Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anataka kutoa wimboInawezekana yupo sahihi lakini sababu ya kuongea hayo yote ni ipi?
Nick mbishi aliwahi kusema ukitaka kutrend basi muongelee diamond
Ktk maisha iko kitu kinawezekana ndio maana kuna msemo mchumia juan ula kivuli ,unapofanya kaz kwa juhud mwanzo ukafanikiwa basi ni rahis sana kula matunda kwa muda mref ikiwa tu na akir ,ukwel ni kwamba diamond ni msanii mzur tena sana ila pia amejaliwa na maarifa pamoja na uwezo binafsi ,tukirud ktk muzik kiukwel kuna kiwango kinapungua ktk utunzi mpaka uimbaji japo kipato kinazid kwa sababu tu ya njia aliyojitengenezea ,Sisi tunataka kujua huo umaarufu kaupata wapi ikiwa hajui chochote kwenye kuimba, kama mnavyodai?
Hao wanaojua kuimba ni nani na nani? Watajeni hapa kisha mtueleze kwanini wao sio maarufu kama Diamond.
Kuwa mwanamziki sio kujua kuimba tu, ukiachana na kuimba Mond kawazidi wengine vitu vingi sana kuhusu mziki.
Kuhusu wakazi, ni moja kati ya wasanii ambao wamedumu kuwa ma-underground kwa miaka mingi sana.
Watu wame pofushwa na chuki,Chuki mbaya sanaUkiwa critical thinker kwenye jamii ya watu wenye upeo mdogo kama kitenes unakua unaonekana wewe ndio mwehu
Wakaz yuko sahihi kabisa ila watu wamepofushwa na mahaba
Yanakuumiza moyo wakoAcha kupost post magari ya wanaume humu JF.
Iyo ni kwl kakWakazi yuko sahihi Diamond hata atoe ngoma ya dakika mbili halafu humo ndani awe anacheka mwanzo mwisho utaona ngoma hiyo itavyokuwa trend na usikute ikapewa na tuzo
Hayo yote yamerahisishwa kutokana na jina (umaarufu) na ndio maana hata hawa ma underground wana amini wakipata nafasi ya kufanya kazi kwenye lebel yao watatoka tu, kwasababu kitachowafanya wajulikane sio ubora wa kile wanachokiimba
Means hata kwa level zao za huku chini wanaamini hata wakaze msuli namna gani bado ubora wa nyimbo hautakuwa kigezo wao kutoka
Nakubaliana na Wakazi
Mkuu Diamond ni mwimbaji wa kawaida tu, hayo mengine mtatoana macho kisa ushabiki wenuSAWA SWALI NI KWAMBA HAOOO WANAOMZIDI KUIMBA, HAO WENYE MELODY NZURI, HAO WENYE TUNGO KALI NA SAUTI YA KUVUTIA MBONA HAWAFIKI POPOTE??? MBONA KAZI ZAO HAZISONGI KAMA ZA HUYO WANAEMKOSOA???
NAJUA MNAJUA, NA TUNAJUA MNAJUA TUNAWAPIGAJE MNAJUA😂😂😂
Hii kitu baba ako anayo? Kazi kusifia wanaume wenzenu tafuteni vyenu.Bado inawaumiza hii kitu
Kuna maisha baada ya muziki, imba kile kinachokupa pesa hasa bado ukiwa na umaarufu wako.
View attachment 2152753
Yeye je?!Msanii kutoka Tanzania, Wakazi amesema kwamba Diamond Platinumz ni maarufu ila sio mzuri katika uiambaji.
Kupitia ujumbe aliochapisha kwenye ukurasa wake wa Twitter, Wakazi alisema kwamba kuna tofauti kubwa kati ya umaarufu na ubora wa msanii, na hivyo kuwa maarufu haimaanishi kuwa mzuri katika sanaa ya muziki.
======
Kitu ambacho Wakazi hajui ni kwamba, uzuri wa kitu kipo kichwani mwa mtu na hata uzuri wa sauti upo masikioni mwa mtu hivyo asilazimishe kile anachosikia yeye , ubaya anaousikia yeye ndio uzuri anaousikia mwingine. Ni sawa na msichana mrembo unamtambua pale unapomuona, mwingine atamuona mbaya wewe utamuona mzuri. Hivyo kadri kazi za Diamond zinavyotembea ndio zinadhihirisha uzuri wake na ubora W wake.Msanii kutoka Tanzania, Wakazi amesema kwamba Diamond Platinumz ni maarufu ila sio mzuri katika uiambaji.
Kupitia ujumbe aliochapisha kwenye ukurasa wake wa Twitter, Wakazi alisema kwamba kuna tofauti kubwa kati ya umaarufu na ubora wa msanii,
======
Pia soma: Diamond Platnumz ahoji kwanini Ali Kiba (mkongwe) hana media yake? Atoa onyo kushindanishwa na wasanii wa Tanzania 'ni wadogo sana kwake'
Sasa nini mnataka aimbe ma hardcore halafu hela wala umaarufu?ndio nini sasa... acheni wivuWakazi yuko sahihi Diamond hata atoe ngoma ya dakika mbili halafu humo ndani awe anacheka mwanzo mwisho utaona ngoma hiyo itavyokuwa trend na usikute ikapewa na tuzo
Hayo yote yamerahisishwa kutokana na jina (umaarufu) na ndio maana hata hawa ma underground wana amini wakipata nafasi ya kufanya kazi kwenye lebel yao watatoka tu, kwasababu kitachowafanya wajulikane sio ubora wa kile wanachokiimba
Means hata kwa level zao za huku chini wanaamini hata wakaze msuli namna gani bado ubora wa nyimbo hautakuwa kigezo wao kutoka
Nakubaliana na Wakazi
hii gari ilipata umaarufu siku mbil tu.Bado inawaumiza hii kitu
Kuna maisha baada ya muziki, imba kile kinachokupa pesa hasa bado ukiwa na umaarufu wako.
View attachment 2152753
Sasa hapo wivu una husika vipi?Sasa nini mnataka aimbe ma hardcore halafu hela wala umaarufu?ndio nini sasa... acheni wivu