Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ningekujibu lakini ID yako inajitoshelezaKama haujui jeshi halina rafiki wa kudumu mwambieni aendelee kuwamwaga mtaani.
Alafu mtaona KIFUATACHO.mwambieni AENDELEE kuwaruhusu waingie mitaani.
Wee kiazi kweli kama ilikuwa hali ya kawaida si tungekuwa tushaizoea?Wana usalama wapo kwa ajili yetu, wanalinda amani raia na mali zao, hivyo haina haja ya kupost mambo ya kutishana labda uwe ni muhalifu
Nimepita maeneo hayo, nilipowaona tumesalimiana na nimefarijika kuona amani imetamalaki.
Tupunguze kiwango cha ujinga ktk akili zetu.
Uhuru gani unaoutaka, ? Amani gani unayoitaka.? Kama sio muarifu unawasiwasi gani...? Majeshi yetu Yapo kwa mujibu wa sheria, Na kazi ya jeshi nikulinda Amani na mipaka yetu haswa katika kipindi kigumu Kama Hiki cha uchaguzi.... Ulitaka watu wausalama walale nyumbani ! Ili wewe udhulule usiku ndiyo amani na uhuru unaoutaka...? hivi yanayoendelea NIGERIA unayaona au huyaoni....! Kama wewe sio mualifu na hauvunji sheria za nchi Basi hupaswi Kua na Hata chembe ya uoga..... Majeshi ya ulinzi na salama wapo hapo na kwengineko kwa ajili yako na usalama wa wa TANZANIA wote. Tii sheria Bila shurti wala hauto shurutishwa.Jiji zima usiku wa leo limetawaliwa na hao watu, hakuna uhuru na amani kabisa.
Kweli kabisa mkuu, mtoa Mada hajielewiWana usalama wapo kwa ajili yetu, wanalinda amani raia na mali zao, hivyo haina haja ya kupost mambo ya kutishana labda uwe ni muhalifu
Nimepita maeneo hayo, nilipowaona tumesalimiana na nimefarijika kuona amani imetamalaki.
Tupunguze kiwango cha ujinga ktk akili zetu.
Hayo machafuko yanatoka wapi kwa mfano ?
Usalama upi?.kwani zamani kulikuwa HAKUNA usalama?.
Wanajeshi kuingia mitaani kutishana ni ishara mbaya Sana.
Kwani tupo congo hapa?.
Kwanini magufuli hajiamini?.
Ni Mambo ya ovyo kabisa
Ningekujibu lakini ID yako inajitosheleza
Hao jamaa niliwaona Changanyikeni jana na Kalandinga lao nikasepa kijiweni kuepuka fedhea.Njia ya Mwenge hadi Lugalo kama unaelekea Tanki Bovu kuna wanajeshi wenye silaha wanasimamisha magari usiku huu na kuhoji watu wametoka wapi, wanaenda wapi.
Wakikuona umekunywa pombe wanakuzingua! Yaani kuna road blocks kabisa.
Ukiweza, pita barabara nyingine mbadala kuepuka usumbufu.
#Mtoasirikificho: Badala ya kuwapongeza hawa wanajeshi wanasaidia kuzuia uharifu lakini wewe unwashitua watu wenye nia ovu wapite maeneo mengine!!! Hii inashangaza kama kweli ni Mtanzania basi kuna tatizo mahali ambapo inawezekana wewe ni sehemu ya mnyororo wa waharifu. Kama wewe huna tatizo lolote kwanini uwe na hofu? Wanajeshi tumewaajiri sis Watanzania kuhakikisha nchi ni salama wewe unlalamika kuwaona wako kazini tena katika eneo unalopita. Inawezekana huna ufahamu fasaha wa kazi za askari jeshi hasa nyakati za uchaguzi na kukawa na viashiria vya uharifu wa kuvuka mipaka.Njia ya Mwenge hadi Lugalo kama unaelekea Tanki Bovu kuna wanajeshi wenye silaha wanasimamisha magari usiku huu na kuhoji watu wametoka wapi, wanaenda wapi.
Wakikuona umekunywa pombe wanakuzingua! Yaani kuna road blocks kabisa.
Ukiweza, pita barabara nyingine mbadala kuepuka usumbufu.
NotedNjia ya Mwenge hadi Lugalo kama unaelekea Tanki Bovu kuna wanajeshi wenye silaha wanasimamisha magari usiku huu na kuhoji watu wametoka wapi, wanaenda wapi.
Wakikuona umekunywa pombe wanakuzingua! Yaani kuna road blocks kabisa.
Ukiweza, pita barabara nyingine mbadala kuepuka usumbufu.
Unataka fanya ushoga kamanda ndo ujue kua una Uhuru wa kufanya lolote???Jiji zima usiku wa leo limetawaliwa na hao watu, hakuna uhuru na amani kabisa.
Njoo PM basi tuyajengeNinayo mengi tu, kwanza niletee ule mzigo nauhitaji
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
baba wa Taifa Nyerere angekuwa na akili kama zako ungekuta bado tupo utumwaniRudi nyumbani mapema fanya mambo mengine,at least mtakua na akili kidogo tu.
Kaa bar huko uvunjwe vigoko usiku huu urudi kwako kilema sayansi
Then huwezi kuhudumia famili wala wazazi,kuna haja ya kuwa shabiki wa wanasiasa?
wanawaacha hao baada ya tar 28.
Utakuwa umewaonyesha kadi yako ya CCM. Ni wazi Mabeyo kawaambia nyie wasiwasumbue.Wana usalama wapo kwa ajili yetu, wanalinda amani raia na mali zao, hivyo haina haja ya kupost mambo ya kutishana labda uwe ni muhalifu
Nimepita maeneo hayo, nilipowaona tumesalimiana na nimefarijika kuona amani imetamalaki.
Tupunguze kiwango cha ujinga ktk akili zetu.
Tatizo la wanajeshi kusipokuwa na vita wanatafuta adui kwa nguvu. Hapa Tanzania siku hizi kuwa mwanajeshi ni sawa na kuwa kula kulala tu, kwa hiyo wanaziona hizi kama fursa, kusumbua watuNjia ya Mwenge hadi Lugalo kama unaelekea Tanki Bovu kuna wanajeshi wenye silaha wanasimamisha magari usiku huu na kuhoji watu wametoka wapi, wanaenda wapi.
Wakikuona umekunywa pombe wanakuzingua! Yaani kuna road blocks kabisa.
Ukiweza, pita barabara nyingine mbadala kuepuka usumbufu.
Hivi hata wewe unaamini upinzani watapata ushindi?Wanatamba vya mwisho mwisho
Hadith za Kilaza HiziJana jwtz wakiwa na landcruiser pickup tunduru walimkamata kichaa anitwa ,wakaanza kumpiga wakaonekana na wenyewe vichaa.
Pia vijana wa CCM gree guard wampiga sereva yebo stand baada mapishano.
Tujiuulize msajili was vyama alipiga marufuku vikundi vya kimgambomgambo kwenye vyama vya siasa kwanini sisiEM Bada wanamiliki na hachukui hatua hata kukemea?
Tuikatae sisiEM tuikatae kuharibu jeshi letu linaeshimika duniani miaka yote kabla ya mitano Kwanza