niliuleta ukiwa nusu ni utani lakini kuna mawazo ya msingi niliyotaka kuwayasilisha. Watu waliuchukulia too serious!

Kuna changamoto kubwa sana katika kushindana na wasanii wa Nigeria katika muziki. Ukiacha suala la uwekezaji mkubwa waliyofanya kwenye industry yao tofauti na sisi, lakini kuna suala la ukaribu kufika Marekani kutoka Nigeria (kwa maana hiyo gharama ziko chini). Wakati sisi tunakwenda Afrika Kusini kurekodi audio na video, wao wanakwenda Marekani.

Pia Sina uhakika mfumo wao wa usambazaji uko vizuri kiasi gani ila ninachojua kuna Wanigeria wengi kwenye vyombo mbalimbali vya entertainment na wanasaidiana kweli kuanzia fursa za shows zinapojitokeza, kutengeneza programs wanazoziita za muziki wa Afrika lakini kiukweli wanapiga za kwao tu, nk. Hili nakumbuka kumsikia Vanessa Mdee akiliongelea. Kuna kazi kubwa ya kufanya kwenye hili suala.

Pia binafsi sidhani kama ni mbinu nzuri kwa wasanii wetu wakubwa kujaribu kufanya kazi na wasanii wakubwa wa Marekani kama Rick Ross, Omarion. Ukiacha faida za kinyumbani za kufanya hivyo (kupata deals za Vodacom, Tigo na ASAS Dairies), sioni hili likiwasaidia kimauzo huko nje wala kuongeza kujulikana kwao. Tusiwaige kina Davido na Wiz Kid, wao wana mikakati yao, na sisi inabidi tuweke ya kwetu.

Kwa maoni yangu, wasanii wetu wangejikita kufanya kazi na underground artists wa nje (kuna ambao wana fans kibao online ila hawasikiki kwenye mainstream media na wanafanya shows nyingi). Nakumbuka Sugu aliwahi kufanya collabo na wasanii fulani underground wa Marekani. Hii kitu inabidi iwe endelevu ili iwe na matokeo chanya. Mdogo mdogo tukifanya hivyo, kwanza itawajengea wasanii wetu ufahamu fulani, network, ubunifu na asikwambie mtu hot tracks zinatengenezwa kwenye studio za kitaa. Wasanii wengi wakubwa wananunua na kuiba nyimbo na styles zilizotengenezwa na wasanii wa underground. Huko ndiyo kwenye ubunifu hasa na watu wenye njaa.

Kingine kujikita kutafuta fursa za kufanya shows kwenye festivals mbalimbali duniani. Hii ni fursa kubwa sana ambayo wasanii wangekaa chini wakaifanyia kazi. Inabidi kutengeneza Swahili Movement itakayoanzia chini chini isambae taratibu halafu ifike siku sisi ndiyo tuwe watu waku set trends kwenye muziki wa Afrika badala ya kuwa watu wa kuiga tu.

La mwisho, hakuna haja ya kuiga umarekani si katika uvaaji wala uimbaji. Inabidi tuwe na utambulisho wetu. Sishauri turudi kuvaa majani na kucheza miguu peku kama kina Mrisho Mpoto, ila tunaweza kuja na vitu fulani tofauti vitakavyotutofautisha na wanigeria na tamaduni zingine. Tuna makabila zaidi ya 100, kuna madini mengi sana ya sauti, beats, rhythm, choruses, uchezaji hadi fashion ambayo bado kabisa hatujayachimbua.

Tujadiliane kwa ustaarabu, leo sijamshambulia mtu.

Pointless kabisa.
Unasema haujamshambulia mtu lakini its all about SIMBA juu
sijui kwa nini mnapenda kulazimisha Ali Kiba awe level moja na Daimond---ni kama umlinganishe Ronaldo na Kagere
Shows za nje SIMBA mwaka huu amepiga za kufa mtu..hapa huna point pia
Collabo na heavy weights zimempatia SIMBA views na followers wengi sana - na akapiga mpunga mrefu...Hata mtu asiye na akili kabisa boya hawezi kukuelewa eti mtu atoke Tanzania akafanye collabo na underground USA?? hopeless
Mkuu umeandika pumba sana hapo juu...mi sina team!
 
Mbona suala la wasanii kutumia vyama vya siasa kama sehemu ya kujipatia kipato hilo nalo kwa nini haujalitolea ufafanuzi??
 
Back
Top Bottom