Wakatoliki radicals wanatia aibu katika tuhuma za paroko muuaji sakata la Asimwe, wanahitaji kukataliwa

Wakatoliki radicals wanatia aibu katika tuhuma za paroko muuaji sakata la Asimwe, wanahitaji kukataliwa

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Baadhi ya wakatoliki wanatia aibu sana katika hili sakata la anayedaiwa ni paroko kukamatwa kwa shutuma za mauji ya binti albino Asimwe.

Maoni yao hao wakatoliki naoweza kusema ni "radicals" yanatia kichefuchefu na kuonyesha jinsi gani dini bila kujali ni ya upande gani inavyoweza kutafuna na kufifisha kabisa uwezo wa binadamu kufikiri kama watu huru.

Hawa radicals ambao wamejitokeza katika sakata hili niwaweke katika makundi mawili. Kuna kundi la kwanza wanaosema wazi eti paroko hawezi kufanya mambo kama hayo, kundi la pili wamejificha kidogo wanasema hivyo kwa kificho kwa kutilia shaka na kuififisha taarifa ya polisi kwamba wamekosea kumtambua huyo mtuhumiwa.

Makundi yote mawili ni maamuma haswa wanaoongozwa na kutanguliza hisia za kidini mbele kuliko utashi wa kawaida wa binadamu anayefikiri sawa sawa.

Viongozi wa kanisa Katoliki wakataeni wafuasi wa aina hii kwani ni aibu kwa kanisa lenu, wakataeni kwa kuwaambia ukweli kwamba wapo mapadri wengi tu wa kikatoliki waliowahi kupatikana na hatia za mauaji dunia hii, waambieni kwamba hapo jirani tu Rwanda kuna Maaskofu, mapadri na masista zaidi ya 20 walifikishwa mahakamani kuhusika na mauaji ya kimbari, na hii ni historia fupi tu, historia ndefu ina mambo mengi zaidi.
 
Wana maana mafundisho hayamfundishi hivyo kama katenda ina maana alikuwa mzamiaji kweny dini , automatically amejitoa kama kiongozi wa dini .

Tetesi za jamaa huko mtandao wa Musk ''X'' kuna mtu anasema huyo jamaa alikuwa anakula wake za watu , kiufupi alikuwa sio mfuata dini ila ni undercover agent wa shetani.
 
Wana maana mafundisho hayamfundishi hivyo kama katenda ina maana alikuwa mzamiaji kweny dini , automatically amejitoa kama kiongozi wa dini .

Tetesi za jamaa huko mtandao wa Musk ''X'' kuna mtu anasema huyo jamaa alikuwa anakula wake za watu , kiufupi alikuwa sio mfuata dini ila ni undercover agent wa shetani.
Kwa kuongezea ni kwamba alikaribishwa na alikuwa anashawishi watu wakasomee upadre kwenda nje ila yeye hana jema analotenda .
 
Wana maana mafundisho hayamfundishi hivyo kama katenda ina maana alikuwa mzamiaji kweny dini , automatically amejitoa kama kiongozi wa dini .
Hilo liko wazi, hakuna mafundisho ya kikatoliki yanayofundisha mauaji na uchawi wa kutumia viungo vya binadamu.
 
Uzuri ni kwamba mahakama haitaangalia CHEO cha mtu wala nafasi yake sheria ichukue mkondo tu.
 
Wana maana mafundisho hayamfundishi hivyo kama katenda ina maana alikuwa mzamiaji kweny dini , automatically amejitoa kama kiongozi wa dini .

Tetesi za jamaa huko mtandao wa Musk ''X'' kuna mtu anasema huyo jamaa alikuwa anakula wake za watu , kiufupi alikuwa sio mfuata dini ila ni undercover agent wa shetani.
Ila mafundisho yao yanafundisha kulawiti na kubaka watoto wadogo, sio?

Kama mapadri na maaskofu wa kikatoliki wanajulikana Duniani kote kwa kulawiti na kubaka watoto wadogo, watashindwa kuua albino?
 
Bro watanzania bado wanatia aibu. Ushirikina na udini ni vitu ambavo vinawatoa watu akili,imaginr tukio kama lile halafu polisi wakurupuke tu au waogope kutaja mtu kisa dini yake. Ushawahi kuona polisi watu wazima wanamwaga chozi kwa uchungu baada ya kuona maiti ya dogo.
 
Imagine hao polisi wangekuwa hao radicals, ni hatari hii
 
Bro watanzania bado wanatia aibu. Ushirikina na udini ni vitu ambavo vinawatoa watu akili,imaginr tukio kama lile halafu polisi wakurupuke tu au waogope kutaja mtu kisa dini yake. Ushawahi kuona polisi watu wazima wanamwaga chozi kwa uchungu baada ya kuona maiti ya dogo.
Mambo ya ajabu sana, huenda hao waliotuletea hizi dini kwa meli na mashua wakituangalia wanatushangaa na kutuona kama roboti fulani hivi kwa jinsi zilivyotuzoa ufahamu wote.
 
