luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
- Thread starter
- #21
Nasikiaga huko ktk club zao wana gegedana sanaaa na ufuksa wote hukonJaribu kwenda kwenye club za wachina hapa hapa Tanzania Tena Dar. Wakikuruhusu kuingia njoo uni tag
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikiaga huko ktk club zao wana gegedana sanaaa na ufuksa wote hukonJaribu kwenda kwenye club za wachina hapa hapa Tanzania Tena Dar. Wakikuruhusu kuingia njoo uni tag
Habarini za Usiku,
Mvua zinazo shambulia Jiji la DSM linashambulia mitaa mbali mbali ya jiji, leo nilipita mitaa ya MIKOCHENI kwa WARIOBA nilichokishuhudia pale leo ni wazi serikali inapaswa ichukue jambo
Leo kwa warioba kuna bajaji ilisombwa na maji kutoka barabarani ikapelekwa ng'ambo ya pili tena ilikuwa na abiria na ilisemekana abiria mmoja alikimbizwa hospital.
Sasa eneo lote la Mikocheni ukianzia shoppers kuelekea Kawe ni SHIDAAAAA
Unakuta JUMBA zuri lkn lina tiririsha maji au limezungukwa na maji
🤣 🤣 🤣au ukakuta unapishana na vyombo vyako barabarani vinapeleka baharini.
Mbezi, Kimara, Goba, Kibamba, Kiluvya, Kinyerezi, Malamba nk japo kuna miinuko lakini aaah watu wanaenjoy. Tatizo ni miundombinu ya barabara dadeq!!!eneo salama ni mbezi na kimara[emoji23][emoji23]
kwingine kaa chonjo.