Wakazi wa Dar: Tahadhari, epuka njia hii usiku huu

Wakazi wa Dar: Tahadhari, epuka njia hii usiku huu

...unajuwa mbinu za kijesh za kumteka adui...Je ulikuwepo na unauhakika hawakuenda kweny tukio...?
Mbinu hizo za green guard wa sisiem sio jeshi letu,wanaua, ,wanachoma nyumba za kutosha moto na magari Kisha taratibu wanaondoka na mateka wao.
Wanawake na watotochini ya miaka 10 wametekwa afu mnawamrisha kufanya kazi za polisijamii bila professional yao
 
Uwo Usalama unaitajika leo tu na sio siku zote?

'Level of Security alert' inachange kulingana na nyakati au matukio fulani

Uchaguzi ktk nchi zozote zile huifanya amani kuwa ktk hali tete kiasi maana ndio kipindi pekee ambapo joto la mihemko kwa wananchi huwa juu sana, hvyo wana usalama huongeza umakini kwa kiwango cha hali ya juu kipindi hiki

Tukumbuke tu AMANI YA NCHI ndio first priority kwa mwananchi

Burundi, Rwanda ñ, Congo DRC, Guinea, Libya etc huko kote wananchi wanakimbia nchi zao si kwasababu ya hali mbaya kiuchumi au hakuna huduma za kijamii bali NI KUKOSEKANA AMANI ndani ya nchi zao
 
Inaonekana hujielewi we Mbwa kbhxa..." Mimi Sina chama ila umeandika ujinga mtu...

Kinachomwingiza kiongoz wako ikulu ni kura yako si hao CCM sijui , JWTz., Mara sijui Bibi ako kawaje ... Be logic acha upoporo dingi..:
Umbwa ni huyo mnae mtumikia, na nyie wote JWTZ, POLISI, TISS na utopolo mwingine! Mmeharibu nchi imejaa chuki kwa upumbavu wenu wa kumlinda kiongozi mwendawazimu!
 
Umbwa ni huyo mnae mtumikia, na nyie wote JWTZ, POLISI, TISS na utopolo mwingine! Mmeharibu nchi imejaa chuki kwa upumbavu wenu wa kumlinda kiongozi mwendawazimu!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38].....sisi wenyewe wendawazimu ..."...Kama ulikuwa hujui.[emoji3]
 
Njia ya Mwenge hadi Lugalo kama unaelekea Tanki Bovu kuna wanajeshi wenye silaha wanasimamisha magari usiku huu na kuhoji watu wametoka wapi, wanaenda wapi.

Wakikuona umekunywa pombe wanakuzingua! Yaani kuna road blocks kabisa.

Ukiweza, pita barabara nyingine mbadala kuepuka usumbufu.
Ndio Maana jamii forum inapigwa Vita na Mamlaka kwa Mambo ya kijinga kama haya
 
Vyombo vya ulinzi na usalama Tanzania vimejigeuza chama cha mapinduzi! CCM wenyewe wametulia tuli wamewaachia hao JWTZ,TISS, POLISI, na maafisa wengine wa serikali wakiipigania CCM iingie madarakani!
Mlichopanga kufanya kimekwama! Hongereni majeshi ytu,
Nyie mnao lalamika ndo msiolitakia amani taifa hili.
Kura zitapigwa na mshindi atatangazwa kwa amani.
 
Mbinu hizo za green guard wa sisiem sio jeshi letu,wanaua, ,wanachoma nyumba za kutosha moto na magari Kisha taratibu wanaondoka na mateka wao.
Wanawake na watotochini ya miaka 10 wametekwa afu mnawamrisha kufanya kazi za polisijamii bila professional yao
Ndio...Mkuuu"[emoji3][emoji3][emoji3][emoji38][emoji38][emoji38] lengo nikukere Ani" nanga wew[emoji1787]
 
Wana usalama wapo kwa ajili yetu, wanalinda amani raia na mali zao, hivyo haina haja ya kupost mambo ya kutishana labda uwe ni muhalifu

Nimepita maeneo hayo, nilipowaona tumesalimiana na nimefarijika kuona amani imetamalaki.

Tupunguze kiwango cha ujinga ktk akili zetu.
Wajinga kamabmtoa mada wako wengi sana jf.
 
Jiji zima usiku wa leo limetawaliwa na hao watu, hakuna uhuru na amani kabisa.
Umeshindwa kutumia japo asilimia ndogo tu ya uwezo wako wa kufikiri mkuu. Ulitaka vyombo vya ulinzi na usalama vilale na kukoroma kama wewe? Sijui huwa mnawaza kupitia viungo gani vya mwili...
 
Wana usalama wapo kwa ajili yetu, wanalinda amani raia na mali zao, hivyo haina haja ya kupost mambo ya kutishana labda uwe ni muhalifu

Nimepita maeneo hayo, nilipowaona tumesalimiana na nimefarijika kuona amani imetamalaki.

Tupunguze kiwango cha ujinga ktk akili zetu.
Si wangeenda Mtwara
 
Umeshindwa kutumia japo asilimia ndogo tu ya uwezo wako wa kufikiri mkuu. Ulitaka vyombo vya ulinzi na usalama vilale na kukoroma kama wewe? Sijui huwa mnawaza kupitia viungo gani vya mwili...
siku zote walikuwa wapi?
 
siku zote walikuwa wapi?
Siku zote wanakuwepo sehem nyingine za nchi ila wameongezeka kuimalisha ulinzi wa Nchi ikiwemo wewe na Mama yako

Hawapo kwa AjirI ya kukuzuia wewe kumchagua Huyo Lissu

ila wapo kuhakikisha unamchagua huyo Lissu wako vizuri

Umenielewa ??
 
Wakikuona umekunywa pombe wanakuzingua! Yaani kuna road blocks kabisa.

Ukiweza, pita barabara nyingine mbadala kuepuka usumbufu.
Wakiona umekunywa pombe wanakuzingua kwa hiyo tukapite njia m-badala na pombe zetu vichwani

What a dumb eff

You out- dumbed yourself today
 
Back
Top Bottom