Ila mafundisho yao yanafundisha kulawiti na kubaka watoto wadogo, sio?

Kama mapadri na maaskofu wa kikatoliki wanajulikana Duniani kote kwa kulawiti na kubaka watoto wadogo, watashindwa kuua albino?
Udini unakusumbua bwanamdogo....
 
Binadamu anaweza kufanya kila kitu bila kujali ana jina gani, cheo gani na hata ana tabia ya aina gani
Kuna hawa watu ambao huishi Double Life
Yaani maisha mawili tofauti ambayo hayafanani kabisa
Mbele ya watu ni mme na baba wa watoto ila maisha mengine ni shoga
Au ni mfanyabiashara lakini upande mwingine wa kificho ni jambazi

Hiyo ni mifano tu ya Double life
Anaemtetea mtu kwa mabaya yake huku hujui maisha yake ni mtu anaejitoa ufahamu na kutetea ujinga kisa tu ni mtu wa dini yake
Hawa hawa wakisikia mtu wa dini nyingine kalawiti na ni kiongozi wataandika humu kama walipiga chabo wakashuhudia
Yaani wataipamba na kumtukana na kumpa majina yote mtuhumiwa ila akiwa dini yake atapiga kimya au atasema ni propaganda tu
Jamani kama binadamu hata humu kuna watu wanaishi maisha aina mbili tofauti tena wamo wengi tu
 
Ila mafundisho yao yanafundisha kulawiti na kubaka watoto wadogo, sio?

Kama mapadri na maaskofu wa kikatoliki wanajulikana Duniani kote kwa kulawiti na kubaka watoto wadogo, watashindwa kuua albino?
Wanatumia kivuli ila hakuna sehemu yesu kafundisha hivyo .
 
U
Baadhi ya wakatoliki wanatia aibu sana katika hili sakata la anayedaiwa ni paroko kukamatwa kwa shutuma za mauji ya binti albino Asimwe.

Maoni yao hao wakatoliki naoweza kusema ni "radicals" yanatia kichefuchefu na kuonyesha jinsi gani dini bila kujali ni ya upande gani inavyoweza kutafuna na kufifisha kabisa uwezo wa binadamu kufikiri kama watu huru.

Hawa radicals ambao wamejitokeza katika sakata hili niwaweke katika makundi mawili. Kuna kundi la kwanza wanaosema wazi eti paroko hawezi kufanya mambo kama hayo, kundi la pili wamejificha kidogo wanasema hivyo kwa kificho kwa kutilia shaka na kuififisha taarifa ya polisi kwamba wamekosea kumtambua huyo mtuhumiwa.

Makundi yote mawili ni maamuma haswa wanaoongozwa na kutanguliza hisia za kidini mbele kuliko utashi wa kawaida wa binadamu anayefikiri sawa sawa.

Viongozi wa kanisa Katoliki wakataeni wafuasi wa aina hii kwani ni aibu kwa kanisa lenu, wakataeni kwa kuwaambia ukweli kwamba wapo mapadri wengi tu wa kikatoliki waliowahi kupatikana na hatia za mauaji dunia hii, waambieni kwamba hapo jirani tu Rwanda kuna Maaskofu, mapadri na masista zaidi ya 20 walifikishwa mahakamani kuhusika na mauaji ya kimbari, na hii ni historia fupi tu, historia ndefu ina mambo mengi zaidi.
Usitumie sakata hili kama mwanya wa kuslhambulia kanisa katoliki na ukatoliki.
Kanisa katoliki linatambua kuwa hakuna binadamu aliyewekewa kinga dhidi ya shetani; mtu yeyote anaweza kutenda dhambi bila kujali dhehebu lake na dhambi ni ya mtu binafsi sio ya kanisa. Kanisa limeweka neema mbalimbali za kumsaidia muumini wake asitende dhambi na anapotenda basi aweze kutubu na kuiacha dhambi na kumrudia Mungu.

Suala la huyo paroko msaidizi bado ni tuhuma polisi wakikamilisha uchunguzi watuhumiwa wote watafikishwa mahakamani na wakipatikana na hatia watahukumiwa.

Mauaji ya huyo mtoto mdogo asiye na dhambi kwa sisi tunaomjua Mungu tunafahamu hayawezi kuwaacha salama waliotenda huo uhalifu lazima watakamatwa tu.

