Wakazi wa Mikocheni, poleni kwa Mvua

Wakazi wa Mikocheni, poleni kwa Mvua

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Habarini za Usiku,
Mvua zinazo shambulia Jiji la DSM linashambulia mitaa mbali mbali ya jiji, leo nilipita mitaa ya MIKOCHENI kwa WARIOBA nilichokishuhudia pale leo ni wazi serikali inapaswa ichukue jambo

Leo kwa warioba kuna bajaji ilisombwa na maji kutoka barabarani ikapelekwa ng'ambo ya pili tena ilikuwa na abiria na ilisemekana abiria mmoja alikimbizwa hospital.

Sasa eneo lote la Mikocheni ukianzia shoppers kuelekea Kawe ni SHIDAAAAA

Unakuta JUMBA zuri lkn lina tiririsha maji au limezungukwa na maji
 
Haya mambo Nilijua wilaya ya temeke pekee kumbe hata kinondoni kwa wenye mahela yapo..😂😂 haya Obama na wenzake watatuma chopa kuwaokoa wakazi wa huko.
 
Kwa wale wageni wa hili jiji kwamba eneo lote lilikuwa ni eneo la kilimo cha MPUNGA kama mjuavyo MPUNGA unahitaji maji hivyo jiji lote limezungukwa na maji hivyo nawaombeni karibuni huku chalinze tuchukue maeneo
 
Ndugu yaan wenzako walikuwa wana pelekwa na maji iv muda wa kupiga picha utaupata kweli ? Tulikuwa busy kuokoa bajaji na abiria wake.
Kama ni mkazi wa dsm ww ulizia tu mafuriko mikocheni
 
Haya mambo Nilijua wilaya ya temeke pekee kumbe hata kinondoni kwa wenye mahela yapo..[emoji23][emoji23] haya Obama na wenzake watatuma chopa kuwaokoa wakazi wa huko.
Mvua kidogo tu , jangwani hapapitiki kabisa, mwendokasi zinageuka kua dala dala za kawaida , sema utafauti inakua ni nauli
 
Hivi walishindwa vipi kutengeneza drainage system ikamwage maji baharin tu hapo
 
Hadi nyumbani kwa mkewe mdogo marhum mengi.
Mafuriko Yana ujamaa
Haya mambo Nilijua wilaya ya temeke pekee kumbe hata kinondoni kwa wenye mahela yapo..[emoji23][emoji23] haya Obama na wenzake watatuma chopa kuwaokoa wakazi wa huko.
 
Hata pale kwenye club yetu pendwa palikuwa ni mashamba ya mpunga.
Sijui Nani aliwashauri wajenge pale
Kwa wale wageni wa hili jiji kwamba eneo lote lilikuwa ni eneo la kilimo cha MPUNGA kama mjuavyo MPUNGA unahitaji maji hivyo jiji lote limezungukwa na maji hivyo nawaombeni karibuni huku chalinze tuchukue maeneo
 
Serikali ipi? Awamu ya kwanza kulikua hakuna mafuriko. Walipoingia wachina tu na kuruhusiwa na watendaji wa jiji wajenge magorofa ndio mwanzo wa shida
Wachina ni marafiki zetu wa kihistoria waachwe tu
 
Hoja hizi hutaona Vitakataka by CCM vikichangia kuleta solution. Yaani viko hivyohovyooo hapo ka jinga kataleta tumepata ushindi wa kishindo. Yaani laana laana tupu.
 
Mmetoka kuidisi Temeke Leo mshajisahau.
Muna Vichwa vya kuku

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Huwezi sikia, Goba,Madale,Kinyerezi,Mbagala,kigamboni,Toangoma,Buza,Chanika,Masaki, kimara wanalia Mafuriko. Shida ipo kwa hawa wakazi wa Sinza, kijitonyama, Mwananyamala, kinondoni, vingunguti ,Msasani, Tegeta na kawe siyo salama kwa afya yako yaani ikinyesha mvua tu huna uhakika wa kurudi Home pia unaweza ukarudi ukakuta familia imesombwa na Maji au ukakuta unapishana na vyombo vyako barabarani vinapeleka baharini. Ila hawa wa kwenye Mafuriko wanajua kuchamba wenzao na kuwaitakuwaita wapo swekeni
IMG_20201112_121500.jpg
 
Back
Top Bottom