Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Takwimu au unataka unidanganye.
Wewe unaona ni vichekesho, ila huo ndo ukweli. Unafkr Nyerere uhuru aligeiwa bure ??? Ni mambo mengi sana ambayo siwez kuya andika hapa kwasbb ya unyeti wake.Speculations tu nadhani na kama ni kweli basi hiyo ni kazi inafanywa individualy baina ya watu ambao wao kuwepo Serikalini ni advantage !
Wakuu wa Nchi wameshakuwepo wa Dini na madhehebu tofauti tofauti !
Na hata watumishi wengine Serikalini ni vivyo hivyo!
Je wote hao wameshindwa kuijua hiyo siri. ??!! Na hiyo siri itakuwa imetunzwa wapi pasipofikika ??!!
Na je hao wasio wakatoliki wameikubali hiyo siri au nao ni kama sisi hata hawaijui hiyo siri pamoja na kuwa wana nyadhifa za juu kabisa katika Nchi ??!! 😅😅😅. Vichekesho hivi 😂😂 !
Hakuna kitu kama hicho Bro !!
Uwingi wao na michongo YaoMoja kwa moja kwenye mada. Tangu tupate Uhuru linapokuja suala la Rais kutoka ukristoni basi atakuwa mkatoliki. Je, Kanisa katoliki wanatumia mbinu gani kuwapenyeza?
Najiuliza kuna mpango wa Siri kati ya kanisa na dola? Au ni bahati tu inatokea! Au kuna Nini!? Nina Imani kwa ule mtiti wa Lowasa 2015 angekuwa mkatoliki angechukua nchi.
Karibuni wajuzi na wachambuzi.
Nimeumia sana kupoteza mb zangu kusoma huu upuuzi wako.Sijui kama kuna mpango wote, ila Kwa uzoefu wangu at least wakatoliki wako moderate linapokuja socialization. Madhehebu mengine yanaona kama dini/madhehebu mengine ni mashetani,wao ndio wako sahihi,wao ndio wanamfuata Mungu wa kweli,wengine wote wanaendan Motoni na hivyo kuwa kutokuwa tayari kusaidia au kutoa msaada Kwa watu wa dini na madhehebu mengine.
Anyway, kuna lile la Rais kuzaliwa Kijijini au familia maskini hili nalo ni janga Kwa nchi. Uzoefu unaonyesha kuwa wana roho mbaya na kutoujali shida za wananchi huku wakijinadi kuwa wao ndio wakombozi! Unfortunately jamii nayo inawaamini! Na kuwaona mashujaa!
There is not, and there never was on this earth, a work of human policy so well deserving of examination as the Roman Catholic Church. The history of that Church joins together the two great ages of human civilisation. No other institution is left standing which carries the mind back to the times when the smoke of sacrifice rose from the Pantheon, and when camelopards and tigers bounded in the Flavian amphitheatre. The proudest royal houses are but of yesterday, when compared with the line of the Supreme Pontiffs.Moja kwa moja kwenye mada. Tangu tupate Uhuru linapokuja suala la Rais kutoka ukristoni basi atakuwa mkatoliki. Je, Kanisa katoliki wanatumia mbinu gani kuwapenyeza?
Najiuliza kuna mpango wa Siri kati ya kanisa na dola? Au ni bahati tu inatokea! Au kuna Nini!? Nina Imani kwa ule mtiti wa Lowasa 2015 angekuwa mkatoliki angechukua nchi.
Karibuni wajuzi na wachambuzi.
Haya ndio majibu Gani sasa.Wakatoliki Wana maekari kwa malefu ya maekari.
Hivyo lazima wale top mmoja wao atoke kwao ili kulinda maslahi yao.
Marekani kwa kipindi cha zaidi ya miaka 200 Biden ndio Rais wa kwanza mkatoliki kumaliza muda wake. Baada yaa JFK. Kuwa terminated...
Sasa utuletee raisi anaesali kwa Mwamposa au gwajima hiyo ni akili au matopeMoja kwa moja kwenye mada. Tangu tupate Uhuru linapokuja suala la Rais kutoka ukristoni basi atakuwa mkatoliki. Je, Kanisa katoliki wanatumia mbinu gani kuwapenyeza?
Najiuliza kuna mpango wa Siri kati ya kanisa na dola? Au ni bahati tu inatokea! Au kuna Nini!? Nina Imani kwa ule mtiti wa Lowasa 2015 angekuwa mkatoliki angechukua nchi.
Karibuni wajuzi na wachambuzi.
Wale ndo Dunia sasaMoja kwa moja kwenye mada. Tangu tupate Uhuru linapokuja suala la Rais kutoka ukristoni basi atakuwa mkatoliki. Je, Kanisa katoliki wanatumia mbinu gani kuwapenyeza?
Najiuliza kuna mpango wa Siri kati ya kanisa na dola? Au ni bahati tu inatokea! Au kuna Nini!? Nina Imani kwa ule mtiti wa Lowasa 2015 angekuwa mkatoliki angechukua nchi.
Karibuni wajuzi na wachambuzi.
Yapo Tz tu,huu ujinga kuna siku utatuletea shidaSio kupenyeza Iko wazi Raisi lazima awe mkatoliki, ni mashart ambayo yapo wazi na hakuna wa kupinga
Kwanini iwe lazima ?Rais akiwa mkristo ni lazma awe mkatoliki japo haipo kwenye katiba.
"Lazima", huwa inatakiwa kuwa na reference, kinyume na hapo siyo "Lazima" bali "huwa".Rais akiwa mkristo ni lazma awe mkatoliki japo haipo kwenye katiba.
Kikwete na Mwinyi Ali Hassan walikua wakatoliki?, ndio maana mnadharaulika kwa upeo huuSio kupenyeza Iko wazi Raisi lazima awe mkatoliki, ni mashart ambayo yapo wazi na hakuna wa kupinga
Weka hapa tujifunze.Wewe unaona ni vichekesho, ila huo ndo ukweli. Unafkr Nyerere uhuru aligeiwa bure ??? Ni mambo mengi sana ambayo siwez kuya andika hapa kwasbb ya unyeti wake.
Kumbuka pia kwamba Kanisa Katoliki limetoa maeneo makubwa bure na kuikabidhi SerikaliWanatazama uwiano wa kura sababu linawafuasi wengi ila imetosha zamu ya KKKT ama Anglican sasa
Marais wakatoliki wamekuwa wanalibeba sana dhehebu lao
Wanalipa maeneo makubwa ya ardhi kwa lazima
Ukiwa waziri wa ardhi wewe bishana nao kwenye ardhi huchukui muda utatoka
Pia wamekuwa wanawasapoti kwa vitu vingi mfano kwanini roma shule zake za seminari na vyuo aliachiwa?
Makanisa mengine mpaka leo hayajarudishiwa?
anglican walihangaika wee wakajikuta wanaambulia tu mazengo ambayo sasa ni St johns university
Ila chuo cha ualimu korogwe hosptal ya muhimbili msalato navingne serikali imegoma