Wakazi wa Dar: Tahadhari, epuka njia hii usiku huu

Wakazi wa Dar: Tahadhari, epuka njia hii usiku huu

Kama haujui jeshi halina rafiki wa kudumu mwambieni aendelee kuwamwaga mtaani.
Alafu mtaona KIFUATACHO.mwambieni AENDELEE kuwaruhusu waingie mitaani.
Ningekujibu lakini ID yako inajitosheleza
 
Wana usalama wapo kwa ajili yetu, wanalinda amani raia na mali zao, hivyo haina haja ya kupost mambo ya kutishana labda uwe ni muhalifu

Nimepita maeneo hayo, nilipowaona tumesalimiana na nimefarijika kuona amani imetamalaki.

Tupunguze kiwango cha ujinga ktk akili zetu.
Wee kiazi kweli kama ilikuwa hali ya kawaida si tungekuwa tushaizoea?
 
Jiji zima usiku wa leo limetawaliwa na hao watu, hakuna uhuru na amani kabisa.
Uhuru gani unaoutaka, ? Amani gani unayoitaka.? Kama sio muarifu unawasiwasi gani...? Majeshi yetu Yapo kwa mujibu wa sheria, Na kazi ya jeshi nikulinda Amani na mipaka yetu haswa katika kipindi kigumu Kama Hiki cha uchaguzi.... Ulitaka watu wausalama walale nyumbani ! Ili wewe udhulule usiku ndiyo amani na uhuru unaoutaka...? hivi yanayoendelea NIGERIA unayaona au huyaoni....! Kama wewe sio mualifu na hauvunji sheria za nchi Basi hupaswi Kua na Hata chembe ya uoga..... Majeshi ya ulinzi na salama wapo hapo na kwengineko kwa ajili yako na usalama wa wa TANZANIA wote. Tii sheria Bila shurti wala hauto shurutishwa.
 
Wana usalama wapo kwa ajili yetu, wanalinda amani raia na mali zao, hivyo haina haja ya kupost mambo ya kutishana labda uwe ni muhalifu

Nimepita maeneo hayo, nilipowaona tumesalimiana na nimefarijika kuona amani imetamalaki.

Tupunguze kiwango cha ujinga ktk akili zetu.
Kweli kabisa mkuu, mtoa Mada hajielewi
 
Njia ya Mwenge hadi Lugalo kama unaelekea Tanki Bovu kuna wanajeshi wenye silaha wanasimamisha magari usiku huu na kuhoji watu wametoka wapi, wanaenda wapi.

Wakikuona umekunywa pombe wanakuzingua! Yaani kuna road blocks kabisa.

Ukiweza, pita barabara nyingine mbadala kuepuka usumbufu.
Hao jamaa niliwaona Changanyikeni jana na Kalandinga lao nikasepa kijiweni kuepuka fedhea.
 
Njia ya Mwenge hadi Lugalo kama unaelekea Tanki Bovu kuna wanajeshi wenye silaha wanasimamisha magari usiku huu na kuhoji watu wametoka wapi, wanaenda wapi.

Wakikuona umekunywa pombe wanakuzingua! Yaani kuna road blocks kabisa.

Ukiweza, pita barabara nyingine mbadala kuepuka usumbufu.
#Mtoasirikificho: Badala ya kuwapongeza hawa wanajeshi wanasaidia kuzuia uharifu lakini wewe unwashitua watu wenye nia ovu wapite maeneo mengine!!! Hii inashangaza kama kweli ni Mtanzania basi kuna tatizo mahali ambapo inawezekana wewe ni sehemu ya mnyororo wa waharifu. Kama wewe huna tatizo lolote kwanini uwe na hofu? Wanajeshi tumewaajiri sis Watanzania kuhakikisha nchi ni salama wewe unlalamika kuwaona wako kazini tena katika eneo unalopita. Inawezekana huna ufahamu fasaha wa kazi za askari jeshi hasa nyakati za uchaguzi na kukawa na viashiria vya uharifu wa kuvuka mipaka.
 
Njia ya Mwenge hadi Lugalo kama unaelekea Tanki Bovu kuna wanajeshi wenye silaha wanasimamisha magari usiku huu na kuhoji watu wametoka wapi, wanaenda wapi.

Wakikuona umekunywa pombe wanakuzingua! Yaani kuna road blocks kabisa.

Ukiweza, pita barabara nyingine mbadala kuepuka usumbufu.
Noted
 
Rudi nyumbani mapema fanya mambo mengine,at least mtakua na akili kidogo tu.

Kaa bar huko uvunjwe vigoko usiku huu urudi kwako kilema sayansi

Then huwezi kuhudumia famili wala wazazi,kuna haja ya kuwa shabiki wa wanasiasa?
wanawaacha hao baada ya tar 28.
baba wa Taifa Nyerere angekuwa na akili kama zako ungekuta bado tupo utumwani
 
Yaani kuhojiwa kidogo tu tayari umeona usumbufu ila ukikuta waliofunga njia ni maninja hata sura huwaoni na wanatumia magogo kama road block alafu ni usiku sijui utasemaje. Kiuhalisia hio njia ipo eneo la kambini kwahio usisangae mara nyingi sana wakat taifa lipo kwenye tension ulinzi unatakiwa uwe kwenye kiwango kisicho na mashaka.
 
Wana usalama wapo kwa ajili yetu, wanalinda amani raia na mali zao, hivyo haina haja ya kupost mambo ya kutishana labda uwe ni muhalifu

Nimepita maeneo hayo, nilipowaona tumesalimiana na nimefarijika kuona amani imetamalaki.

Tupunguze kiwango cha ujinga ktk akili zetu.
Utakuwa umewaonyesha kadi yako ya CCM. Ni wazi Mabeyo kawaambia nyie wasiwasumbue.
 
Njia ya Mwenge hadi Lugalo kama unaelekea Tanki Bovu kuna wanajeshi wenye silaha wanasimamisha magari usiku huu na kuhoji watu wametoka wapi, wanaenda wapi.

Wakikuona umekunywa pombe wanakuzingua! Yaani kuna road blocks kabisa.

Ukiweza, pita barabara nyingine mbadala kuepuka usumbufu.
Tatizo la wanajeshi kusipokuwa na vita wanatafuta adui kwa nguvu. Hapa Tanzania siku hizi kuwa mwanajeshi ni sawa na kuwa kula kulala tu, kwa hiyo wanaziona hizi kama fursa, kusumbua watu
 
Jana jwtz wakiwa na landcruiser pickup tunduru walimkamata kichaa anitwa ,wakaanza kumpiga wakaonekana na wenyewe vichaa.
Pia vijana wa CCM gree guard wampiga sereva yebo stand baada mapishano.
Tujiuulize msajili was vyama alipiga marufuku vikundi vya kimgambomgambo kwenye vyama vya siasa kwanini sisiEM Bada wanamiliki na hachukui hatua hata kukemea?
Tuikatae sisiEM tuikatae kuharibu jeshi letu linaeshimika duniani miaka yote kabla ya mitano Kwanza
Hadith za Kilaza Hizi
 
Back
Top Bottom