Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
umerudi kupambana na Ally Kiba.
Kumbe kupambana na Kiba is a downgrade, I thought Kiba is as big, if not more than Mondi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umerudi kupambana na Ally Kiba.
Diamond ni mumeoKiuhasilia topic Fulani ambayo ndiyo hayo maoni ya mtu tena maarufu kama diamond lazima yawe criticized tena na mtu wa industry kariba ya diamond kama wakazi ..
Why asikosoe maoni hayo ya diamond na aanzishe kitu kingine? Diamond ni nani?
Takataka.Diamond ni mumeo
Ndio ni ukweli .Kumbe kupambana na Kiba is a downgrade, I thought Kiba is as big, if not more than Mondi!
Napinga kabisaIla mwisho wa siku msingi hasa wa ukosoaji wao una mrengo wa chuki binafsi kwa Diamond na sio kwa nia ya kumrekebisha.
Nadhani chachu hasa ya kukosoa (personal attacks) kwao ni uchungu wa walionao juu ya kile alichonacho Diamond (uwezo wa kifedha) ambacho wao hawana na wanahisi walipaswa kuwa nacho. kwa lugha nyepesi, WIVU.
Kwani msanii number moja ni nani?Napinga kabisa
Mara zote huyu diamond anapokosolewa kwa namna yoyote ile basi eti ni wivu .
Diamond ni tajiri lakini sio namba moja hapa bongo .
Kama wivu basi kwanini wasimuonee bakhresa au Rostam wamuonee diamond?? Ifike wakazi ijulikane diamond is not a GOD kwamba asiwe criticized ..
Wakazi alishamkosoa mpaka Nikki mbishi je nae Nikki ni tajiri sana mpaka aonewe wivu??
Wakazi kwani ni msaniiKiuhasilia topic Fulani ambayo ndiyo hayo maoni ya mtu tena maarufu kama diamond lazima yawe criticized tena na mtu wa industry kariba ya diamond kama wakazi ..
Why asikosoe maoni hayo ya diamond na aanzishe kitu kingine? Diamond ni nani?
🤣🤣🤣🤣🤣Wakazi kwani ni msanii
Sijui hata nyimbo yake moja[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata mimi sijui hata wimbo wake wowoteSijui hata nyimbo yake moja
Umeelewa au umekurupuka? Soma vizuri kijana chawa sawa?Kwani msanii number moja ni nani?
Poa poa mke wanguDiamond ni mumeo