EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
KweliWe baki ila jua kuna possibility kubwa ya ww ndio kuwa adui yao mpya
Ndio maana nimekwambia toka nduki[emoji382][emoji382][emoji382]Wala awahangaiki siku hizi unapewa sumu ya taratibu kupitia chai miezi sita tu wanagawana urithi.Marehemu alikufa kwa tatizo la ini.
Mara nyingi Sana mke Mdogo ndo ana chance kubwa ya kukua kuliko Mkubwa Mdogo ufata mali.Mkubwa mmepita wote kwenye milima na mabonde wadogo huwa huja kwenye mteremko.
Maadui ni C(c&d)M wameoatatana juu ya [emoji382][emoji382][emoji382]Kama hofu yako ni kupatana kwao unachotakiwa kufanya ni kuwagombanisha tu... simple like that!!!
Tena nikikumbuka enzi zangu za utoto... yaani nikifika mahali hata kama wenzangu walikuwa wanacheza kwa amani; hapo lazima nishawishi watu wazichape! Na wallah watazichapa tu, na baada ya hapo nabaki roho kwaaatu!!
Aisee hapo tahadhari ni muhimu na umakini maana kuwaelewa ni ngumuYaani wake zako walikuwa mahasimu kwelikweli hadi kutishiana kuwekeana sumu na pengine walishazichapa saana mbele yako huku ukipambana kuwaamua.
Leo unarudi zako home baada ya mihangaiko yako unawakuta wanakula sahani moja na kucheka huku wakigonga "hi5" ndugu umekwisha!
Toka nduki
[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]View attachment 1871530
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Chief ongeza mke wa tatu ni nadra Sana watatu kuungana ni lzm mmoja atakuwa upande wako atokusaliti
Instinct za kichawi hizo[emoji2]Kama hofu yako ni kupatana kwao unachotakiwa kufanya ni kuwagombanisha tu... simple like that!!!
Tena nikikumbuka enzi zangu za utoto... yaani nikifika mahali hata kama wenzangu walikuwa wanacheza kwa amani; hapo lazima nishawishi watu wazichape! Na wallah watazichapa tu, na baada ya hapo nabaki roho kwaaatu!!
Kama ni za kugombanisha wives, hizo ni instincts za kibeberu... Divide and Rule 🤣😀 🤣!!Instinct za kichawi hizo[emoji2]
Ni kwako tu me wang[emoji116]Yaani wake zako walikuwa mahasimu kwelikweli hadi kutishiana kuwekeana sumu na pengine walishazichapa saana mbele yako huku ukipambana kuwaamua.
Leo unarudi zako home baada ya mihangaiko yako unawakuta wanakula sahani moja na kucheka huku wakigonga "hi5" ndugu umekwisha!
Toka nduki