Wakazi wa Swaswa Dodoma na Mafuriko

Nimeku inbox Nina kiwanja nauza Dodoma.
 
Dah mzee nikajenge maeneo ya mirembe siku vichaa wakitoroka mtaani patakuwaje
Kama bado upo dodoma na hujanunua kiwanja njoo upewe kiwanja 65 kwa 67 barabarani kwa 5.5Mill utakuja kunishukuru.. Nala Ya Kwanza na unanunua kwa wenyeji hata ukitaka heka tatu nne zipo Njia ya kuelekea Chuo Cha DECCa achana na mkalama Wala mtumba Wala kisasa
 

Kwa nini uwekeze Dodoma?

Jiji la Dodoma tayari limeandaa maeneo kadhaa ya uwekezaji na kuweka mazingira wezeshi ili kuwapatia waendelezaji.

Eneo la Uwekezaji Njedengwa:
ambalo lina Hekta 580 na jumla viwanja 141 vya uwekezaji vyenye ukubwa wa kati ya ekari 2 hadi 26 kwa kiwanja kimoja kutegemeana na uhitaji wa mwekezaji.

Majengo yanayo paswa kujengwa ni maghorofa ya makazi,majengo ya biashara na huduma za jamii. Kati ya viwanja hivyo, viwanaja vya Taasisi ni 46, vya kibiashara 20 na makazi maalumu 75. Eneo hili tayari lina miundo mbinu ya barabara za lami, maji na umeme na yote inatumika.

Mji Mpya wa Iyumbu: Una ukumbwa wa hekta 252 na kuna viwanja 242, kati ya hivyo vya biashara ni 10, Viwanda vidogo 2, biashara na makazi 173 na makazi maalum 57 na kuna uwanja wa michezo "Iyumbu Town Center".

Kwa ujumla Jiji la Dodoma
  • Maeneo yaliyopangwa na miundombinu iliyosanifiwa vizuri.
  • Hakuna msongamano wa magari kutokana na kuwepo kwa mpangilio mzuri wa mfumo wa barabara. (barabara za lami za ndani zinaendelea kujengwa. Mf barabara za Martin Luther – Swaswa, Wajenzi – Chang’ombe, Meriwa – Swaswa, Emaus – African dream, Ipagala –Ilazo, Kisasa - Njedengwa).
  • Kuna maeneo ya kupumzikia kama vile Nyerere Square, Bustani ya Chinangali Park, nk.
  • Gharama za kutwaa ardhi ni nafuu na ni vyepesi kupata hati milki za ardhi kutoka Manispaa
  • Kuna wepesi katika kuidhinishiwa ramani za ujenzi na
  • Manispaa inajali na kuzingatia mahitaji binafsi ya waendelezaji.
 
chuo cha decca ndio chuo gani?
 
Sijui,ngoja nikutafutie Mimi sio dalali you meet the real owner,0716884436.
 
Nala mil.6?

Achana na madalali nenda direct kwa wenye mali
 
Aaaah acha uswahili kama masaki,msasani katikati ya Dar mafuriko yanatokea,wewe unashangaa mafuriko Dodoma?
 
Kimepimwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…