Sammuel999
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 3,481
- 2,347
Tanzania Air iliingia ICU 1976 ikafaa miaka michache baadayeWanapenda sifa tu.
KQ ipo ICU lakini wanatuonyesha picha za ndege!
Hata Rwanda Air, ikiingiliwa kisiasa au wakiomba mikopo hovyo , itakufa haraka.
KQ Ilikuwa ICU 2004
2008
2010
2011
2012
2013
2014
2015
LETA mada ya 2016 tuone kama bado iko ICU
na jua kenya kuna airline 12
Kq Ni moja tu
Precision Air huko Tanzania pia ni ya Kenya