Wakazi wa Mkonze Dodoma jiji, barabara ya Iringa, tuna nguzo za REA huu mwaka wa pili zimesimamishwa ila hazina nyaya

Wakazi wa Mkonze Dodoma jiji, barabara ya Iringa, tuna nguzo za REA huu mwaka wa pili zimesimamishwa ila hazina nyaya

ryan riz

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
423
Reaction score
683
Kichwa cha habari chajieleza..

Huu mwaka wa pili tangu hizi nguzo zisimamishwe baada ya agizo la Hayati Magufuli alipopita kwenda ziarani Iringa..

Alisema haiwezekani anapita mjin halafu kuna giza tuwekewe umeme haraka sana. Nguzo zikawekwa alipofariki na umeme umefariki pia..

Sasa hivi vishoka wanaiba nguzo moja moja, mpaka sasa zimechomolewa nguzo tatu, muda si mrefu hii line hizi nguzo zitaisha kwa kuibwa na vishoka japo zimesimamishwa.

Nguzo hizi zinapakana na line kubwa ya umeme wa gesi na line mpya inayojengwa ya umeme wa SGR

Waziri wa Nishati, January Makamba usaidie wananchi wa eneo hili tunateseka kwa kukosa huduma hii muhimu
 
Project nyingi tu zinajemea mashine sahv
 
kichwa cha habari chajieleza...huu mwaka wa pili toka hizi nguzo zisimamishwe baada ya agizo la Hayati magufuli alipopita kwenda ziarani Iringa...alisema haiwezekani anapita mjin alafu kuna giza tuwekewe umeme haraka sana..nguzo zikawekwa alipofariki na umeme umefariki pia..
Sasa hivi vishoka wanaiba nguzo moja moja. mpaka sasa zimechomolewa nguzo tatu.. muda si mrefu hii line hizi nguzo zitaisha kwa kuibwa na vishoka japo zimesimamishwa...
Nguzo hizi zinapakana na line kubwa ya umeme wa gesi na line mpya inayojengwa ya umeme wa SGR
w
Mh tusaidie wananchi wa eneo hili tunateseka kwa kukosa huduma hii muhimu
Unanikemea? Nilisema hatuchimbi mafuta mkashangaa Sasa nasema hivi nyaya nazo hatutengenezi tusubiri Ukrane na Urusi wamalize Vita vyao then tutaagiza Kenya Ila hapo Mkonze centre mbona Kuna fundi vibatari? Endelea kula mtori nyama utazikuta chini.
 
Bora ungemuambia kiziwi labda angekusikiliza lkn sio huyo Janware.
Hapo hadi vita ya Yukreni na Urusi iishe 2027.
 
Bora ungemuambia kiziwi labda angekusikiliza lkn sio huyo Janware.
Hapo hadi vita ya Yukreni na Urusi iishe 2027.
dooh....hivyo tusubir mpaka huo mwaka...sasa vishoka si watazimaliza hizi nguzo kuzichomoa...! maana wanaiba usiku tukiamka tunakuta zimepungua
 
Hakuna wa kukusikiliza kwa hivi sasa, serikali wenyewe wanalia lia hawajui wafanye nini
 
Vishoka nao wanakula kutokana na urefu wa kamba yao
daah fani yangu tu nadhani ndio siwezi kula kwa urefu wa kamba yangu..maana ntakuwa najiibia mwenyew..Huko siri'kali-ni watu watakuwa wanafurahia sana maisha tokana kamba zao kuwa ndefu
 
Hayo mambo madogo madogo hayamhusu waziri wetu very smart.

Yeye anahusika tu na mambo makubwa makubwa kama kusaini mikataba ya kimataifa kuilipa symbion bilions of money.

Kupiga suti kali na kutweet kule twira.

Halafu Rais wetu anamwita Janu. Please take note of that.
 
Mode kichwa cha habari mlivyokirekebisha kimekuwa hakieleweki..
 
Hayo mambo madogo madogo hayamhusu waziri wetu very smart.

Yeye anahusika tu na mambo makubwa makubwa kama kusaini mikataba ya kimataifa kuilipa symbion bilions of money.

Kupiga suti kali na kutweet kule twira.

Halafu Rais wetu anamwita Janu. Please take note of that.
haya madogo ndio huwa yana impacts kwa sisi wananchi
 
Kwa mtindo huu bado wanasema Magufuli alikuwa mbaya. Kwa nini kila kitu kilikufa na Magufuli? Mnafikiri sisi Watanzania ni wapumbavu? Tunawaelewa viongozi wa hovyo. January Makamba umejipambanu wewe ni kiongozi wa hovyo kabisa.
 

odoDma ndio wapi huko? Napenda kupafahamu namie nipatembelee kupitia Google​

 

odoDma ndio wapi huko? Napenda kupafahamu namie nipatembelee kupitia Google​

dodoma...mode wamebadili kwa ujuaji wao ndio wameboronga, kisa heading niliiandika kwa herufi kubwa..
 
Hao vishoka walaaniwe, watu wanasubiri umeme wao wanaiba nguzo, tena usiku
hawa vishoka tumeshapeleka malalamiko tanesco lakin nadhan wanalindwa na hao hao watu wa tanesco...maana baada ya kutoa taarifa bado zinachomolewa
 
Hivi watu wengine hamjua Tanesco ni shirika linalojiendesha kibiashara!? Ndio Tangia Mwanzo niliwashangaa Tanesco kukimbizia office zao dodoma, Je kwenye huku kuamia dodoma ni Mchongo uliotumia Mahela lukuki!! Hawa Hawa Tanesco wanalia Hawana pesa za kuunganishia Wateja huku wako busy kujilipa maposho kuhamia dodoma!! Tanesco investment kubwa mliyokuwa nayo hapa Dar hamkutakiwa kukimbilia dodoma kisiasa(Shirika la umma)!! Watambue shirika la umma Sio lazima kukaa na wizara!! Zipo taasisi kama Tanapa, Tawa etc Sio lazima wawe dodoma!!
Hivyo ushauri wangu napendekeza mleta malalamiko aende office wakilishi ya Tanesco, Waziri si busara kuingilia utendaji WA mashirika kila wakati!!!
Ila pia Tanesco haya mamilioni ya maposho wanayojilipa kuja dar kukagua Mitambo waachane nayo na center of operations iwe eneo karibia na Mitambo hiyo, hivyo Dar es salaam
 
Back
Top Bottom