Wakatoliki boresheni Ibada zenu

Wakatoliki boresheni Ibada zenu

Sasa katolik misa moja wageni 50 .....tuwe tunakazi ta kutambulisha wageni ......tena mgeni mwenye mlokole hatuna muda mchafu na kina boni mwaitege .....huo utaratibu ni kilokole ....huku hakuna ....

Tunajali muda ...sali utoe sadaka usitoe utajijua hatuna dhiki ....tuna miradi mingi mashule mahospital ..na mabenk.......

Bila kusahau serikali nayo yetu(hapa nasubiria povu)

Inshort sisi ndo kila kitu katika nchi hii yaani first grade religion afu ndo wanafuata wengine waluther wa anglican afu kwa mbaliiiiiiiiiiiii waislam hao shida elimu hawana
Naona mnajimilikisha na nchi kabisa. Raisi ajaye akiwa mkristo mkatoliki hatumpi kura
 
Habari Wakuu, Bwana asifiwe.... Mungu ni Mwema... Tumsifu yesu kristo, Shalom.

Wiki iliyopita nilialikwa na jamaa yangu kwenda kuhudhuria ibada ya RC, Kwakuwa mimi huwa namualika kwenye Ibada zetu na anakuja hivyo ikabidi na mimi nimuunge mkono.

1) Kwakweli Ibada zenu zina utulivu wa hali ya juu. Hakuna movement zisizo za msingi wala milio ya simu hapo nina wapongeza.

2) Nilisikitika sana maana nimejiandaa vizuri kuja Ibadani lakini cha ajabu kanisani kwenu hakuna utaratibu wa kukaribisha wala kutambua wageni waliohudhuria siku hiyo. Makanisa mengine kama kwetu MZee wa kanisa anasimama anasoma majina ya wageni na walipotokea tena ikibidi wageni wanapewa Microphone wasalimie kanisa. Huu ni utaratibu mzuri kwa mgeni anajisikia yupo nyumbani.

Wakatoliki mgeni hawakutambui kabisaaaaa wala hawakutaji jina ili ukaribishwe. Kwa hili naomba mjifunze mboreshe hapa.

Niwatakie maandalizi mema ya Pasaka.
Ukakosa Fursa ya kuonesha Pamba na viatu vikali ulivyotwanga.

Kanisani mmepafanya kama soko la Walanguzi na maonesho.
 
Walokole huwa mnasali bila muda maalu.m wakati mwingine hadi masaa 8 kwa misa moja..ndiyo maana huwa mna muda mwingi wa kuchezea.....wakatoliki ni standard hours then wanasepa......dah hiyo ya kutambulishana kwa walokole ilini cost sadaka na michango ya kufa mtu
 
Mimi sio mkatoliki lakini huu utaratibu wa kusimamishana na kutambulishana ni wa hovyo sana.

Watu tunasafiri mara kwa mara, jumapili ikikukuta mahali unaingia kanisa la karibu uabudu, la haula laah! Unatakiwa usimame ujitambulishe sijui ukaribishwe kwa makofi khaa!
 
Habari Wakuu, Bwana asifiwe.... Mungu ni Mwema... Tumsifu yesu kristo, Shalom.

Wiki iliyopita nilialikwa na jamaa yangu kwenda kuhudhuria ibada ya RC, Kwakuwa mimi huwa namualika kwenye Ibada zetu na anakuja hivyo ikabidi na mimi nimuunge mkono.

1) Kwakweli Ibada zenu zina utulivu wa hali ya juu. Hakuna movement zisizo za msingi wala milio ya simu hapo nina wapongeza.

2) Nilisikitika sana maana nimejiandaa vizuri kuja Ibadani lakini cha ajabu kanisani kwenu hakuna utaratibu wa kukaribisha wala kutambua wageni waliohudhuria siku hiyo. Makanisa mengine kama kwetu MZee wa kanisa anasimama anasoma majina ya wageni na walipotokea tena ikibidi wageni wanapewa Microphone wasalimie kanisa. Huu ni utaratibu mzuri kwa mgeni anajisikia yupo nyumbani.

Wakatoliki mgeni hawakutambui kabisaaaaa wala hawakutaji jina ili ukaribishwe. Kwa hili naomba mjifunze mboreshe hapa.

Niwatakie maandalizi mema ya Pasaka.

Hawa hawana shida, maana hawasumbui watu na mavipaza sauti yao nje usiku. Kuna wale wanaoita kwa kipaza sauti kwa lugha ambayo siyo ya taifa hili. Wanaanza kuanzia saa kumi na nusu mpaka saa kumi na mbili asubuhi. Wale ndiyo warekebishe abudu yao. Maana wamekuwa kero.
 
Hawa hawana shida, maana hawasumbui watu na mavipaza sauti yao nje usiku. Kuna wale wanaoita kwa kipaza sauti kwa lugha ambayo siyo ya taifa hili. Wanaanza kuanzia saa kumi na nusu mpaka saa kumi na mbili asubuhi. Wale ndiyo warekebishe abudu yao. Maana wamekuwa kero.
Ngoja waje leo utakoma😂😂😂😂😂😂😂
 
Walokole huwa mnasali bila muda maalu.m wakati mwingine hadi masaa 8 kwa misa moja..ndiyo maana huwa mna muda mwingi wa kuchezea.....wakatoliki ni standard hours then wanasepa......dah hiyo ya kutambulishana kwa walokole ilini cost sadaka na michango ya kufa mtu
Ilikuwaje mkuu 😂😂😂😂
 
Habari Wakuu, Bwana asifiwe.... Mungu ni Mwema... Tumsifu yesu kristo, Shalom.

