KERO Wakazi wa mtaa wa Isere Kinondoni tumechoshwa na vijana wasio wakazi kuugeuza kijiwe cha dawa za kulevya

KERO Wakazi wa mtaa wa Isere Kinondoni tumechoshwa na vijana wasio wakazi kuugeuza kijiwe cha dawa za kulevya

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

satyam

Member
Joined
Nov 19, 2017
Posts
11
Reaction score
7
IGP WAMBURA, sisi wakazi wa mtaa wa Isere Kinondoni tunaleta malalamiko yetu kwako yahusuyo vijana wa kihuni kufanya maskani za kuvuta bangi na unga kwenye mtaa wetu.

Vijana hawa Wala siyo wakazi wa nyumba hizi, hushinda maaneo haya kutwa nzima mbaya zaidi Kuna watoto wadogo wameanza kuwauzia bangi wakati hawa watoto ni wanafunzi.

Tumepeleka swala hili Oster bay police hatujapata ushirikiano wowote zaidi yakusema watakuja huu wapata mwaka 5 Sasa hakuna action yeyote iliyofanyika.

Kwa barua hii wewe kama mkuu wa jeshi la polisi unauwezo wa kututatulia kadhia hii haikuwa Nia yetu kukuandikia wewe moja Kwa moja tumekutana na mkwamo ndiyo maana tumekuja kwako.

Ni matumaini yetu utalifanyia kazi swala letu.

Asante!
 
Hili litafanyiwa kazi. Umetumia njia nzuri sana kufikisha huo ujumbe.
Hongera kwa kuwa raia mwema. Kwa pamoja tuzuie uhalifu tutafanikiwa.

Hao wahuni siku zao zinahesabika.
 
Kushuka hombos ile barabara ukishuka mpaka kanisani pale ukikunja kushoto ndy mtaa isere
Au ukingia Ben pub ule mtaa unapita hospital ya watoto kaja mbele kulia unaingia mtaa isere pia

Ova
OK nishaujua. Mbona unaonekana mtaa mzuri tu.
 
Mwenyekiti wa uwo mtaa bwana mgaula,aliyekuwa anamiliki pap chulo..me nna Iman haujampa taarifa vizuri..jambo dogo sana kwake.
 
Back
Top Bottom