Devon sawa
Senior Member
- Apr 30, 2017
- 161
- 77
Studio haikua friendly nae, kaminywa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Issue ilianzia Twitter Zillah alimdiss kiaina Wakazi ingawa haikua serious kiivyooo Wakazi baada ya kujibu ndo shida ikaanza wakavuana sana nguo kwa maneno ya shombo Zillah akawa anajisifu kuwa verified Twitter anatimba Ikulu na ana hit kibao pia akamwambia Wakazi ashamtumia demu wake kama video queen wake na akamwambia Wakazi hana hit zaidi ya mixtape tu kibaoooo Wakazi nae akamjibu Zillah kuwa hiyo verification ya twitter sio kitu kwanza ya kuomba ye ashakua verified mtaani na akamwambia kuwa kama kuwa verified Twitter ni big issue mbona Fid Q sio verified? Pia akamwambia Zillah kuwa ye hana hit lakini ameperfome Big Brother amekuwa nominated tuzo za Kora na ana ngoma na wasanii A list wa Nigeria so yako mengi but kwa haraka ilianza hivyoBasi Wakazi anafeli. Haikuwa na maana hata kutilia maanani hayo matokeo, kwa sababu ni hisia za watu tu na haziingilii mikate yao wote.
Wakazi alipania sana baada ya kutangaza kushindwa battle ya kwanza
Godzila kashaanza kuchuja hadi ameboa
Siku hizi hakuna freestyle. Zilla kafa ukimsikiliza kwa makini unagundua hakuna kitu.
God zila ni mkali sana ila sijui kapatwa na nini
Godzilla tumepoteana siku hizi, sijui ni zile stress za kuachwa au??
Bangi.. Ngada..God zila ni mkali sana ila sijui kapatwa na nini
Bro kwa upande wa freestyle huyu jamaa alikuwa anajitahidi..Ila amezidisha sana usela hadi unamzidi nguvu..Naona anaanza kupoteza..Godzilla has always been trash. He can rap on a beat alright, but he never says anything that really makes sense. Halafu kuna ushamba na ujinga vimemzidi. Wakazi naye too much unnecessary dramas lately. Huyo mtangazaji na producer wake wajipange tena, wameshindwa ku-control kipindi bana.
Wakazi kwa Freestyle sijawahi kumkubaliHiyo session ilikuwa ya pili ya kwanza mashabiki walipiga kura akashinda zilla. Ila pia hakuna walichokifanya.
Atleast, zilla kwenye zile session za clouds miaka ile, he was something. Wakazi fresstyle hawezi kama umemsikiliza mwanzoni alifanya freestyle akashindwa round zingine akachana alichokiandika.
Wamepambanisha asiyeweza vs aliyekuwa anajaribu ila kwasasa hawezi.
Mkuu mnakaa kitaa kimoja.??
Huyu Zizi ni stress zinamsumbua ama nini..Mbona kama anapoteza siku hizi..
Godzilla inaonekana ana msongo wa mawazo na asipopata matibabu mapema hali itazidi kuwa mbaya.Tangu mwaka umeanza mwenendo wake sio mzuri kabisa hata ukiangalia tweet zake utagundua hayuko sawa.Kibaya zaidi ni kuwa wasanii wenzake badala ya kumsaidia lakini wanamtumia kutafuta kickHuyu jamaa nadhani kuna vitu vinamsumbua..ila sidhani kama ndo ashapotea mazima
Freestyle zilikuwepo. Artists walikuwepo. Labda walikuja kugundua haziwalipi na mabadiliko ya soko la mziki wakapita nalo.Kama hizi ndio freestyle za wasanii wa Tanzania tukubali tu hatuna wasanii wa Hip Hop siku hizi
Karibu mwaka wa 4 huu Tanzania hakuna wasanii wa Hip HopFreestyle zilikuwepo. Artists walikuwepo. Labda walikuja kugundua haziwalipi na mabadiliko ya soko la mziki wakapita nalo.
Zilla alikuwa anajitahidi, baba malcom kwangu alikuwa mtu hatari saana. Ila leo hawawezi