Wakati watu wanatafuta uzima wa milele, wao wanaitafuta CHADEMA

Wakati watu wanatafuta uzima wa milele, wao wanaitafuta CHADEMA

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Kwa mtazamo wangu, kuchoma ofisi za CHADEMA, lengo ni kuwa-prove CHADEMA wapandwe na hasira walipize kisasi wapate sababu ya kuishughulikia CHADEMA.

Nasema hivi kwasababu, ikitokea ofisi za chama fulani zimechomwa moto, baai CHADEMA watashukiwa kama mwewe na wale walio kimya wakati ofisi za CHADEMA zinachomwa moto, mtawasikia wakitoa matamko ya kulaani na kuchukua hatua.

Walishindwa katika hili, Plan B inaweza kuwa ni wahusika kuchoma ofisi zao wenyewe na kusingizia wengine ili wapate sababu.

Wanaoita watu magaidi, wao ndio magaidi na majambazi wakubwa.

Wenzenu wanautafuta uzima wa milele, nyinyi mnayatafuta ya dunia ikiwemo CHADEMA.

Pathetic creatures

Yana mwisho.
 
Kuchoma ofisi za CHADEMA lengo ni kuwa-prove CHADEMA wapandwe na hasira walipize wapate sababu ya kuwakama na hata kukifuta CHADEMA.

Nasema hivi kwasababu, ikitokea ofisi za chama fulani zimechomwa moto, baai CHADEMA watashukiwa kama mwewe na wale walio kimya wakati ofisi za CHADEMA zinachomwa moto, mtawasikia wakitoa matamko ya kulaani na kuchukua hatua.

Walishindwa katika hili, Plan B inaweza kuwa ni wahusika kuchoma ofisi zao wenyewe na kusingizia wengine ili wapate sababu.

Wanaoita watu magaidi, wao ndio magaidi na majambazi wakubwa.

Wenzenu wanautafuta uzima wa milele, nyinyi mnayatafuta ya dunia ikiwemo CHADEMA.

Pathetic creatures!

Yana mwisho.
Mods unganisheni huu Uzi na ule wa awali maana wanatujazia sever tu
 
Kwa mtazamo wangu, kuchoma ofisi za CHADEMA, lengo ni kuwa-prove CHADEMA wapandwe na hasira walipize kisasi wapate sababu ya kuishughulikia CHADEMA.

Nasema hivi kwasababu, ikitokea ofisi za chama fulani zimechomwa moto, baai CHADEMA watashukiwa kama mwewe na wale walio kimya wakati ofisi za CHADEMA zinachomwa moto, mtawasikia wakitoa matamko ya kulaani na kuchukua hatua.

Walishindwa katika hili, Plan B inaweza kuwa ni wahusika kuchoma ofisi zao wenyewe na kusingizia wengine ili wapate sababu.

Wanaoita watu magaidi, wao ndio magaidi na majambazi wakubwa.

Wenzenu wanautafuta uzima wa milele, nyinyi mnayatafuta ya dunia ikiwemo CHADEMA.

Pathetic creatures!

Yana mwisho.
Wao ni zaidi ya magaidi na maharamia ,Kwa haya wayafanyayo si poa kabisa.
 
Dawa ya Moto ni moto tu ccm hawana Cha mambo ya dini dini
 
Kwa mtazamo wangu, kuchoma ofisi za CHADEMA, lengo ni kuwa-prove CHADEMA wapandwe na hasira walipize kisasi wapate sababu ya kuishughulikia CHADEMA.

Nasema hivi kwasababu, ikitokea ofisi za chama fulani zimechomwa moto, baai CHADEMA watashukiwa kama mwewe na wale walio kimya wakati ofisi za CHADEMA zinachomwa moto, mtawasikia wakitoa matamko ya kulaani na kuchukua hatua.

Walishindwa katika hili, Plan B inaweza kuwa ni wahusika kuchoma ofisi zao wenyewe na kusingizia wengine ili wapate sababu.

Wanaoita watu magaidi, wao ndio magaidi na majambazi wakubwa.

Wenzenu wanautafuta uzima wa milele, nyinyi mnayatafuta ya dunia ikiwemo CHADEMA.

Pathetic creatures

Yana mwisho.
Na hili zoezi linasimamiwa vizuri na CCM + CCM B hapo wamekaa kwa kuvizia
 
Wao uzima wa milele walishaupata sasa wanatafuta utawala wa milele...
 
Màgufool kawafundisha ccm siasa za kijambazi sana kwa sababu ya hasira za kukataliwa na baba yake
 
Back
Top Bottom