Jstar1
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 1,391
- 1,347
Hii tabia ya wake za watu kukutana vijana na kukana kua hawajaolewa sio vzuri, nyie wanawake mna matatizo gani, Binafisi mimi siwezi kulala na mke wa mtu kama najua kaolewa ata uwe mrembo kiasi gani.
Juzi kati nilikutana na pisi ina namba 8 maeneo ya posta, akanihakikishia anakaa peke yake, na takribani wiki nzima alkua anabembeleza niende maeneo ya kwao.
Juzi weekend nmejtoa, naelekea maeneo X, nkachukua lodge x akadai ni karibu anapokaa so wanamjua nitafte pengne, nkaenda lodge Y, hapa kaja na boda wake.
Wakati wa kurudi boda wake kachelewa so nkamwambia boda alienileta aje na mwenzie ili wanichukue mimi na yeye, alkua mtata japo alikubali ila alkua anataka niende peke yangu yeye nimuache.
Huyu boda alienichukua ndo kanipa ukweli kua ni mke wa mtu, so kasema siku nikimuitaji tena, nmecheki huyu boda wangu na wala sio wake la sivyo ntajichoma.
Nimeumia sana kwa sababu nmekula mke wa mtu naamni sitarudia tena, na kanihakikishia anapenda sana kufanya mapenzi na yuko tiari kufanya chochote nitakacho sema, sirudii wanawake badilikeni jamani.
Juzi kati nilikutana na pisi ina namba 8 maeneo ya posta, akanihakikishia anakaa peke yake, na takribani wiki nzima alkua anabembeleza niende maeneo ya kwao.
Juzi weekend nmejtoa, naelekea maeneo X, nkachukua lodge x akadai ni karibu anapokaa so wanamjua nitafte pengne, nkaenda lodge Y, hapa kaja na boda wake.
Wakati wa kurudi boda wake kachelewa so nkamwambia boda alienileta aje na mwenzie ili wanichukue mimi na yeye, alkua mtata japo alikubali ila alkua anataka niende peke yangu yeye nimuache.
Huyu boda alienichukua ndo kanipa ukweli kua ni mke wa mtu, so kasema siku nikimuitaji tena, nmecheki huyu boda wangu na wala sio wake la sivyo ntajichoma.
Nimeumia sana kwa sababu nmekula mke wa mtu naamni sitarudia tena, na kanihakikishia anapenda sana kufanya mapenzi na yuko tiari kufanya chochote nitakacho sema, sirudii wanawake badilikeni jamani.