A Anonymous Guest Aug 6, 2024 #1 Sisi wakazi wa Mbezi Msakuzi tumeikosea nini Serikali? Maji shida, barabara shida ni kama kuna juhudi za makusudi kabisa tukose huduma hizi. Pia, soma: √ - Dar: DAWASA yakutana na wananchi wa Msakuzi, ili kupata hatma ya huduma ya maji
Sisi wakazi wa Mbezi Msakuzi tumeikosea nini Serikali? Maji shida, barabara shida ni kama kuna juhudi za makusudi kabisa tukose huduma hizi. Pia, soma: √ - Dar: DAWASA yakutana na wananchi wa Msakuzi, ili kupata hatma ya huduma ya maji
Mashamba Makubwa Nalima JF-Expert Member Joined Mar 19, 2024 Posts 4,978 Reaction score 2,411 Jan 5, 2025 #2 Vipi kuna lolote serikali limefanya kufikia suluhu ya hili jambo? Au ndiyo vile mnavumilia tu ndani kwasababu Yanga na Simba zinashinda.
Vipi kuna lolote serikali limefanya kufikia suluhu ya hili jambo? Au ndiyo vile mnavumilia tu ndani kwasababu Yanga na Simba zinashinda.
Mashamba Makubwa Nalima JF-Expert Member Joined Mar 19, 2024 Posts 4,978 Reaction score 2,411 Jan 5, 2025 #4 2025 mwaka wa kusiliza kero naamini mtafikiwa pia.