Wakazi wa Rufiji Hamjamtendea haki Rais Samia kwa kutopeleka watoto wenu Chuo cha VETA kilichojengwa kwa Mabilioni Rufiji, mkuu wa wilaya alalamika

Wakazi wa Rufiji Hamjamtendea haki Rais Samia kwa kutopeleka watoto wenu Chuo cha VETA kilichojengwa kwa Mabilioni Rufiji, mkuu wa wilaya alalamika

Shotocan

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2023
Posts
6,650
Reaction score
12,711
Nilimsikia mkuu wa Wilaya huko akilalamika kuwa alipita kuangalia ujenzi wa chuo wakati kinajengwa akahoji mafundi mbalimbali waliokuwepo site kuanzia wa ujenzi, umeme, kuezeka, mafundi bomba, mafundi chuma nk akakuta wote wanatoka mikoa tofauti tofauti nje ya Rufiji. Alipohoji kwanini akaambiwa hapa Rufiji hawapo ndio maana tumewaagizia huko ikamuuma.

Sasa akafika chuo cha VETA kipya kimejengwa kwa mabilioni ili wana Rufiji nao wawe na chuo Chao cha ufundi kizuri akakuta pale waliojiunga kozi ya umeme wa majumbani na viwandani wako 14 tu. Na kati ya hao 14 ni wawili tu ndio wanatoka Rufiji. Mkuu wa wilaya na mkuu wa chuo wakalalamikia wakazi kuwa mkoa wa Pwani ndio unaongoza uwekezaji kwa viwanda Tanzania kwa sasa na wanahitaji mafundi umeme wa viwandani lakini wenyeji wa Rufiji hawachangamkii kupeleka vijana hicho chuo kilichoko kwao na kililetwa kwao ili nao wapate Elimu ya ufundi wasisingizie umbali au kutengwa kimaendeleo ya vyuo.

Binafsi iliniuma sana mabilioni yote yamewekezwa kujenga kile chuo halafu response ya wananchi inakuwa mbovu.

Yaani hawataki ina masna kama hawasomi VETA wanataka hata miradi ya serikali Rufiji watu baki toka mikoa mingine wenye vyeti vya VETA ndio waende kufanya toka mikoa mingine.Hii kitu inaumiza.Watu wa Rufiji wajitafakari

Watu wa Rufiji hamjamtendea haki Raisi Samia kwa kweli Nami naungaba na mkuu wa wikaya

Mnamvunja moyo Raisi Hebu pelekeni vijana kusoma hicho chuo
 
Hivi ninyi watu uwa ni wapumbavu sana !
Kwahiyo wanasoma kwasababu ya SAMIA au kwasababu ya Maendeleo yao!?

Hawa wakuu wa wilaya wana akili kweli?
Mtu unaitwa Baba unasema kwamba hawajamtendea haki Samia? Kwani zile si ni kodi za Watanzania ?

Tukomoshe kujipendekeza Huku

Britanicca
 
Hivi ninyi watu uwa ni wapumbavu sana !
Kwahiyo wanasoma kwasababu ya SAMIA au kwasababu ya Maendeleo yao!?

Hawa wakuu wa wilaya wana akili kweli?
Mtu unaitwa Baba unasema kwamba hawajamtendea haki Samia? Kwani zile si ni kodi za Watanzania ?

Tukomoshe kujipendekeza Huku

Britanicca
Umemaliza mkuu, shukurani sana.
 
Nilimsikia mkuu wa Wilaya huko akilalamika kuwa alipita kuangalia ujenzi wa chuo wakati kinajengwa akahoji mafundi mbalimbali waliokuwepo site kuanzia wa ujenzi ,umeme,kuezeka ,mafundi bomba ,mafundi chuma nk akakuta wote wanatoka mikoa tofauti tofauti nje ya Rufiji .Alipohoji kwa nini akaambiwa hapa Rufiji hawapo ndio maana tumewaagizia huko ikamuuma

Sasa akafika chuo cha VETA kipya kimejengwa kwa mabikioni ili wana Rufiji nao wawe na chuo Chao cha ufundi kizuri akakuta pale waliojiunga kozi ya umeme wa majumbani na viwandani wako 14 tu .Na kati ya hao 14 ni wawili tu ndio wanatoka Rufiji.Mkuu wa wilaya na mkuu wa chuo wakalalamikia wakazi kuwa mkoa wa Pwani ndio unaongoza uwekezaji kwa viwanda Tanzania kwa sasa na wanahitaji mafundi umeme wa viwandani lakini wenyeji wa Rugfiji hawachangamkii kupeleka vijana hicho chuo kilichoko kwao na kililetwa kwao ili nao wapate Elimu ya ufundi wasisingizie umbali au kutengwa kimaendeleo ya vyuo
.
Binafsi iliniuma sana mabilioni yote yamewekezwa kujenga kile chuo halafu response ya wananchi inakuwa mbovu.
Yaani hawataki ina masna kama hawasomi VETA wanataka hata miradi ya serikali Rufiji watu baki toka mikoa mingine wenye vyeti vya VETA ndio waende kufanya toka mikoa mingine.Hii kitu inaumiza.Watu wa Rufiji wajitafakari

Watu wa Rufiji hamjamtendea haki Raisi Samia kwa kweli Nami naungaba na mkuu wa wikaya

Mnamvunja moyo Raisi Hebu pelekeni vijana kusoma hicho chuo
Kinabording?
 
