Wakazi wa Dar: Tahadhari, epuka njia hii usiku huu

Wakazi wa Dar: Tahadhari, epuka njia hii usiku huu

Wana usalama wapo kwa ajili yetu, wanalinda amani raia na mali zao, hivyo haina haja ya kupost mambo ya kutishana labda uwe ni muhalifu

Nimepita maeneo hayo, nilipowaona tumesalimiana na nimefarijika kuona amani imetamalaki.

Tupunguze kiwango cha ujinga ktk akili zetu.
Uwo Usalama unaitajika leo tu na sio siku zote?
 
Kama haujui jeshi halina rafiki wa kudumu mwambieni aendelee kuwamwaga mtaani.
Alafu mtaona KIFUATACHO.mwambieni AENDELEE kuwaruhusu waingie mitaani.
kwa hiyo unawapangia jinsi ya kufanya ulinzi?
 
Jana jwtz wakiwa na landcruiser pickup tunduru walimkamata kichaa anitwa ,wakaanza kumpiga wakaonekana na wenyewe vichaa.
Pia vijana wa CCM gree guard wampiga sereva yebo stand baada mapishano.
Tujiuulize msajili was vyama alipiga marufuku vikundi vya kimgambomgambo kwenye vyama vya siasa kwanini sisiEM Bada wanamiliki na hachukui hatua hata kukemea?
Tuikatae sisiEM tuikatae kuharibu jeshi letu linaeshimika duniani miaka yote kabla ya mitano Kwanza
 
mwambieni aendelee kuwamwaga mtaani.alafu muone kifuatacho..
Hatoamini macho yake.jeshi halina urafiki wa kudumu.
Ndo maana unajiita " Mjingiwew"
Eneo la kambi ni kawaida sana....historia ya vipind vya uchaguzi inajulikan Sasa
 
Kama haujui jeshi halina rafiki wa kudumu mwambieni aendelee kuwamwaga mtaani.
Alafu mtaona KIFUATACHO.mwambieni AENDELEE kuwaruhusu waingie mitaani.
wameonekana mtaa gani kwani mbona una hasira sana leo?
 
Me nimepita sa5 pale lugalo nikiwa na uber wakatusimamisha tukasalimiana vzr wakauliza tunakotoka na tunakoenda hao tukasepa acheni uwoga,wewe kama sio mwalifu unaogopa nn? Kuna nchi zingine wakiona hvo ndo wanafurahi
 
Me nimepita sa5 pale lugalo nikiwa na uber wakatusimamisha tukasalimiana vzr wakauliza tunakotoka na tunakoenda hao tukasepa acheni uwoga,wewe kama sio mwalifu unaogopa nn? Kuna nchi zingine wakiona hvo ndo wanafurahi
[emoji16][emoji16][emoji16].sawa Mimi na hasira.
Ila mwambieni aendelee kuwamwaga mtaani atakuja kufurahia shoo.
...unajiongelesha tyu ebu kapige kura uko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji38]..:
 
Polisi wamepiga bomu la machozi Stakishari waumini walikuwa wakisali wamekimbia mara baada ya kuanza kukohoa.
 
Rudi nyumbani mapema fanya mambo mengine,at least mtakua na akili kidogo tu.

Kaa bar huko uvunjwe vigoko usiku huu urudi kwako kilema sayansi

Then huwezi kuhudumia famili wala wazazi,kuna haja ya kuwa shabiki wa wanasiasa?
wanawaacha hao baada ya tar 28.
And yet kuna watu wanakuita mzazi. Pimbi kweli wewe
 
Njia ya Mwenge hadi Lugalo kama unaelekea Tanki Bovu kuna wanajeshi wenye silaha wanasimamisha magari usiku huu na kuhoji watu wametoka wapi, wanaenda wapi.

Wakikuona umekunywa pombe wanakuzingua! Yaani kuna road blocks kabisa.

Ukiweza, pita barabara nyingine mbadala kuepuka usumbufu.
WANAFIKI WANA JIBU VIZURIKWERI HUU UZI
 
Kuna watu wana akili za hovyo,yana mtu anadiliki kusema kuwa wakikukuta umekunywa pombe wanakuzingua wakati anajua fika kunywa pombe na kuendesha chombo cha moto ni kinyume cha sheria za barabarani.
Nahisi hakuna wakati tumezalisha vijana wajinga kama nyakati hizi,Mungu tu atusaidie.
Sasa hao ni matrafik
 
Back
Top Bottom