Wakazi wa Dar: Tahadhari, epuka njia hii usiku huu

Mbona hukupiga kapicha mkuu!
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Umeshindwa kutumia japo asilimia ndogo tu ya uwezo wako wa kufikiri mkuu. Ulitaka vyombo vya ulinzi na usalama vilale na kukoroma kama wewe? Sijui huwa mnawaza kupitia viungo gani vya mwili...
Kiungo cha firigisi dingi
 
Chama dola ndiyo hii!

Siku zote, hawakujua kuna watu wanalewa usiku kucha, na kuendesha magari, au kuna wezi na majambazi mitaani??

Leo eti wanatulinda?? [emoji23]

Everyday is Saturday............................... 😎
Wanawalinda nyie mabuda maana hamuwezi kujilinda ndio maana mnakabwa na kutolewa marinda na vibaka
 
Kwa hiyo wewe unajua kuliko vyombo vya ulinzi na usalama ?
Kujua Nini kisichojuikana wanaingia wanaua,wanachoma,wanapiga,wanateka haitaji elimu kubwa kama ya msukuma tu au chini ya hapo inatosha
 
Na ndo ccm inavyotaka hivyo tuwe na taifa la wajinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…