KERO Wakazi wa eneo la Kitefure Longuo, Moshi Vijijini hatuna maji kwa muda mrefu

KERO Wakazi wa eneo la Kitefure Longuo, Moshi Vijijini hatuna maji kwa muda mrefu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Kitefure Longuo A Moshi Vijijini, tuna changamoto ya kutokuwa na huduma ya maji kutokana na maji kutotoka hali ambayo inaathiri Watu wengi ikiwemo sisi Wanachuo na Wanajamii kwa jumla, hali hii imedumu kwa muda mrefu sasa, tunaomba kusaidiwa.

maji moshi.jpg

IMG20250211082117.jpg

Hii ni nyumba moja na tunapata maji mara moja kwa wiki au siku 9 Hadi 10.

======================
JamiiForums inaendelea na jitihada za kuwasiliana na Uongozi wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Mkoani Kilimanjaro kuhusu hoja ya Mwanachama huyo wa JamiiForums.com
 
IMG20250211082117.jpg
fikilia Hii ni nyumba moja na tunapata maji Mara moja kwa wiki au siku 9 Hadi 10
 
Kitefure Longuo A Moshi Vijijini, tuna changamoto ya kutokuwa na huduma ya maji kutokana na maji kutotoka hali ambayo inaathiri Watu wengi ikiwemo sisi Wanachuo na Wanajamii kwa jumla, hali hii imedumu kwa muda mrefu sasa, tunaomba kusaidiwa.

View attachment 3232991
View attachment 3236049
Hii ni nyumba moja na tunapata maji mara moja kwa wiki au siku 9 Hadi 10.

======================
JamiiForums inaendelea na jitihada za kuwasiliana na Uongozi wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Mkoani Kilimanjaro kuhusu hoja ya Mwanachama huyo wa JamiiForums.com

Moshi kuna vyanzo vingi vya maji kama mito na chemchemi, inashangaza sana kuwa na maeneo ambayo hakuna maji.
 
Back
Top Bottom