GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwa mujibu wa Matangazo ya BBC Dira ya Dunia ya Leo Jioni walionteka Mwanafunzi wa Upadri (Frateri) Melchiory Dominic (Raia) wa Tanzania na Mwenzake Raia wa Burkina Faso wanahitaji Kikombozi (Ransom ) cha Dola za Kimarekani 70,000 kwa Wote Wawili (yaani Dola 35,000) kwa kila Mmoja ili wawaachie vinginevyo Watawauwa kwa Hasira.
GENTAMYCINE nimemsikia Balozi wa Tanzania nchini Nigeria Dk. Benson Bana akiongea (Kimahojiano) na BBC Dira ya Dunia leo na kugundua kuwa hana jipya sana sana Kubwabwaja tu kulikuwa Kwingi hali iliyopelekea kuanza kuhisi kuwa huenda Serikali haioni Umuhimu wa Kumkomboa Mtanzania Mwenzetu na wameljachia Kanisa Katoliki kuhangaika na kweli kwa sasa Kanisa nalo linahangaika huku Ndugu zake huyu Frateri walioko Kwao Mkoani Kigoma wakianza Kusali na wakiamini kuwa Ndugu yao ataachiwa Huru bure bila kuwapa Fedha wajtakayo.
Kwakuwa leo ni Siku ya Tano tokea Wawili (Mafrateri hawa Raia wa Tanzania na Burkinafaso) watekwe na Watu hao wasiojulikana huku wakiwa bado hawajapewa Fedha (Kikombozi) walichokihitaji ikifika Siku ya Saba (7) wakiwa bado tu hawajapewa hata kiasi kidogo itakuwa ni vyema sasa kuanza Kujiandaa kwa lolote (liwe baya au zuri) kutoka kwa Watekaji ambao wakihitaji Fedha na wasipopewa Hasira yao kwa Waliowateka huongezeka maradufu na kuamua kufanya yao rasmi.
GENTAMYCINE nimemsikia Balozi wa Tanzania nchini Nigeria Dk. Benson Bana akiongea (Kimahojiano) na BBC Dira ya Dunia leo na kugundua kuwa hana jipya sana sana Kubwabwaja tu kulikuwa Kwingi hali iliyopelekea kuanza kuhisi kuwa huenda Serikali haioni Umuhimu wa Kumkomboa Mtanzania Mwenzetu na wameljachia Kanisa Katoliki kuhangaika na kweli kwa sasa Kanisa nalo linahangaika huku Ndugu zake huyu Frateri walioko Kwao Mkoani Kigoma wakianza Kusali na wakiamini kuwa Ndugu yao ataachiwa Huru bure bila kuwapa Fedha wajtakayo.
Kwakuwa leo ni Siku ya Tano tokea Wawili (Mafrateri hawa Raia wa Tanzania na Burkinafaso) watekwe na Watu hao wasiojulikana huku wakiwa bado hawajapewa Fedha (Kikombozi) walichokihitaji ikifika Siku ya Saba (7) wakiwa bado tu hawajapewa hata kiasi kidogo itakuwa ni vyema sasa kuanza Kujiandaa kwa lolote (liwe baya au zuri) kutoka kwa Watekaji ambao wakihitaji Fedha na wasipopewa Hasira yao kwa Waliowateka huongezeka maradufu na kuamua kufanya yao rasmi.