Lakini kumbuka katika sakata la mauaji ya albino wanafaikaji wa mwisho wa matumizi ya viungo vya maalbino ambao ni wanasiasa na wafanyabiashara wakubwa hawajawahi kukamatwa na kuunganishwa kstika kesi za mauaji ya albino na ndio sababu mauaji hayo hayatokomezwi. Wanaokamatwa ni players ambao ni wawindaji wa maalbino na mganga basi. Hata hii narrative ya sasa imeanza kunitia shaka eti walikuwa wanatafuta wateja , maana yake hapo hata kama kuna mwanasiasa aliyewatuma tayari ameishaondolewa katika mnyororo wa uhalifu. Fikiria viungo hivyo vinaoza na watuhumiwa hawana vyombo vya kuhifadhia viungo hivyo ili visioze na kuharibika, maana yake wanapoenda kuua albino mteja wanakuwa tayari wanaye na ndiye anayetoa pesa kugharamia usakaji wa maalibino na utekelezaji wa mauaji.
 
Mambo ya ajabu sana, huenda hao waliotuletea hizi dini kwa meli na mashua wakituangalia wanatushangaa na kutuona kama roboti fulani hivi kwa jinsi zilivyotuzoa ufahamu wote.
Kinachokusumbua wewe ni udini
 
kuna yule wa kilimanjaro alifir** watoto sijui aliishia wapi maamae zake ukishaona unaambiwa eti ukamwambie binadamu mwenzako zambi zako ujue hamna kitu hapo jitu zinifu unaenda kuliambia zambi eti wanaita kuungama, jamaa jau sana wale maamae
 
Baadhi ya wakatoliki wanatia aibu sana katika hili sakata la anayedaiwa ni paroko kukamatwa kwa shutuma za mauji ya binti albino Asimwe.

Maoni yao hao wakatoliki naoweza kusema ni "radicals" yanatia kichefuchefu na kuonyesha jinsi gani dini bila kujali ni ya upande gani inavyoweza kutafuna na kufifisha kabisa uwezo wa binadamu kufikiri kama watu huru.

Hawa radicals ambao wamejitokeza katika sakata hili niwaweke katika makundi mawili. Kuna kundi la kwanza wanaosema wazi eti paroko hawezi kufanya mambo kama hayo, kundi la pili wamejificha kidogo wanasema hivyo kwa kificho kwa kutilia shaka na kuififisha taarifa ya polisi kwamba wamekosea kumtambua huyo mtuhumiwa.

Makundi yote mawili ni maamuma haswa wanaoongozwa na kutanguliza hisia za kidini mbele kuliko utashi wa kawaida wa binadamu anayefikiri sawa sawa.

Viongozi wa kanisa Katoliki wakataeni wafuasi wa aina hii kwani ni aibu kwa kanisa lenu, wakataeni kwa kuwaambia ukweli kwamba wapo mapadri wengi tu wa kikatoliki waliowahi kupatikana na hatia za mauaji dunia hii, waambieni kwamba hapo jirani tu Rwanda kuna Maaskofu, mapadri na masista zaidi ya 20 walifikishwa mahakamani kuhusika na mauaji ya kimbari, na hii ni historia fupi tu, historia ndefu ina mambo mengi zaidi.
Unaeneleza mijadala hasi kwa wakatoliki. Au ww ni bwashee nini?
 
Baadhi ya wakatoliki wanatia aibu sana katika hili sakata la anayedaiwa ni paroko kukamatwa kwa shutuma za mauji ya binti albino Asimwe.

Maoni yao hao wakatoliki naoweza kusema ni "radicals" yanatia kichefuchefu na kuonyesha jinsi gani dini bila kujali ni ya upande gani inavyoweza kutafuna na kufifisha kabisa uwezo wa binadamu kufikiri kama watu huru.

Hawa radicals ambao wamejitokeza katika sakata hili niwaweke katika makundi mawili. Kuna kundi la kwanza wanaosema wazi eti paroko hawezi kufanya mambo kama hayo, kundi la pili wamejificha kidogo wanasema hivyo kwa kificho kwa kutilia shaka na kuififisha taarifa ya polisi kwamba wamekosea kumtambua huyo mtuhumiwa.

Makundi yote mawili ni maamuma haswa wanaoongozwa na kutanguliza hisia za kidini mbele kuliko utashi wa kawaida wa binadamu anayefikiri sawa sawa.

Viongozi wa kanisa Katoliki wakataeni wafuasi wa aina hii kwani ni aibu kwa kanisa lenu, wakataeni kwa kuwaambia ukweli kwamba wapo mapadri wengi tu wa kikatoliki waliowahi kupatikana na hatia za mauaji dunia hii, waambieni kwamba hapo jirani tu Rwanda kuna Maaskofu, mapadri na masista zaidi ya 20 walifikishwa mahakamani kuhusika na mauaji ya kimbari, na hii ni historia fupi tu, historia ndefu ina mambo mengi zaidi.
Kwani hukumu imesemaje?
 
Back
Top Bottom