Labda kanusa na yeye anataka kuwa pre empty mjanja sana huyo jamaa.....Prof.Mkenda atabadilishwa hivi karibuni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kanusa na yeye anataka kuwa pre empty mjanja sana huyo jamaa.....Prof.Mkenda atabadilishwa hivi karibuni.
acha porojoUtoto gani unaouzungumzia? Wanasema watu wenye Cheo cha juu kwenye Nchi hii ni Rais akitoka Rais anakuja Katibu wa Rais sio makamu wala Waziri Mkuu wala Naibu Waziri Mkuu yaan Katibu wa Rais ana cheo kikubwa
Labda kanusa na yeye anataka kuwa pre empty mjanja sana huyo jamaa...
Haponi huyo ukizingatia ni mchaga na mgalatia...atakuwa ameteleza tu.
..Na nadhani kuteleza huko ndio kutapelekea atumbuliwe.
Ni jambo la kawaida muhutubiaji kupewa maagizo na waratibu wa hafla kuhusu kutawala muda. Mara apokeapo maagizo hayo, hufanya marekebisho yanayotakiwa kimyakimya bila haja ya kutangaza kwa hadhira.Bado nasisitiza Ikulu Kuna changamoto Hasa huyu msaidizi wa Rais analeta mno Uzanzibar Zaidi,
Uwezi amini wakati Mh proffesa Mkenda, anahutubia alipofika hatua ya kusema changamoto walizokutana nazo alipo tamka yakuwa alimtafta Muda MREFU paspo MAFANIKIO na alipofanikiwa alipewa mida wa masaa mawili TU ghafla alitokea mtu pembeni ambae nae ni msaidizi wa msaidizi wa Rais
Akampelekea KIMEMO kilichokuwa kimeandikwa "hacha porojo toa hutuba"
Waziri nae akausoma mchezo yakuwa mambo yake Yale yaliendelea ndiooo alipo mjibu yakuwa "ndo nautubia hapa"
Nakubaliana na weweHuyu mama tuwe naye makini atatuuza huyu
Hivi ni kweli Waziri alilalamika kwenye —public kwamba alipata tabu ya kumuona Rais? Weka clip hapa tusikie...Prof.Mkenda atabadilishwa hivi karibuni.
Mama sio mbara, anachamba ile mbaya, Sisi wasafwa hatujui michambo Saudi ya kulima viaziHuyu mama tuwe naye makini atatuuza huyu
Soma hotubaa
acha porojo
Waziri Rajabu msaidizi wa rais code yake ndio mapete kutokana na kuvaa mapete mengi ya majiniPete,mikufu,bangili..kwa hao wakubwa ni hirizi
Ni jambo la kawaida muhutubiaji kupewa maagizo na waratibu wa hafla kuhusu kutawala muda. Mara apokeapo maagizo hayo, hufanya marekebisho yanayotakiwa kimyakimya bila haja ya kutangaza kwa hadhira.
Kama ni kweli Waziri wa Elimu alipokea kimemo cha kushauriwa aharakishe hotuba yake; halafu akajibu hadhira kwamba “ndiyo nahutubia”, basi Waziri ana changamoto ya itifaki na busara.
Haponi huyo ukizingatia ni mchaga na mgalatia.
Hivi ni kweli Waziri alilalamika kwenye —public kwamba alipata tabu ya kumuona Rais? Weka clip hapa tusikie.
Tanganyika sisi ni mabwege na mabogazi sana hivi mtu anasapoti utawala wa kijinga kisa uchawaNakubaliana na wewe
SikupingiTanganyika sisi ni mabwege na mabogazi sana hivi mtu anasapoti utawala wa kijinga kisa uchawa