Ni Baba Mtakatifu Benedict wa 16 alietangaza kuanzishwa Jimbo Katoliki la Kayanga.Write your reply...mkuu Alfred asante, ila nilikuwa nataks kujua jumbo LA kayanga geographical location au mkoa au wilaya
OK mkuu sikujua hiloNi Baba Mtakatifu Benedict wa 16 alietangaza kuanzishwa Jimbo Katoliki la Kayanga.
Jimbo hilo limemegwa kutoka jimbo la Rulenge na limechukua eneo zima la Wilaya ya Karagwe (Kagera) yenye dekania za Karagwe na Kyerwa.
Mkuu Natumai Umenielewa!
milele aminaAsante Mkuu "Kwa Pamoja Tuilinde imani Katoliki"
Kristo kuwa mume wetu,imani inanishuka jamaniMkuu nipo hapa kukusaidia.. ukakasi uko wapi?
Oooh Okay, Kibiblia Kanisa ni Mwanamke.. Ndio Maana Mtume Paulo anasema.. Waume wapendeni wake zenu kama Kristu alivolipenda kanisa, Nanyi wake Watiini Waume zenu kama Kanisa lilivyomtii Kristu!
AMINA nimekupata mkuu,ubarikiwe sanaOooh Okay, Kibiblia Kanisa ni Mwanamke.. Ndio Maana Mtume Paulo anasema.. Waume wapendeni wake zenu kama Kristu alivolipenda kanisa, Nanyi wake Watiini Waume zenu kama Kanisa lilivyomtii Kristu!
na Sisi kama Kanisa Katoliki, Askofu ni Msimamizi wa Makanisa yote katika Jimbo lake, ndio maana askofu ana uwezo wa Kumzuia mtu yeyote (isipokuwa Pope) kuhubiri au kufanya misa yoyote katika Jimbo lake, yaani yeye ni Muwakilishi wa Kristu katika Jimbo na Kristu ni Mume wa Kanisa..!, ndio maana huvaa hiyo pete!
Tumsifu Yesu Kristu!
Ndio mkuu. Jina jingine anaitwa Archdeacon.Nalipenda sana Hili neno VICAR GENERAL, Makamu wa Askofu sio