Wakazi wa kijiji cha Kifundai na vitongoji vyake tunakabiliwa na changamoto ya huduma mbovu za afya na mawasiliano

Wakazi wa kijiji cha Kifundai na vitongoji vyake tunakabiliwa na changamoto ya huduma mbovu za afya na mawasiliano

Fundi wa fundi

Senior Member
Joined
Apr 18, 2017
Posts
117
Reaction score
53
Tunakabiliwa na shida ya mtandao wa mawasiliano, yaani ukitaka kupiga simu lazima uende kitongoji kingine mbali ya kwamba tuna zahanati ya kijiji, wananchi waliojiunga na bima hawana faida au hawafaidiki na bima hizo pindi wanapoenda kutibiwa tafadhali serikali inatusaidiaje katika hili.

Tuna shule ya Msingi inaitwa Bangala, ina zaidi ya miaka 40 lakini umeme na mawasiliano hakuna maji ya shida mbali ya kwamba kuna mto unapitisha maji kwa zaidi ya miaka 60-70.
 
Jamii check tunaomba msaada wenu katika kufikisha kero zetu hizi
 
Kijiji kipo mkoa gani? Wilaya gani?
Tanzani kubwa jamani
 
Back
Top Bottom