si uvibane na rubber band nawewe vinakupitaje vidude kama hivyo..?Ndo useme kwa nguvu??🤨🤨
Kisa cha kugandisha damu🤓🤓si uvibane na rubber band nawewe vinakupitaje vidude kama hivyo..?
ili unifurahishe mchumba wako...🥰Kisa cha kugandisha damu🤓🤓
Haitokaa itokee🤓ili unifurahishe mchumba wako...🥰
itatokea kwa kuiamsha mizimu shauli yako!Haitokaa itokee🤓
Duhhizi zinawafaa watu wenye mashavu manene😹😹,. Halafu uvae na suruali ukivaa dera utarudi nyumbani hivi hivi
Ndo nn sasaMojawapo ya raha ya mme/ mwanamme ni kumpa zawad mwenza asiyotarajia na akaifurahia.
Na kati ya lawama za wanawake dhidi ya wenza ni tabia ya kutoa taslim mwenzako akajinunulie kila kitu kila mara.
Haina ladha ya kupendwa na kujaliwa.
Sasa kuna mwanamke (mana sina mke) ni kichocheo cha furaha yangu na umuhim wa dunia. Napenda zawad za kila siku hata ikibid pipi kijiti.
Sasa huyo Herodia amenionyesha interest kwa bidhaa ambayo sijui hata nainunuaje kama nina nia njema na sehem zake za thaman hata kama nataka apate ninachomudu.
Na sio binti. Ni mdada kabsa.
Hebu muache vingine viwapite tu ni vya wanamitindo wabobezi.
View attachment 3046421
Ndo nn sasaMojawapo ya raha ya mme/ mwanamme ni kumpa zawad mwenza asiyotarajia na akaifurahia.
Na kati ya lawama za wanawake dhidi ya wenza ni tabia ya kutoa taslim mwenzako akajinunulie kila kitu kila mara.
Haina ladha ya kupendwa na kujaliwa.
Sasa kuna mwanamke (mana sina mke) ni kichocheo cha furaha yangu na umuhim wa dunia. Napenda zawad za kila siku hata ikibid pipi kijiti.
Sasa huyo Herodia amenionyesha interest kwa bidhaa ambayo sijui hata nainunuaje kama nina nia njema na sehem zake za thaman hata kama nataka apate ninachomudu.
Na sio binti. Ni mdada kabsa.
Hebu muache vingine viwapite tu ni vya wanamitindo wabobezi.
View attachment 3046421