Nilimsikia mkuu wa Wilaya huko akilalamika kuwa alipita kuangalia ujenzi wa chuo wakati kinajengwa akahoji mafundi mbalimbali waliokuwepo site kuanzia wa ujenzi ,umeme,kuezeka ,mafundi bomba ,mafundi chuma nk akakuta wote wanatoka mikoa tofauti tofauti nje ya Rufiji .Alipohoji kwa nini akaambiwa hapa Rufiji hawapo ndio maana tumewaagizia huko ikamuuma

Sasa akafika chuo cha VETA kipya kimejengwa kwa mabikioni ili wana Rufiji nao wawe na chuo Chao cha ufundi kizuri akakuta pale waliojiunga kozi ya umeme wa majumbani na viwandani wako 14 tu .Na kati ya hao 14 ni wawili tu ndio wanatoka Rufiji.Mkuu wa wilaya na mkuu wa chuo wakalalamikia wakazi kuwa mkoa wa Pwani ndio unaongoza uwekezaji kwa viwanda Tanzania kwa sasa na wanahitaji mafundi umeme wa viwandani lakini wenyeji wa Rugfiji hawachangamkii kupeleka vijana hicho chuo kilichoko kwao na kililetwa kwao ili nao wapate Elimu ya ufundi wasisingizie umbali au kutengwa kimaendeleo ya vyuo
.
Binafsi iliniuma sana mabilioni yote yamewekezwa kujenga kile chuo halafu response ya wananchi inakuwa mbovu.
Yaani hawataki ina masna kama hawasomi VETA wanataka hata miradi ya serikali Rufiji watu baki toka mikoa mingine wenye vyeti vya VETA ndio waende kufanya toka mikoa mingine.Hii kitu inaumiza.Watu wa Rufiji wajitafakari

Watu wa Rufiji hamjamtendea haki Raisi Samia kwa kweli Nami naungaba na mkuu wa wikaya

Mnamvunja moyo Raisi Hebu pelekeni vijana kusoma hicho chuo
Serikali ya kijinga sana hii! Kila kitu Samia mbona tukienda kunya hamsemi ni kwa sababu ya juhudi za Samia kutuwezesha kunya na tukifa pia ni juhudi za Samia kutuwezesha kufa!

Vyuo vya veta vipo kila mahali sasa hivi na masomo au taaluma zinazopaswa kufundishwa zilingane na mahitaji ya eneo husika na siyo kufundisha kwa mazoea. Ninachokiona serikali inataka kila mtu awe fundi bomba, upumbavu mtupu!
 
Serikali ya kijinga sana hii! Kila kitu Samia mbona tukienda kunya hamsemi ni kwa sababu ya juhudi za Samia kutuwezesha kunya na tukifa pia ni juhudi za Samia kutuwezesha kufa!

Vyuo vya veta vipo kila mahali sasa hivi na masomo au taaluma zinazopaswa kufundishwa zilingane na mahitaji ya eneo husika na siyo kufundisha kwa mazoea. Ninachokiona serikali inataka kila mtu awe fundi bomba, upumbavu mtupu!
Kina wiki tangu kifunguliwe ni sawa na shule za sekondari mpya ,zinakosa watu licha ya wanafunzi kupangiwa
 
Nilimsikia mkuu wa Wilaya huko akilalamika kuwa alipita kuangalia ujenzi wa chuo wakati kinajengwa akahoji mafundi mbalimbali waliokuwepo site kuanzia wa ujenzi ,umeme,kuezeka ,mafundi bomba ,mafundi chuma nk akakuta wote wanatoka mikoa tofauti tofauti nje ya Rufiji .Alipohoji kwa nini akaambiwa hapa Rufiji hawapo ndio maana tumewaagizia huko ikamuuma

Sasa akafika chuo cha VETA kipya kimejengwa kwa mabikioni ili wana Rufiji nao wawe na chuo Chao cha ufundi kizuri akakuta pale waliojiunga kozi ya umeme wa majumbani na viwandani wako 14 tu .Na kati ya hao 14 ni wawili tu ndio wanatoka Rufiji.Mkuu wa wilaya na mkuu wa chuo wakalalamikia wakazi kuwa mkoa wa Pwani ndio unaongoza uwekezaji kwa viwanda Tanzania kwa sasa na wanahitaji mafundi umeme wa viwandani lakini wenyeji wa Rugfiji hawachangamkii kupeleka vijana hicho chuo kilichoko kwao na kililetwa kwao ili nao wapate Elimu ya ufundi wasisingizie umbali au kutengwa kimaendeleo ya vyuo
.
Binafsi iliniuma sana mabilioni yote yamewekezwa kujenga kile chuo halafu response ya wananchi inakuwa mbovu.
Yaani hawataki ina masna kama hawasomi VETA wanataka hata miradi ya serikali Rufiji watu baki toka mikoa mingine wenye vyeti vya VETA ndio waende kufanya toka mikoa mingine.Hii kitu inaumiza.Watu wa Rufiji wajitafakari

Watu wa Rufiji hamjamtendea haki Raisi Samia kwa kweli Nami naungaba na mkuu wa wikaya

Mnamvunja moyo Raisi Hebu pelekeni vijana kusoma hicho chuo
Warufiji, hao jamaa zangu wanangoja waone walioenda kwanza wamerudi na nini? Ni waoga sana wa mabadiliko.
 
