Wakazi wa asili wa Zanzibar ni watu gani?

Wakazi wa asili wa Zanzibar ni watu gani?

Mbona waarabu wa Oman wamekuja miaka ya karibuni tu.

Visiwa huwa havina watu wa asili....wananchi walianza kuhamia huko karne nyingi tu zilizopita....mathalani Uislam uliingia Zanzibar karne ya 7 kwa kuletwa na WAFANYABIASHARA wa Persia/Uajemi....na ndio maana walio wengi ni wafuasi wa madhehebu ya SUNNI na si IBADHI(OMAN).

Hata ukristo uliingia Zanzibar karne nyingi mno kabla ya hao waarabu wa Oman.

Wenyeji wa Zanzibar wametokea Tanganyika,Pwani ya Kenya ,Sudan,Uganda Comoro,Malawi,Msumbiji na DRC.

Ni miaka ya hivi karibuni wakati wa utawala wa hayati Abeid Amani Karume kuwataka WAZANZIBARI waitwe WASHIRAZI ili kuondoa UBAGUZI NA MATABAKA.

#SiempreJMT
Persia sio suni bali shia
 
Baadhi ya Wabara walikuwa wanaingia Zanzibar hata kabla ya kuja kwa Waarabu , Wahindi na Waasia wengine.
Ila kwa kiasi kidogo sana , na tena zilikuwa ni safari za kusuasua ( kufa na kupona )
Hii ni kutokana na kutokua na teknojia ya majahazi na kupambana na magonjwa( Mbu ) na viumbe vya hatari

Ni kichefu , chefu cha hali ya juu kusema mgunduzi wa mlima Kilimanjaro alikua ni mzungu (Sarah Kikya ) , wakati kuna wachaga walo ishi chini ya mlima huu , na walikua wakipanda katika milima hii kwa ibada zao za giza ( kabla ya kumjua MUNGU wa kweli )
Sijakupata vizuri
 
Maana miaka ya 1800 Sultani alianzisha kilimo cha karafuu Zanzibar. Biashara hii na ile ya utumwa ilikuwa ya pesa nyingi. Mwishowe akaamua yeye mwenyewe kuhamia Zanzibar.

Hapo waarabu kibao kutoka Oman wakahama naye. Wakaanzisha mashamba ya karafuu na kuweka watumwa kibao kufanya kazi. Hata leo wakazi wengi unakuta wanaasili ya wanyamwezi, wayao, hadi wamanyema kutoka Congo. Mababu zao walikuwa watumwa.

Sasa wakazi wa asili kabisa wa Zanzibar ni watu gani? Lugha yao ni ipi? Au kulikuwa hakuna watu, maana visiwa vingi vya bahari ya hindi vilikuwa haviishi watu miaka watu wameanza kusafiri huku na huko baharini.
Ni vigumu kuelewa historia ya visiwa vyote vya Indian ocean. Wengi walikuja kama siyo watumwa mfano wahindi, waarabu, wapakistani, washirirlanka na wengine toka visiwa ndani ya bahari ya indi. Walikuja waajemi, wachina na makabila mengi.
Wareno kalne ya 15 walipiga nanga Zanzibar wakaoana na wenyeji mazalia yakawepo bara hata pwani. Wakasafiri mpaka Zanzibar wakaacha alama meaning mazalia na majengo.

Ikumbukwe wachina walitangulia kuja earlier wakaacha ramani meaning ukienda zenj kuna familia moja naifahamu mama ni mweusi, baba ni chotara wa kiarabu lakini watoto wana uarabu, uchina na nywere kama za kibantu.
Wale wanaojiita wazanzibari ni mazalia ya watumwa. Wazanzibari wenyewe hawakuwa na kabila bali walijichanganya wenyewe .

Hao waimba matarumbeta wengi ni watoto wa askari waliotumwa 1963 kuua na kusambaratisha ustarabu uliokuwepo wa wazanzibari. Wazanzibari wana asili ya Wachina, waajemi, wareno, waarabu na wangazija. Bara walitoka kigoma kama watumwa wakapitia tabora, dodoma mpaka Zenj.
 
