Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
wale watu walivamia wakajenga kwenye wet land, waliuziwa viwanja kikanjanja enzi ya CDA..mwaka juzi niliona kwenye taarifa ya habari mafuriko. usitupige porojo hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wale watu walivamia wakajenga kwenye wet land, waliuziwa viwanja kikanjanja enzi ya CDA..mwaka juzi niliona kwenye taarifa ya habari mafuriko. usitupige porojo hapa.
ni msalato mkuu sio mipango acha uzilankende..Airport Inajengwa Maeneo Ya Mipango Unaingia Kulia Ukitoka Mjini, Mkalama Ukitoka JK CONVENTION CENTRE
Ukianza Kupanda UDOM Kulia
Haa Haani msalato mkuu sio mipango acha uzilankende..
✋✋✋✋✋Haa Haa
Siku ikipiga mvua kubwa nenda Ntyuka utaleta mrejesho hapaDodoma kuna mvua za kuleta mafuriko?
DCMC Kule Juu Mafuriko Siyo RahisiSiku ikipiga mvua kubwa nenda Ntyuka utaleta mrejesho hapa
Nimeku inbox Nina kiwanja nauza Dodoma.Wakazi wa Swaswa jijini Dodoma waanza kujiandaa na mafuriko, ni kitu kimenishangaza sana mara baada ya kuspend muda kwa wiki yote iliyopita katika jiji hili. kuna mwenyeji wangu amekuwa akinishauri nije kujenga Dom nikasema ngoja niende, zunguruka na madalali kutafuta viwanja ndio nikaonyeshwa Swaswa. Bahati ikawa yangu, baada ya kuachana na dalali si nikarudi eneo lile, jirani akanitonya kuwa niwe makini kununua viwanja maeneo hayo kwasababu hata wao wameshaanza kujiandaa na mafuriko kwa mvua zitakazokuja kwani kila mwaka kuna mafuriko. nilishangaa sana katikati ya jiji miundombinu haidhibiti mafuriko kwenye maeneo yenye viwanja vizuri namna ile. akaniambia pia Swaswa kuna migogoro ya viwanja balaa....kwakweli kiwanja ni kuzuri sana lakini sijajua kama kweli alichosema jirani ni sahihi au alikuwa anambania mshikaji asipate pesa, na hasa lile la migogoro. wenyeji wa Dodoma naomba mtutonye tafadhali anayeyajua mazingira hayo.
Haa HaaNimeku inbox Nina kiwanja nauza Dodoma.
Kinakuchekesha nini?Haa Haa
DCMC Kule Juu Mafuriko Siyo Rahisi
Kama bado upo dodoma na hujanunua kiwanja njoo upewe kiwanja 65 kwa 67 barabarani kwa 5.5Mill utakuja kunishukuru.. Nala Ya Kwanza na unanunua kwa wenyeji hata ukitaka heka tatu nne zipo Njia ya kuelekea Chuo Cha DECCa achana na mkalama Wala mtumba Wala kisasaDah mzee nikajenge maeneo ya mirembe siku vichaa wakitoroka mtaani patakuwaje
chuo cha decca ndio chuo gani?Kama bado upo dodoma na hujanunua kiwanja njoo upewe kiwanja 65 kwa 67 barabarani kwa 5.5Mill utakuja kunishukuru.. Nala Ya Kwanza na unanunua kwa wenyeji hata ukitaka heka tatu nne zipo Njia ya kuelekea Chuo Cha DECCa achana na mkalama Wala mtumba Wala kisasa
Chuo Cha uuguzi ....chuo cha decca ndio chuo gani?
Sijui,ngoja nikutafutie Mimi sio dalali you meet the real owner,0716884436.Wakazi wa Swaswa jijini Dodoma waanza kujiandaa na mafuriko, ni kitu kimenishangaza sana mara baada ya kuspend muda kwa wiki yote iliyopita katika jiji hili. kuna mwenyeji wangu amekuwa akinishauri nije kujenga Dom nikasema ngoja niende, zunguruka na madalali kutafuta viwanja ndio nikaonyeshwa Swaswa. Bahati ikawa yangu, baada ya kuachana na dalali si nikarudi eneo lile, jirani akanitonya kuwa niwe makini kununua viwanja maeneo hayo kwasababu hata wao wameshaanza kujiandaa na mafuriko kwa mvua zitakazokuja kwani kila mwaka kuna mafuriko. nilishangaa sana katikati ya jiji miundombinu haidhibiti mafuriko kwenye maeneo yenye viwanja vizuri namna ile. akaniambia pia Swaswa kuna migogoro ya viwanja balaa....kwakweli kiwanja ni kuzuri sana lakini sijajua kama kweli alichosema jirani ni sahihi au alikuwa anambania mshikaji asipate pesa, na hasa lile la migogoro. wenyeji wa Dodoma naomba mtutonye tafadhali anayeyajua mazingira hayo.
Nala mil.6?Kisasa nimekimbia bei, watu wanaanzia 20m, Mkalama kama ndio hio njia ya Singida nimepata kimoja kwa 6m au sijui ndio Nala huko? Msalato nina mpango kununua viwanja hata 5 vya kuja kuuza baadaye kwasababu si ndio uwanja wa ndege unajengwa kule na magereza nafikiri wapo kule kama sikosei...wasipokuja kununua nitajenga hata loji miaka hiyo.
Aaaah acha uswahili kama masaki,msasani katikati ya Dar mafuriko yanatokea,wewe unashangaa mafuriko Dodoma?Wakazi wa Swaswa jijini Dodoma waanza kujiandaa na mafuriko, ni kitu kimenishangaza sana mara baada ya kuspend muda kwa wiki yote iliyopita katika jiji hili. kuna mwenyeji wangu amekuwa akinishauri nije kujenga Dom nikasema ngoja niende, zunguruka na madalali kutafuta viwanja ndio nikaonyeshwa Swaswa. Bahati ikawa yangu, baada ya kuachana na dalali si nikarudi eneo lile, jirani akanitonya kuwa niwe makini kununua viwanja maeneo hayo kwasababu hata wao wameshaanza kujiandaa na mafuriko kwa mvua zitakazokuja kwani kila mwaka kuna mafuriko. nilishangaa sana katikati ya jiji miundombinu haidhibiti mafuriko kwenye maeneo yenye viwanja vizuri namna ile. akaniambia pia Swaswa kuna migogoro ya viwanja balaa....kwakweli kiwanja ni kuzuri sana lakini sijajua kama kweli alichosema jirani ni sahihi au alikuwa anambania mshikaji asipate pesa, na hasa lile la migogoro. wenyeji wa Dodoma naomba mtutonye tafadhali anayeyajua mazingira hayo.
Aaaah acha uswahili kama masaki,msasani katikati ya Dar mafuriko yanatokea,wewe unashangaa mafuriko Dodoma?
Kimepimwa?Kama bado upo dodoma na hujanunua kiwanja njoo upewe kiwanja 65 kwa 67 barabarani kwa 5.5Mill utakuja kunishukuru.. Nala Ya Kwanza na unanunua kwa wenyeji hata ukitaka heka tatu nne zipo Njia ya kuelekea Chuo Cha DECCa achana na mkalama Wala mtumba Wala kisasa