Ziko mingo mbona, ukiwa na mzigo uta enjoy sana.Chuga hamna sehemu za starehe mji umedoda hatari
Aina noma mkuu karibu sanaNiko sombetin leo labda tukutane kesho mkuu
Inaonekana sio mzoefu wa chuga ww huku hatunaga bata za singeli au beach ni mwendo wa landscape na waterfalls!Chuga hamna sehemu za starehe mji umedoda hatari
Panaboa kichizi na hivi wavuta bangi wengi na wakabaji kila konaInaonekana sio mzoefu wa chuga ww huku hatunaga bata za singeli au beach ni mwendo wa landscape na waterfalls!
Sent from my GT-I9500 using JamiiForums mobile app
Kama kona zipi zenye wavuta bangi na wabakaji?Panaboa kichizi na hivi wavuta bangi wengi na wakabaji kila kona
Endelea kucheza baikoko mamaPanaboa kichizi na hivi wavuta bangi wengi na wakabaji kila kona
Wewe hujawahi kufika Arusha bana unasikiaga tu kwa watu. πPanaboa kichizi na hivi wavuta bangi wengi na wakabaji kila kona
Usilolijua eeh mie naandika watu wajiandae tu kuliko kukuta tofautiWewe hujawahi kufika Arusha bana unasikiaga tu kwa watu. [emoji23]
Unaulizia rooms za nini? ππ kama kodi imeisha sema nitume nayakutolea.Bei ya rooms zao? Au hujawahi ingia?
Hapo River trees.
Kwani wavuta bangi tuna shida gani tena ?Panaboa kichizi na hivi wavuta bangi wengi na wakabaji kila kona
Kusema ukweli unapotosha wasiojua uhalisia. Na kusema kweli wewe labda ulisimuliwa tu na watu story za uongo.Usilolijua eeh mie naandika watu wajiandae tu kuliko kukuta tofauti