Wakati Yanga SC ombaomba, Simba SC inapaa

Wakati Yanga SC ombaomba, Simba SC inapaa

Kwa vyovyote vile Simba wako on the right track japo wamechelewa. So far nadhani ndio timu yenye vyanzo vingi vya mapato vinavyoeleweka ingawa bado mapato yenyewe ni kiduchu kulinganisha na matumizi.

Kupata milioni 512 nje ya mapato ya uwanjani na ufadhali wa Sportpesa sio kitu cha kudharauliwa na mtu. Hakika niaminini Simba inaelekea mahali kwa kasi ya tofauti na kipindi cha nyuma.

Yanga walifaidika na pia kulemazwa sana na ufadhili wa Manji, ambae by default yeye ndio pia alikuwa ana-regulate move zote za kuanzisha vyanzo vipya vya mapato. Ashukuriwe Mungu katokea SportPesa wakati huu otherwise kishindo cha mtikisiko kisingevumilika.
 
Kwa vyovyote vile Simba wako on the right track japo wamechelewa. So far nadhani ndio timu yenye vyanzo vingi vya mapato vinavyoeleweka ingawa bado mapato yenyewe ni kiduchu kulinganisha na matumizi.

Kupata milioni 512 nje ya mapato ya uwanjani na ufadhali wa Sportpesa sio kitu cha kudharauliwa na mtu. Hakika niaminini Simba inaelekea mahali kwa kasi ya tofauti na kipindi cha nyuma.

Yanga walifaidika na pia kulemazwa sana na ufadhili wa Manji, ambae by default yeye ndio pia alikuwa ana-regulate move zote za kuanzisha vyanzo vipya vya mapato. Ashukuriwe Mungu katokea SportPesa wakati huu otherwise kishindo cha mtikisiko kisingevumilika.
Hayo mapato ya 500m mbona kwenye mikutano ya wanachama huwa hayaonyeshwi, hiyo 300m ya kodi ipo tangia enzi za Rage sio kitu kipya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo mapato ya 500m mbona kwenye mikutano ya wanachama huwa hayaonyeshwi, hiyo 300m ya kodi ipo tangia enzi za Rage sio kitu kipya

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuhusu kutokuonyeshwa kwenye kwa mapato ya 500 m mikutano ya wanachama sina hakika maana sijawahi kuhudhuria. Kumbe huwa mnasomewa pungufu?

Kodi ya 300 ipo tangia enzi za Rage so what? Kwani enzi hizo si bado ilikuwa Simba ileile kama taasisi?
 
Kwenye mapato ya jezi Ni wizi was wazi Kama Kila jezi ni sh 10000 Ina maana Ni jezi 36000 tu zitauzwa Kama mbeya city yenye washabiki wachache inauza jezi inapata karibu milioni 30 happy tunadanganyana mapato yalitakiwa kuwa bilioni kadhaa maana Simba Ina mashabiki nchi nzima
 
Back
Top Bottom