Wake za watu muwe na misimamo basi

Wake za watu muwe na misimamo basi

mr pipa

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2021
Posts
3,074
Reaction score
6,472
Miezi miwili iliopita nikawa nimeamia nyumba moja hivi

Kwenye hiyo nyumba nikamkuta binti mmoja hivi sikujua kama ana mume

Kwa maana katika mazoea na kukaa hapo kwa wiki moja sikuwahi kuona kuna dalili ya kuwa na mume

Imepita wiki akaja jamaa yake ile usiku nakuta tu migunoo oohh shiiish aah

Nikajiuliza nini hiki kumbe dem anakamuliwa na jamaa yake

Siku ya kwanza ya pili ya tatu
Nikachoka ujinga huo kozi mi si mtu wa madem saana

Unaweza pia hata mwaka nisilete dem gheto

Asa kale kamke ka mtu kakanichukulia mi bwege

Siku ya tano umeme ukawa umeisha akawa ameomba namba kwa mwenye nyumba

Akanicheki nikalipia Luku sasa usiku narudi migunoo tena nikasema hawa ngoja kwanza

Nikakutumia text hivi huko ndani nikiomba nitapewa maana unavyojua kulilia utazani unanogaaa

Basi nimekaa nusu saa nakuta mlango wangu unagongwa na jamaa
Oya we ndio unakula mkewangu

Nikamwambia wewe bwana unataka makofi au maelezo

Nakumbuka zilipigwa mpaka asubuhi
Asubuh yake nakuta kale madem kananiimbia mafumbo

Ooh utakula kwa machozi

Basi nikawa nimekaa kimya kama miez

Nakuta kanaanza kujibebisha
Nikasema hakuna fala hapa

Nikatega mingo kakanasa nikamlaaa

Ujumbe wanawake mjitahidi kuwa na misimamo
 
Ili usiwe utoto tuandikie nn
Issue kama hii siyo ya kibingwa, unatakiwa unaweka tittle kama hivii

NYUMBA ZA KUPANGA: NILIVYOFANYA UPUMBAVU NA MPENZI WA MPANGAJI MWENZANGU.

Halafu unaelezea milio yao ilikufanya usononeke na kufadhaika kwa sababu una changamoto ambazo zinafanya usikutane na mwanamke hata mwaka mzima( lakini nyeto unapiga, kama haupigi na unakaa mwaka una katatizo. Sababu kwa ulichofanya umejivunia na unaonyesha hata ssio mtu safi kimahusiano na Mungu).

Kingine ungeelezea kuwa ulizidiwa ukajikuta umetuma meseji kuomba show wakati wanaendelea na zoezi lao.
*** uliandika kuwa ni mke wa mtu baadae ukaandika sio.
YANI UMEFANYA ISSUE INAYOONYESHA HAUJAPEVUKA KIAKILI NA VITENDO......HALAFU UNAKOSEA ZAIDI UNAPOANDIKA KAMA VILE NI JAMBO LA KUJIVUNIA
 
Issue kama hii siyo ya kibingwa, unatakiwa unaweka tittle kama hivii

NYUMBA ZA KUPANGA: NILIVYOFANYA UPUMBAVU NA MPENZI WA MPANGAJI MWENZANGU.

Halafu unaelezea milio yao ilikufanya usononeke na kufadhaika kwa sababu una changamoto ambazo zinafanya usikutane na mwanamke hata mwaka mzima( lakini nyeto unapiga, kama haupigi na unakaa mwaka una katatizo. Sababu kwa ulichofanya umejivunia na unaonyesha hata ssio mtu safi kimahusiano na Mungu).

Kingine ungeelezea kuwa ulizidiwa ukajikuta umetuma meseji kuomba show wakati wanaendelea na zoezi lao.
*** uliandika kuwa ni mke wa mtu baadae ukaandika sio.
YANI UMEFANYA ISSUE INAYOONYESHA HAUJAPEVUKA KIAKILI NA VITENDO......HALAFU UNAKOSEA ZAIDI UNAPOANDIKA KAMA VILE NI JAMBO LA KUJIVUNIA
Mr Kipipa tafadhali aache ujinga demu Huwa hatugombanii,Huwa tunatafuta wa karibu yake na kumla, manzi wa mtu sio sifa,huyo jamaa yake ni dereva wa masafa,sasa ngoja akatishe makete huko Njombe uone kitakavyokulamba
 
Back
Top Bottom