KERO Wakazi wa Kwa Pengo, Wilaya ya Micheweni (Pemba) tuna uhaba wa huduma ya Maji mwaka wa nne Sasa

KERO Wakazi wa Kwa Pengo, Wilaya ya Micheweni (Pemba) tuna uhaba wa huduma ya Maji mwaka wa nne Sasa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

MeVSMe

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2024
Posts
270
Reaction score
425
photo_2024-11-26_12-38-19 (2).jpg

Hili ni Bomba la Maji ambalo lina miaka kadhaa sasa halifanyi kazi, tunategemea maji ya kwenye visima.
Wananchi wa Kwa Pengo, Sheya ya Sizini Wilaya ya Micheweni, Mkoa wa Kaskazini Pemba tuna kadhia inayotusumbua ya ukosefu wa Huduma ya Maji safi na salama, kwa muda wa zaidi ya miaka minne sasa.

Ukoefu wa Maji umekuwa na madhara kwetu Kiafya pamoja na kupata ugumu wa kutafuta maji safi, kwani tumekuwa tukiifuata huduma hiyo masafa marefu katika maeneo ya Milima na Mabondeni.

Tatizo hilo la Maji limesababisha hata wakati wa ibada kutokuwa rafiki kwetu na hivyo kusababisha wakati mwingine kuswali tukiwa maeneo ya mabondeni, ama kwenda misikiti ya Vijiji vya jirani.

Hata inapotokea misiba kuna muda tunapata hofu wa kujiuliza tutapata mapo Maji ya kumsitiri mwenzetu au wenzetu.

Kwa vile tilishakwenda kwenye Mamlaka husika kupeleka kilio chetu hicho, ni vyema Mamlaka kufika kijijini hapo na kufanya matengenezo ili kuona wanalipatia ufumbuzi tatizo hilo.
 
Dada yenu kawasahau msanueni hela ipo kwake znz muishi kama dubenga
 
View attachment 3167401
Hili ni Bomba la Maji ambalo lina miaka kadhaa sasa halifanyi kazi, tunategemea maji ya kwenye visima.
Wananchi wa Kwa Pengo, Sheya ya Sizini Wilaya ya Micheweni, Mkoa wa Kaskazini Pemba tuna kadhia inayotusumbua ya ukosefu wa Huduma ya Maji safi na salama, kwa muda wa zaidi ya miaka minne sasa.

Ukoefu wa Maji umekuwa na madhara kwetu Kiafya pamoja na kupata ugumu wa kutafuta maji safi, kwani tumekuwa tukiifuata huduma hiyo masafa marefu katika maeneo ya Milima na Mabondeni.

Tatizo hilo la Maji limesababisha hata wakati wa ibada kutokuwa rafiki kwetu na hivyo kusababisha wakati mwingine kuswali tukiwa maeneo ya mabondeni, ama kwenda misikiti ya Vijiji vya jirani.

Hata inapotokea misiba kuna muda tunapata hofu wa kujiuliza tutapata mapo Maji ya kumsitiri mwenzetu au wenzetu.

Kwa vile tilishakwenda kwenye Mamlaka husika kupeleka kilio chetu hicho, ni vyema Mamlaka kufika kijijini hapo na kufanya matengenezo ili kuona wanalipatia ufumbuzi tatizo hilo.
Poleni sana wana micheweni, pemba kwq zanzibar inasahaulika sana
 
Fanyeni mawasiliano na shirika la asma mwinyifoundation atawasaidia
View attachment 3167401
Hili ni Bomba la Maji ambalo lina miaka kadhaa sasa halifanyi kazi, tunategemea maji ya kwenye visima.
Wananchi wa Kwa Pengo, Sheya ya Sizini Wilaya ya Micheweni, Mkoa wa Kaskazini Pemba tuna kadhia inayotusumbua ya ukosefu wa Huduma ya Maji safi na salama, kwa muda wa zaidi ya miaka minne sasa.

Ukoefu wa Maji umekuwa na madhara kwetu Kiafya pamoja na kupata ugumu wa kutafuta maji safi, kwani tumekuwa tukiifuata huduma hiyo masafa marefu katika maeneo ya Milima na Mabondeni.

Tatizo hilo la Maji limesababisha hata wakati wa ibada kutokuwa rafiki kwetu na hivyo kusababisha wakati mwingine kuswali tukiwa maeneo ya mabondeni, ama kwenda misikiti ya Vijiji vya jirani.

Hata inapotokea misiba kuna muda tunapata hofu wa kujiuliza tutapata mapo Maji ya kumsitiri mwenzetu au wenzetu.

Kwa vile tilishakwenda kwenye Mamlaka husika kupeleka kilio chetu hicho, ni vyema Mamlaka kufika kijijini hapo na kufanya matengenezo ili kuona wanalipatia ufumbuzi tatizo hilo.
 
View attachment 3167401
Hili ni Bomba la Maji ambalo lina miaka kadhaa sasa halifanyi kazi, tunategemea maji ya kwenye visima.
Wananchi wa Kwa Pengo, Sheya ya Sizini Wilaya ya Micheweni, Mkoa wa Kaskazini Pemba tuna kadhia inayotusumbua ya ukosefu wa Huduma ya Maji safi na salama, kwa muda wa zaidi ya miaka minne sasa.

Ukoefu wa Maji umekuwa na madhara kwetu Kiafya pamoja na kupata ugumu wa kutafuta maji safi, kwani tumekuwa tukiifuata huduma hiyo masafa marefu katika maeneo ya Milima na Mabondeni.

Tatizo hilo la Maji limesababisha hata wakati wa ibada kutokuwa rafiki kwetu na hivyo kusababisha wakati mwingine kuswali tukiwa maeneo ya mabondeni, ama kwenda misikiti ya Vijiji vya jirani.

Hata inapotokea misiba kuna muda tunapata hofu wa kujiuliza tutapata mapo Maji ya kumsitiri mwenzetu au wenzetu.

Kwa vile tilishakwenda kwenye Mamlaka husika kupeleka kilio chetu hicho, ni vyema Mamlaka kufika kijijini hapo na kufanya matengenezo ili kuona wanalipatia ufumbuzi tatizo hilo.
Shida nini! Mbona mgombea wenu wa urais wakati wa kampeni aliposema nyumba zote hivi sasa zina mabomba ya maji mlishangilia, acha uzushi.
 
Hilo jina kwa Pengo ni kwa hisani ya Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo?
 
Back
Top Bottom