Wake wa marais wa Kenya, Uganda, Rwanda, Tanzania na Burundi kimasomo

Wake wa marais wa Kenya, Uganda, Rwanda, Tanzania na Burundi kimasomo

Of all da names za watoto wa JK nimelipenda la "Havintishi" kumbe sio bure hata tukilalama mpaka kukicha chezea Baba Havintishie weye. Hahhahaha kweli JK ni noumer hao watoto wengine walikuwa wanazaliwa 3 kwa mwaka?
 
Of all da names za
watoto wa JK nimelipenda la "Havintishi" kumbe sio bure hata tukilalama
mpaka kukicha chezea Baba Havintishie weye. Hahhahaha kweli JK ni noumer
hao watoto wengine walikuwa wanazaliwa 3 kwa mwaka?
hii tabia wa tz tunaitoa wapi kujadili mambo ya ndani ya kiongozi mkuu wa nchi huwa naboreka sana binafsi huyo ndio mwanadiplomasia wetu no 1
 
hii tabia wa tz tunaitoa wapi kujadili mambo ya ndani ya kiongozi mkuu wa nchi huwa naboreka sana binafsi huyo ndio mwanadiplomasia wetu no 1

Cjakuelewa vizuri una maanisha maisha ya Mwanadiplomasia namba 1 kama unavyotaka tumuite wewe ni classified information. Kwa taarifa yako hilo hawezi kulikwepa kwasababu hayo unayoyaita mambo ya ndani kwanza kimsingi katika mjadala huu hayapo. Fahamu fika anatunzwa kwa Kodi zetu ambazo zinatupa haki ya kuhoji. Simple n finito, endelea kuboreka mpaka utakapo nyooka.
 
the most beautfull first lady in the region is mama salma kikwete. african lady, soft skin, cool thats how africans are.
 
Jisomee list ya watoto wa mkuu wa kaya..na hiyo haijawa updated toka februari 2014 ..inawezekana kuna vingine vimezaliwa hatujui

Ohhhppsss sijawahi kucheka kwa kiwango hiki for the last 2 yrs.Hv ni kweli hiyo list ya watoto au unamdhihaki Mukulu
 
the most beautfull first lady in the region is mama salma kikwete. african lady, soft skin, cool thats how africans are.

What about education level ya huyu mama, haijakosewa kweli?
 
Inawezekana kwa sasa akawa ni marehemu. Lakini ukweli ni kwamba alikuwa anatokea mkoa wa singida na pia alikuwa akiishi huko.
kama kitu ukijui usizungumze mama yake riz ni mtu wa bagamoyo na alikufa miaka mingi sana inafika hata 20 years so usikurupuke..na riz alizaliwa pamoja na ndugu yake anae itwa salama..
 
Salma Kikwete ana bachelor's degree in education? Who's the editor that let that lie go to print?

Hapo Naungana Na Wewe Na Hana Pia Watoto Hao Watano na Nijuavyo ana Watoto Wake Halisi Wa Kuwazaa Watatu Labda Na Huyu Wa Mwisho Mdogo Aliyemzaa Mwaka Jana Kama Sijakosea.
 
Hapo Naungana Na Wewe Na Hana Pia Watoto Hao Watano na Nijuavyo ana Watoto Wake Halisi Wa Kuwazaa Watatu Labda Na Huyu Wa Mwisho Mdogo Aliyemzaa Mwaka Jana Kama Sijakosea.
izo story za mama salma kuzaa mwaka jana sijui mnazitoa wp mama salma ana watoto wa 5 alowazaa mwenyewe na mtoto wake wa mwisho ana miaka 15..hayo mengine yote ni uzushi mtu
 
Hao watoto wa Kigoma aliwazaa lini? Maana J K hana historia ya kuishi huko, labda record zng ziko poor mnijuze wadau! Ila jamaa kidume japo no maadili!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
izo story za mama salma kuzaa mwaka jana sijui mnazitoa wp mama salma ana watoto wa 5 alowazaa mwenyewe na mtoto wake wa mwisho ana miaka 15..hayo mengine yote ni uzushi mtu

Basi Ametoa Hiyo Mimba ila Alikuwa na Kibendi...............................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Basi Ametoa Hiyo Mimba ila Alikuwa na Kibendi...............................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mama salma kazaliwa 1962 maana yake mwaka jana alikua na miaka 51 na kwa miaka 51 mwanamke kashakata hedhi sasa sijui iyo mimba aliipataja so usikurupuke....byee
 
Back
Top Bottom