KERO Wakazi wa Ubungo Kibangu tumewakosea nini DAWASA? Maji hayajatoka sasa ni Mwezi, Waziri wa Maji fuatilia hili jambo

KERO Wakazi wa Ubungo Kibangu tumewakosea nini DAWASA? Maji hayajatoka sasa ni Mwezi, Waziri wa Maji fuatilia hili jambo

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Chukwu emeka

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2018
Posts
24,314
Reaction score
38,919
Hili jambo linalosikitisha sana,maji hayatoki zaidi ya mwezi sasa, wakazi wa eneo la Ubungo Kibangu tunanunua dumu la maji elf moja kwa fresh na yenye chumvi Tshs 200-500.

Imekuwa ni kawaida kwa eneo hili kuwa na kero ya maji,mara nyingi yalikuwa yakitoka Jumamosi jioni au jumapili,muda mwingine DAWASA walivyo na roho mbaya wanatoa saa tisa usiku na saa 12 asubuhi wanafunga.

Waziri Awesu,waokoe wakazi wa eneo hili,kina Mama wanahangaika na ndoo kichwani kusaka maji.Jitihada mbalimbali zimefanyika lakini hakuna solution.Wenye nyumba wanahaha kwasababu wapangaji wanakimbia.

Soma Pia: Shida ya upatikani wa Maji eneo la Ubungo Kibangu na maeneo ya Karibu

Hii ni kero kubwa sana jamii forums tusaidieni kupaza sauti kupitia platforms zenu zingine ikiwemo X, Instagram na Facebook,ili taarifa iweze kuwafikia wahusika kwa haraka.

Tusaidieni jamani tumechoka.
 
Hili jambo linalosikitisha sana,maji hayatoki zaidi ya mwezi sasa, wakazi wa eneo la Ubungo Kibangu tunanunua dumu la maji elf moja kwa fresh na yenye chumvi Tshs 200-500.

Imekuwa ni kawaida kwa eneo hili kuwa na kero ya maji,mara nyingi yalikuwa yakitoka Jumamosi jioni au jumapili,muda mwingine DAWASCO walivyo na roho mbay wanatoa saa tisa usiku na saa 12 asubuhi wanafunga.

Waziri Awesu,waokoe wakazi wa eneo hili,kina Mama wanahangaika na ndoo kichwani kusaka maji.Jitihada mbalimbali zimefanyika lakini hakuna solution.Wenye nyumba wanahaha kwasababu wapangaji wanakimbia.

Hii ni kero kubwa sana jamii forums tusaidieni kupaza sauti kupitia platforms zenu zingine ikiwemo X, Instagram na Facebook,ili taarifa iweze kuwafikia wahusika kwa haraka.

Tusaidieni jamani tumechoka.
Poleni sana huko ni balaa nilitoka huko juzi maji ni shida, huko Kibangu, kajima, kilima cha lami ni shida hiyo sehem ni balaa
 
Kwa mgogo, kanisa katoliki, kwa mlacha,kwa prof mdee, novo, huko maji ni shida tupu
 
Poleni sana huko ni balaa nilitoka huko juzi maji ni shida, huko Kibangu, kajima, kilima cha lami ni shida hiyo sehem ni balaa
Yeah maeneo yote hayo hakuna maji aiseee
 
Unamaanisha wakazi wa Ubungo Maji HAWANA MAJI kama KATERERO
 
Hili jambo linalosikitisha sana,maji hayatoki zaidi ya mwezi sasa, wakazi wa eneo la Ubungo Kibangu tunanunua dumu la maji elf moja kwa fresh na yenye chumvi Tshs 200-500.

Imekuwa ni kawaida kwa eneo hili kuwa na kero ya maji,mara nyingi yalikuwa yakitoka Jumamosi jioni au jumapili,muda mwingine DAWASCO walivyo na roho mbay wanatoa saa tisa usiku na saa 12 asubuhi wanafunga.

Waziri Awesu,waokoe wakazi wa eneo hili,kina Mama wanahangaika na ndoo kichwani kusaka maji.Jitihada mbalimbali zimefanyika lakini hakuna solution.Wenye nyumba wanahaha kwasababu wapangaji wanakimbia.

Hii ni kero kubwa sana jamii forums tusaidieni kupaza sauti kupitia platforms zenu zingine ikiwemo X, Instagram na Facebook,ili taarifa iweze kuwafikia wahusika kwa haraka.

Tusaidieni jamani tumechoka.
Kura zote kwa CCM
 


😂😂kila mwaka hadi muandamane
Eneo hili la Novo,wamama walienda hadi DAWASCO,maji yalitoka only two weeks,hali ikarudi kawaida hakuna hata sababu ya msingi
 
IMG-20241018-WA0012.jpg
 
Isije kuwa "Mlikosea kuchagua" au mlicjanganya "gunzi" kwenye betri za tochi halafu mnategemea iwake.
 
Back
Top Bottom