Kuna mengi ila hili nililolitaja ni moja ya sababu. Kuna wengine wanaona hawawezi kukaa bila ya kuwa na nyumba ndogo. Wengine ni wagonjwa, unakuta mzee hasimami mwanamme kaishiwa nguvu pengine kutokana na magonjwa ama uzee tu huku mke bado kijana ama bado ana nguvu zake na anataka dushe. LAZIMA naye atatokea nje akasuguliwe aondoe stress mwilini. Kuna wengine haswa wanaume wa Zanzibar, Tanga na Dar, wanajifanya wanaume machoni mwa watu ila nao ni kina Aunt, wanaona ili tu kudanganya jamii. Wakienda mtaa wa pili nao wanavalishwa shanga kiunoni na kushikishwa ukuta, akirudi nyumbani hana hamu na mkewe, anamwangalia tu na kumkejeli. Wewe
Tairus kama ungekuwa ndiyo wewe unafanyiwa haya ungefanyaje, umeolewa ila mumeo anakusanifu tu?