Baadhi ya Wabara walikuwa wanaingia Zanzibar hata kabla ya kuja kwa Waarabu , Wahindi na Waasia wengine.
Ila kwa kiasi kidogo sana , na tena zilikuwa ni safari za kusuasua ( kufa na kupona )
Hii ni kutokana na kutokua na teknojia ya majahazi na kupambana na magonjwa( Mbu ) na viumbe vya hatari

Ni kichefu , chefu cha hali ya juu kusema mgunduzi wa mlima Kilimanjaro alikua ni mzungu (Sarah Kikya ) , wakati kuna wachaga walo ishi chini ya mlima huu , na walikua wakipanda katika milima hii kwa ibada zao za giza ( kabla ya kumjua MUNGU wa kweli )
Je unaaminije wakati sisi wenyewe ni product ya Bantu migration tumehamia kwenye east coast of afrika kutokea west.
 
Je unaaminije wakati sisi wenyewe ni product ya Bantu migration tumehamia kwenye east coast of afrika kutokea west.
Ila hatukuweza kuvuka bahari kutokana na tatizo la teknolojia.
Mazingira tulo tokea pia yalikuwa ni tofauti.
Na hata wakazi wa pwani wengi wana asili ya huku ndani ndani ,
 
Persia sio suni bali shia
Si Persia wote ni shia....almost 20% ni sunni.....na hatujui hao waIran waliokuja walitokea maeneo yenye sunni ama shia wengi....Kama wangekuwa shia Leo hii tungeona athari zao huko Zanzibar...lakini ni kinyume....
 
Ni mimi pekeyangu sielewi kinachojadiliwa hapa au kuna mwingine!!!!?
 
Si Persia wote ni shia....almost 20% ni sunni.....na hatujui hao waIran waliokuja walitokea maeneo yenye sunni ama shia wengi....Kama wangekuwa shia Leo hii tungeona athari zao huko Zanzibar...lakini ni kinyume....
Wa - Persia walikuja kwenye karne ya 1 hadi 4 , lakini hawakuwekea mkazo wa kuishi kisiwa cha Zanzibar
Aliye sisitizia hili ni Sultan Seyyid Sayyid wa Oman na ilikuwa hivi karibuni kwenye miaka ya 1800 , Na aliamia visiwani Zanzibar kutokana na ugomvi wa kifamilia.
Akaamua kutafuta sehemu ya kuanzisha utawala wake , na akaiona Zanzibar
 
Tunaishi kwenye Taifa la aibu,Prof.Abdulrazak Gurnah aliepata tuzo ya Nobel alifukuzwa Zanzibar kupitia siasa za ubaguzi wa rangi za CCM-Zanzibar ikabidi akaombe uraia Uengreza.
NxwG.jpg
AEt5qe.jpg
 
Maana miaka ya 1800 Sultani alianzisha kilimo cha karafuu Zanzibar. Biashara hii na ile ya utumwa ilikuwa ya pesa nyingi. Mwishowe akaamua yeye mwenyewe kuhamia Zanzibar.

Hapo waarabu kibao kutoka Oman wakahama naye. Wakaanzisha mashamba ya karafuu na kuweka watumwa kibao kufanya kazi. Hata leo wakazi wengi unakuta wanaasili ya wanyamwezi, wayao, hadi wamanyema kutoka Congo. Mababu zao walikuwa watumwa.

Sasa wakazi wa asili kabisa wa Zanzibar ni watu gani? Lugha yao ni ipi? Au kulikuwa hakuna watu, maana visiwa vingi vya bahari ya hindi vilikuwa haviishi watu miaka watu wameanza kusafiri huku na huko baharini.
Wahadimu
 
Baadhi ya Wabara walikuwa wanaingia Zanzibar hata kabla ya kuja kwa Waarabu , Wahindi na Waasia wengine.
Ila kwa kiasi kidogo sana , na tena zilikuwa ni safari za kusuasua ( kufa na kupona )
Hii ni kutokana na kutokua na teknojia ya majahazi na kupambana na magonjwa( Mbu ) na viumbe vya hatari

Ni kichefu , chefu cha hali ya juu kusema mgunduzi wa mlima Kilimanjaro alikua ni mzungu (Sarah Kikya ) , wakati kuna wachaga walo ishi chini ya mlima huu , na walikua wakipanda katika milima hii kwa ibada zao za giza ( kabla ya kumjua MUNGU wa kweli )
Et Mungu wa kwel Acha dharau mkuu
 
Back
Top Bottom