Numero Uno
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 607
- 1,302
ukiskia story za vijiweni ndio hizi sasaPanaboa kichizi na hivi wavuta bangi wengi na wakabaji kila kona
embu taja hizo sehem ulizokuta wavuta bang na wakabaj
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukiskia story za vijiweni ndio hizi sasaPanaboa kichizi na hivi wavuta bangi wengi na wakabaji kila kona
Usitume we ilete au mtume yule boda.Unaulizia rooms za nini? 😟😟 kama kodi imeisha sema nitume nayakutolea.
Kama unataka ku change mazingira hamia huku mtaani kwetu. Wewe sema tu unataka kumpeleka mchepuko wako huko.Usitume we ilete au mtume yule boda.
Rooms nauliza za kuchange mazingira.
Panaboa kichizi na hivi wavuta bangi wengi na wakabaji kila kona
Wewe hujawahi kufika Arusha bana unasikiaga tu kwa watu. [emoji23]
ukiskia story za vijiweni ndio hizi sasa
embu taja hizo sehem ulizokuta wavuta bang na wakabaj
Taja sehemu zako unazoendaga kurefresh...Kama unataka ku change mazingira hamia huku mtaani kwetu. Wewe sema tu unataka kumpeleka mchepuko wako huko.
Ndani ghettoni kwangu tu sipendi kutoka toka.Taja sehemu zako unazoendaga kurefresh...
Ndani ghettoni kwangu tu sipendi kutoka toka.
Itakuwa gudi kinyamaNikutoe out?
Hapo tu Themi Living Garden.😂
Iliishia wapiNikutoe out?
Hapo tu Themi Living Garden.😂