Serikali ya kijinga sana hii! Kila kitu Samia mbona tukienda kunya hamsemi ni kwa sababu ya juhudi za Samia kutuwezesha kunya
Taratibu tafadhali ,Mfano umeenda kujisaidia haja kubwa choo kizuri cha soko au hospitali vilivyojengwa na Mama Samia utaacha kumshukuru ukishamaliza kujisaudia haja kubwa?
 
Nilimsikia mkuu wa Wilaya huko akilalamika kuwa alipita kuangalia ujenzi wa chuo wakati kinajengwa akahoji mafundi mbalimbali waliokuwepo site kuanzia wa ujenzi, umeme, kuezeka, mafundi bomba, mafundi chuma nk akakuta wote wanatoka mikoa tofauti tofauti nje ya Rufiji. Alipohoji kwanini akaambiwa hapa Rufiji hawapo ndio maana tumewaagizia huko ikamuuma.

Sasa akafika chuo cha VETA kipya kimejengwa kwa mabilioni ili wana Rufiji nao wawe na chuo Chao cha ufundi kizuri akakuta pale waliojiunga kozi ya umeme wa majumbani na viwandani wako 14 tu. Na kati ya hao 14 ni wawili tu ndio wanatoka Rufiji. Mkuu wa wilaya na mkuu wa chuo wakalalamikia wakazi kuwa mkoa wa Pwani ndio unaongoza uwekezaji kwa viwanda Tanzania kwa sasa na wanahitaji mafundi umeme wa viwandani lakini wenyeji wa Rufiji hawachangamkii kupeleka vijana hicho chuo kilichoko kwao na kililetwa kwao ili nao wapate Elimu ya ufundi wasisingizie umbali au kutengwa kimaendeleo ya vyuo.

Binafsi iliniuma sana mabilioni yote yamewekezwa kujenga kile chuo halafu response ya wananchi inakuwa mbovu.

Yaani hawataki ina masna kama hawasomi VETA wanataka hata miradi ya serikali Rufiji watu baki toka mikoa mingine wenye vyeti vya VETA ndio waende kufanya toka mikoa mingine.Hii kitu inaumiza.Watu wa Rufiji wajitafakari

Watu wa Rufiji hamjamtendea haki Raisi Samia kwa kweli Nami naungaba na mkuu wa wikaya

Mnamvunja moyo Raisi Hebu pelekeni vijana kusoma hicho chuo
Rufiji tunataka elimu akhera, na pia tunataka elimu iwe ya kulipia ila matibabu yawe bure
 
Nilimsikia mkuu wa Wilaya huko akilalamika kuwa alipita kuangalia ujenzi wa chuo wakati kinajengwa akahoji mafundi mbalimbali waliokuwepo site kuanzia wa ujenzi, umeme, kuezeka, mafundi bomba, mafundi chuma nk akakuta wote wanatoka mikoa tofauti tofauti nje ya Rufiji. Alipohoji kwanini akaambiwa hapa Rufiji hawapo ndio maana tumewaagizia huko ikamuuma.

Sasa akafika chuo cha VETA kipya kimejengwa kwa mabilioni ili wana Rufiji nao wawe na chuo Chao cha ufundi kizuri akakuta pale waliojiunga kozi ya umeme wa majumbani na viwandani wako 14 tu. Na kati ya hao 14 ni wawili tu ndio wanatoka Rufiji. Mkuu wa wilaya na mkuu wa chuo wakalalamikia wakazi kuwa mkoa wa Pwani ndio unaongoza uwekezaji kwa viwanda Tanzania kwa sasa na wanahitaji mafundi umeme wa viwandani lakini wenyeji wa Rufiji hawachangamkii kupeleka vijana hicho chuo kilichoko kwao na kililetwa kwao ili nao wapate Elimu ya ufundi wasisingizie umbali au kutengwa kimaendeleo ya vyuo.

Binafsi iliniuma sana mabilioni yote yamewekezwa kujenga kile chuo halafu response ya wananchi inakuwa mbovu.

Yaani hawataki ina masna kama hawasomi VETA wanataka hata miradi ya serikali Rufiji watu baki toka mikoa mingine wenye vyeti vya VETA ndio waende kufanya toka mikoa mingine.Hii kitu inaumiza.Watu wa Rufiji wajitafakari

Watu wa Rufiji hamjamtendea haki Raisi Samia kwa kweli Nami naungaba na mkuu wa wikaya

Mnamvunja moyo Raisi Hebu pelekeni vijana kusoma hicho chuo
Halafu watalalamika kuwa hawapewi Elimu. Mzee Mohamed Said
 
Back
Top Bottom