Rais Samia Suluhu anaelekea kufanya ziara ya siku 3 mkoa wa Kigoma kwaajili ya kukagua shughuri mbali mbali za maendeleo.
Sasa tuangalie maendeleo mbalimbali yaliyopelekwa na serikali katika mkoa wa Kigoma
1. Tanzania ina vituo 17 vya uwezeshaji wananchi kiuchumi, 6 vipo mkoani Kigoma.
Mwaka 2021 viliwezesha wajasiriamali kukopeshwa TZS bilioni 5.4, fedha zilizobadili biashara na kuboresha maisha yao. Mhe. Rais Samia anataka kuwaona wanakuwa wafanyabiashara wakubwa.
2. Rais Samia Suluhu Hassan ametoa zaidi ya Shilingi Bilioni 52.9 kwa Mkoa wa Kigoma kwaajili ya Ujenzi wa Meli kubwa mbili, moja ya kubeba mizigo na nyingine ya kubeba abiria.
Pia Mhe.Rais Samia ametoa fedha kwaajili ya ukarabati na Maboresho ya MV Liemba na MV Miongozo.
Kukamilika kwa meli hizo kutarejesha Kigoma ktk uelekeo sahihi kiuchumi
3.Grid ya taifa kufika Kigoma
"Umeme wa Grid ya Taifa kufika Kigoma ina maana Shirika la Tanesco linaenda kuokoa kiasi cha sh. bilioni 22.4 kwa mwaka. Kupitia umeme huu umechochea shughuli mbalimbali za maendeleo
Yapo mengi yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu katika mkoa wa kigoma.
Sasa tuangalie maendeleo mbalimbali yaliyopelekwa na serikali katika mkoa wa Kigoma
1. Tanzania ina vituo 17 vya uwezeshaji wananchi kiuchumi, 6 vipo mkoani Kigoma.
Mwaka 2021 viliwezesha wajasiriamali kukopeshwa TZS bilioni 5.4, fedha zilizobadili biashara na kuboresha maisha yao. Mhe. Rais Samia anataka kuwaona wanakuwa wafanyabiashara wakubwa.
2. Rais Samia Suluhu Hassan ametoa zaidi ya Shilingi Bilioni 52.9 kwa Mkoa wa Kigoma kwaajili ya Ujenzi wa Meli kubwa mbili, moja ya kubeba mizigo na nyingine ya kubeba abiria.
Pia Mhe.Rais Samia ametoa fedha kwaajili ya ukarabati na Maboresho ya MV Liemba na MV Miongozo.
Kukamilika kwa meli hizo kutarejesha Kigoma ktk uelekeo sahihi kiuchumi
3.Grid ya taifa kufika Kigoma
"Umeme wa Grid ya Taifa kufika Kigoma ina maana Shirika la Tanesco linaenda kuokoa kiasi cha sh. bilioni 22.4 kwa mwaka. Kupitia umeme huu umechochea shughuli mbalimbali za maendeleo
Yapo mengi yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu katika mkoa wa kigoma.