Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
mmmh .. so wazanzibari ni warukaji?.... si tumeungana nao lakini?Hakuna mwanamke ambaye yupo tayari kuishi na waluka ukuta.:nono::nono::nono::nono:
Bwana Ruta kwa nini unashangaa ?
tatizo la wanawake wa kiislamu ...
yupo ndani anatafuta mchumba...
akishapata mchumba...anadai talaka anaenda kuolewa zake...
mtu mmoja nguzo tano...loh AshaDii samahani my dia
Hakuna mwanamke ambaye yupo tayari kuishi na waluka ukuta.:nono::nono::nono::nono:
Watoto wanalewaje katika mazingira hayo? Duh ndio maana hawautaki muungano!(kama huu wa ndoa tu hawauwezi)
Mwanamke wa Zanzibar huheshimika zaidi kwa idadi ya 'vyuo' alivyonavyo
CAMARADERIE........mazingira yepi?
CAMARADERIE..............hivi nako zenji kuna vyuo vya akina mama au ni hivi vya kawaida tu?
Ndoa ni chuo pia kule....