Kuwa mkweli. We si shabiki wa Lipuli bali ni shabiki wa Mbumbumbu a.k.a wa mchangani fc.Yanga pamoja na kujiita wa kimataifa hadi wakati huu ninapoandika Uzi huu hawana kiwanja zaidi ya kumiliki bwawa LA kufugia vyura pale jangwani. Sasa wamezidiwa na Kigoma. Kupitia ukurasa wake wa Facebook mbunge wa kigoma mjini bwana Zitto Kabwe ameposti ramani ya uwanja unaotarajiwa kujengwa pale Kigoma
Yanga wa kimataifa jitahidini kwa sababu nadharirisha hadhi yenu ya ukimataifa
By Mshabiki wa Lipuli FC
Binti tulia uzae,kutoa mimba utakufa,ohooooYanga pamoja na kujiita wa kimataifa hadi wakati huu ninapoandika Uzi huu hawana kiwanja zaidi ya kumiliki bwawa la kufugia vyura pale Jangwani. Sasa wamezidiwa na Kigoma. Kupitia ukurasa wake wa Facebook mbunge wa Kigoma mjini bwana Zitto Kabwe ameposti ramani ya uwanja unaotarajiwa kujengwa pale Kigoma
Yanga wa kimataifa jitahidini kwa sababu mnadhalilisha hadhi yenu ya ukimataifa
By Mshabiki wa Lipuli FC
Tunampango wakufugia samaki,Yanga pamoja na kujiita wa kimataifa hadi wakati huu ninapoandika Uzi huu hawana kiwanja zaidi ya kumiliki bwawa la kufugia vyura pale Jangwani. Sasa wamezidiwa na Kigoma. Kupitia ukurasa wake wa Facebook mbunge wa Kigoma mjini bwana Zitto Kabwe ameposti ramani ya uwanja unaotarajiwa kujengwa pale Kigoma
Yanga wa kimataifa jitahidini kwa sababu mnadhalilisha hadhi yenu ya ukimataifa
By Mshabiki wa Lipuli FC
Siyo umbea mmeambiwa ukweliHayakuhusu acha umbea
Hahahahaaha! Kumbeee!Tunampango wakufugia samaki,
Wavamizi wamesha jenga. Bi Hindu Na wafuasi wake kazi wanayoKule Bunju mbumbumbu fc wana ramani mwaka wa 20 huu
Kuna timu inaitwa Kigoma SC inataka kujenga uwanja? Inashiriki mashindano yepi yanayoishirikisha pia Yanga? Na kama ni kushindanisha kwa kukosa kiwanja, kwa nini iwe Yanga tu, kama vile timu zote nyingine zina viwanja vyao? Wa kushindanishwa na Kigoma (mkoa) kwa kujenga uwanja ni mkoa mwenzake: Pwani, Rukwa, Dar, Kilimanjaro, n.k. Wa kushindanishwa na Yanga kwa kutojenga kiwanja ni klabu nyenzake: Simba, Azam, Palison, General Tyre, Nyota Nyekundu, Kajumulo, n.k. Hoja dhaifu kama hii , ya kulinganisha visivyolinganishika, inafikaje kwenye majlisi hii kabambe ya Jamii Forum?Yanga pamoja na kujiita wa kimataifa hadi wakati huu ninapoandika Uzi huu hawana kiwanja zaidi ya kumiliki bwawa la kufugia vyura pale Jangwani. Sasa wamezidiwa na Kigoma. Kupitia ukurasa wake wa Facebook mbunge wa Kigoma mjini bwana Zitto Kabwe ameposti ramani ya uwanja unaotarajiwa kujengwa pale Kigoma
Yanga wa kimataifa jitahidini kwa sababu mnadhalilisha hadhi yenu ya ukimataifa
By Mshabiki wa Lipuli FC