Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa
Wakati sisi yanga tukisema asante Mungu mwokozi wetu maana wewe unatoa ukitakacho na unatoa kwa utakaye na wakati utakao
Pia tunaendelea kumwambia Mungu kuwa yeye ndo Alpha na Omega na anayestail kuabudiwa na kutukuzwa
Wenzetu simba wanasema asante sana mwanamama jonisia rukia tunakushukuru sana kwa mbeleko yako ya leo
Hakika bila wewe mwanamama leo ilikuwa ni Aibu kuu, tunakushukuru mama rukia jonisia
Dah dua ya simba daima itaendelea kutukuza watu huku sisi Yanga tukimutukuza Mungu aliye juu
Kumbuka pia wanavyo mtukuza moo
Dah hakika simba ni Muukundu wa msimbazi
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati sisi yanga tukisema asante Mungu mwokozi wetu maana wewe unatoa ukitakacho na unatoa kwa utakaye na wakati utakao
Pia tunaendelea kumwambia Mungu kuwa yeye ndo Alpha na Omega na anayestail kuabudiwa na kutukuzwa
Wenzetu simba wanasema asante sana mwanamama jonisia rukia tunakushukuru sana kwa mbeleko yako ya leo
Hakika bila wewe mwanamama leo ilikuwa ni Aibu kuu, tunakushukuru mama rukia jonisia
Dah dua ya simba daima itaendelea kutukuza watu huku sisi Yanga tukimutukuza Mungu aliye juu
Kumbuka pia wanavyo mtukuza moo
Dah hakika simba ni Muukundu wa msimbazi
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app