KERO Wakazi wa Mbezi Msakuzi tumeikosea nini Serikali mpaka haileti huduma ya maji na miundombinu ya barabara?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Vipi kuna lolote serikali limefanya kufikia suluhu ya hili jambo? Au ndiyo vile mnavumilia tu ndani kwasababu Yanga na Simba zinashinda.
 
Reactions: Lax
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…