Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Kwahiyo wasilipwe ili Wamchinje kwa Majambia kama wafanyavyo ndipo utaridhika?Kuwalipa nimewaambia wazidi kuteka wengine
Huna cha roho mtakatifu wewe,hata kama angekuwepo asingekaa ndani yakoUzi wangu nimewasema Wakatoliki wa Nigeria au wa hapa Kwetu Tanzania? Na je, umejua nina Makusudi gani kuwataja Kiupekee Wakatoliki wa hapa tu Tanzania?
Ngoja nimuombe tu Roho Mtakatifu ( Holly Spirit ) aniongoze vyema kwa kunipa Uvumilivu ili nisikujibu hovyo ( vibaya ) na ukaichukia hii ID yangu Milele.
Amina ( Amen )
Aifie Imani
mbona Yohana alikatwa kichwa akafa shahidi, kalori lwanga wa uganda naye pia, huyu priest hataki kwenda peponi?Kwahiyo wasilipwe ili Wamchinje kwa Majambia kama wafanyavyo ndipo utaridhika?
Kwani Allah ndo kateka?Mungu wenu alikuwa wapi kumlinda huyo Father?
Bikra Maria alikuwa wapi kumlinda huyo Father!?
Yesu alikuwa wapi kumlinda huyo Father asitekwe na watu wasiomwamini Kristo?
Kweli nimeanza kuamini Yale maneno,ndo maana Mwamposa Aachi kulindwa na mabody guard!
GENTAMYCINE huwa anatukana Watu bila ya Yeye Kuanza Kutukanwa?Wewe una Tabia mbaya za kutukana watu hovyo hta km hawajakukosea ndomaan Unaadhibiwa kwa Ban kila siku jitahid ukue kiakili kidogo
Ndio maana mapopo wengi wanaoishi ulaya na USA huwa hawaendi kwao likizo,wanaogopa kutekwa au kupigwa jujuMwambieni papa atume huo muamala, wanaija hawanaga utani watamuua kweli.
Mchango wakwenda huko alitoa nan na alienda kufanya nn?isitoshenauli na mambo mengine yote ni sadaka za wakatiriki haohao sasa,let us pray for him,life iko tough sana.ni wakati wa kuongeza imani na sala ili ndg yetu apate nguvu na ujasiri wa kuvumilia mateso hayo na kuyashinda,Kwa mujibu wa Matangazo ya BBC Dira ya Dunia ya Leo Jioni walionteka Mwanafunzi wa Upadri (Frateri) Melchiory Dominic (Raia) wa Tanzania na Mwenzake Raia wa Burkina Faso wanahitaji Kikombozi (Ransom ) cha Dola za Kimarekani 70,000 kwa Wote Wawili (yaani Dola 35,000) kwa kila Mmoja ili wawaachie vinginevyo Watawauwa kwa Hasira.
GENTAMYCINE nimemsikia Balozi wa Tanzania nchini Nigeria Dk. Benson Bana akiongea (Kimahojiano) na BBC Dira ya Dunia leo na kugundua kuwa hana jipya sana sana Kubwabwaja tu kulikuwa Kwingi hali iliyopelekea kuanza kuhisi kuwa huenda Serikali haioni Umuhimu wa Kumkomboa Mtanzania Mwenzetu na wameljachia Kanisa Katoliki kuhangaika na kweli kwa sasa Kanisa nalo linahangaika huku Ndugu zake huyu Frateri walioko Kwao Mkoani Kigoma wakianza Kusali na wakiamini kuwa Ndugu yao ataachiwa Huru bure bila kuwapa Fedha wajtakayo.
Kwakuwa leo ni Siku ya Tano tokea Wawili (Mafrateri hawa Raia wa Tanzania na Burkinafaso) watekwe na Watu hao wasiojulikana huku wakiwa bado hawajapewa Fedha (Kikombozi) walichokihitaji ikifika Siku ya Saba (7) wakiwa bado tu hawajapewa hata kiasi kidogo itakuwa ni vyema sasa kuanza Kujiandaa kwa lolote (liwe baya au zuri) kutoka kwa Watekaji ambao wakihitaji Fedha na wasipopewa Hasira yao kwa Waliowateka huongezeka maradufu na kuamua kufanya yao rasmi.
Serikali inayojiweka nyuma linapokuja suala la mwananchi, likiwa la ccm sasa, hata kuua wanaua. Tz ccm ndio kila kitu!Shirika lake litatoa hela, Dr Bana kasema hizo incidents sio za kushangaza sana kwa huko na wao wanafanya follow up kwa hilo shirika ili litimize haraka demands za hao terrorists. Sdhani kama wana hitaji na michango yetu, kama umeguswa peleka wewe binafsi au shirikisha parokia yako mfanye hivyo.
Anadeal na issue za nchi!hot one[emoji16][emoji16]Askofu Mwamakula hajatia neno?[emoji1787][emoji1787]
Si imlinde hiyo damu ya yesu wenuKwahiyo wasilipwe ili Wamchinje kwa Majambia kama wafanyavyo ndipo utaridhika?