"Wakati watu wanalia kuhusu kikokotoo nilikuwa naona kawaida, sasa nimeona ukali wake" Mtumishi aliyeambulia 10M baada ya kustaafu miaka 33 Magereza

CGP kirefu chake nini?
Commissioner General of Prison

Ndio mkuu wa magereza kama alivyo mkuu wa polisiCCM IGP.

Hawa huwa hawaumii na wanachofanyiwa wa chini yao maana huwa ni sehemu ya wakandamizaji hivyo ili wasiwashe moto wanapostaafu hulipwa posho nono na kuendelea kutunzwa ,kupewa nafasi za kimaamuzi kwenye bodi mbalimbali au ubalozi.
 
Ahaa sawa, kuna siku niliona Vieitee ina Plate number CGP, nikashindwa kuitambua halafu ilikuwa na escort
 
Kwani Askari magereza hawapati Ile pension ya kila mwezi baada ya hizo hela za mkupuo?
Hiyo fedha ya kila mwezi watumishi hatuitaki wapewe wanasiasa wanaolipwa pesa nyingi maana tayari wanastaafu wakiwa na Daladala, lodge, fremu Kariakoo n.k.
Sisi tunataka huge cash ili tufanye jambo tuliloshindwa kufanya tukiwa watumishi kwa miaka mingi.
 
Ngoja niwaite timu chawa waje watie neno maana nyuzi kama hizi huwa hawazioni..
Lucas Mwashambwa,
Tlaatlaah
 
Thank,
Nilijua CCM ni wezi tangu 2005,nikahapa sitalipa Kodi ya PAYE, namshukuru Mungu,
Niliona Bora nijiajiri kuliko kuibiwa
 
Ngoja niwaite timu chawa waje watie neno maana nyuzi kama hizi huwa hawazioni..
Lucas Mwashambwa,
Tlaatlaah
analia kwa Furaha baada ya kukunja 21m at once ambayo haijawahi kuishika, analia kwasabb kachelewa kuzipata hizo 21m kwa sababu mbalimbali au analia kwa sababu fedha alizopata ni kidogo kutokana na kiasi kingine kulipa deni alilokopa na kumsaidia mwenye? au analia kwa Furaha kwasabb kiasi kilichobaki kitamsadia kwa muda marefu pole pole kidogo kidogo πŸ’

na umejuaje analia kwa miongoni mwa sababu hizo hapo juu? wewe ni nani wake kwanza πŸ’

aulizwe vizuri, huenda ana matatizo mengine binafsi makubwa zaidi, lakini Sheria hii haibagui cheo au nafasi ulioko. Sheria ni msumeno yeyote atakaestaafu atafuata sheria ya kikokotoo iliyopo πŸ’
 
Karibu uraiani kamanda πŸ˜„
Au unasemaje Tlaatlaah
Watu wana sulubika bana

Ova
mimi baada ya kutoka hapo kati....

huwa niko mtaani kabisa , tena kijijini ndani ndani kabisa huko kwa wanainchi. Na wapo wastaafu hapo wanaenjoy mno mafao yao kwa kikokotoo hikihiki na kwakweli wanaishukuru sana bunge na serikali kwa sheria hii ya mafao. Hata wale waliostaafu mwanzo, pia wanafurahia marupurupu yao bila tashwishwi yoyote πŸ’

so,
huyo inawezekana ana matatizo mengine binafsi zaidi ya hayo mafao....
 
Poleni

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…