Wiki iliyopita nilialikwa na jamaa yangu kwenda kuhudhuria ibada ya RC, Kwakuwa mimi huwa namualika kwenye Ibada zetu na anakuja hivyo ikabidi na mimi nimuunge mkono.

1) Kwakweli Ibada zenu zina utulivu wa hali ya juu. Hakuna movement zisizo za msingi wala milio ya simu hapo nina wapongeza.

2) Nilisikitika sana maana nimejiandaa vizuri kuja Ibadani lakini cha ajabu kanisani kwenu hakuna utaratibu wa kukaribisha wala kutambua wageni waliohudhuria siku hiyo. Makanisa mengine kama kwetu MZee wa kanisa anasimama anasoma majina ya wageni na walipotokea tena ikibidi wageni wanapewa Microphone wasalimie kanisa. Huu ni utaratibu mzuri kwa mgeni anajisikia yupo nyumbani.

Wakatoliki mgeni hawakutambui kabisaaaaa wala hawakutaji jina ili ukaribishwe. Kwa hili naomba mjifunze mboreshe hapa.

Niwatakie maandalizi mema ya Pasaka.
1. Hujasema kanisa lako ni lipi unalomwalika huyo aliyekualika tuone kama na nyie mko perfect hamuhitaji kuboresha ibada zenu.
Taja kanisa lenu tuchambue ibada zenu.
2. Ulivaa nguo mpya ukataka wakuinue uonekane?
3. Wakatoliki wana utaratibu wa kutambua waumini wao kwenye jumuiya siyo hapo kanisani wewe mpita njia.
Tumsifu Yesu Kristu.
 
Habari Wakuu, Bwana asifiwe.... Mungu ni Mwema... Tumsifu yesu kristo, Shalom.

Wiki iliyopita nilialikwa na jamaa yangu kwenda kuhudhuria ibada ya RC, Kwakuwa mimi huwa namualika kwenye Ibada zetu na anakuja hivyo ikabidi na mimi nimuunge mkono.

1) Kwakweli Ibada zenu zina utulivu wa hali ya juu. Hakuna movement zisizo za msingi wala milio ya simu hapo nina wapongeza.

2) Nilisikitika sana maana nimejiandaa vizuri kuja Ibadani lakini cha ajabu kanisani kwenu hakuna utaratibu wa kukaribisha wala kutambua wageni waliohudhuria siku hiyo. Makanisa mengine kama kwetu MZee wa kanisa anasimama anasoma majina ya wageni na walipotokea tena ikibidi wageni wanapewa Microphone wasalimie kanisa. Huu ni utaratibu mzuri kwa mgeni anajisikia yupo nyumbani.

Wakatoliki mgeni hawakutambui kabisaaaaa wala hawakutaji jina ili ukaribishwe. Kwa hili naomba mjifunze mboreshe hapa.

Niwatakie maandalizi mema ya Pasaka.
Unatambulishwa kwa faida ya nani?

Sana sana ikiwa Padri atahisi uwepo wa wasio wakatoliki basi atatoa Tangazo kuhusu wanaostahili kupokea EKARISTI TAKATIFU.

Mambo mengine yote yako kwenye standards za Ibada.

Hata hivo kuna Wasimamizi(Washirika wa MTAKATIFU Petro na Paul),watahusik kuelekeza nini cha kufanya na kifanyike vipi!

Kanisa moja TAKATIFU Katoliki la Mitume.

Hatuna wageni kwa Sababu nyumbani kwao ni Kwa MTAKATIFU Petro-That is Catholic.

Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
 
Kwa tuliwahi kuwa wakatoliki kabla ya kuhama dhehebu hilo tunajua taratibu zao za kufanya ibada zi specific fixed. Habari ya kukaribisha wageni na kuwatambua wametoka wapi hawana utaratibu huo
 
Mimi sio mkatoliki lakini huu utaratibu wa kusimamishana na kutambulishana ni wa hovyo sana.

Watu tunasafiri mara kwa mara, jumapili ikikukuta mahali unaingia kanisa la karibu uabudu, la haula laah! Unatakiwa usimame ujitambulishe sijui ukaribishwe kwa makofi khaa!
Kabla sijaokoka na kuachana na hizo iman za ovyo ,nilikua napenda sna ule mda wakujitambulisha hasa kwa wadada wageni , utasikia, kwa jina naitwa neema mabula natokea usharika wa makongo juu nampenda yesuuuu, nilikua namsindikiza na makofi ya kikatili hasa ukute toto toto kwel[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Kabla sijaokoka na kuachana na hizo iman za ovyo ,nilikua napenda sna ule mda wakujitambulisha hasa kwa wadada wageni , utasikia, kwa jina naitwa neema mabula natokea usharika wa makongo juu nampenda yesuuuu, nilikua namsindikiza na makofi ya kikatili hasa ukute toto toto kwel[emoji122][emoji122][emoji122]
Ulikuwa na malengo yako mengine ndugu mpendwa🤣🤣🤣
 
Kabla sijaokoka na kuachana na hizo iman za ovyo ,nilikua napenda sna ule mda wakujitambulisha hasa kwa wadada wageni , utasikia, kwa jina naitwa neema mabula natokea usharika wa makongo juu nampenda yesuuuu, nilikua namsindikiza na makofi ya kikatili hasa ukute toto toto kwel[emoji122][emoji122][emoji122]
Kijana wangu wa hovyo sana wewe! Hadi kanisani unawinda?? 🤣
 
Back
Top Bottom