Wake zako wawili wakianza kupatana UMEKWISHA!

Wake zako wawili wakianza kupatana UMEKWISHA!

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
21,711
Reaction score
35,644
Yaani wake zako walikuwa mahasimu kwelikweli hadi kutishiana kuwekeana sumu na pengine walishazichapa saana mbele yako huku ukipambana kuwaamua.

Leo unarudi zako home baada ya mihangaiko yako unawakuta wanakula sahani moja na kucheka huku wakigonga "hi5" ndugu umekwisha!

Toka nduki
 
Wala awahangaiki siku hizi unapewa sumu ya taratibu kupitia chai miezi sita tu wanagawana urithi.Marehemu alikufa kwa tatizo la ini.

Mara nyingi Sana mke Mdogo ndo ana chance kubwa ya kukua kuliko Mkubwa Mdogo ufata mali.

Mkubwa mmepita wote kwenye milima na mabonde wadogo huwa huja kwenye mteremko.
 
Kama hofu yako ni kupatana kwao unachotakiwa kufanya ni kuwagombanisha tu... simple like that!!!

Tena nikikumbuka enzi zangu za utoto... yaani nikifika mahali hata kama wenzangu walikuwa wanacheza kwa amani; hapo lazima nishawishi watu wazichape! Na wallah watazichapa tu, na baada ya hapo nabaki roho kwaaatu!!
 
Dawa ni sisi wanaume wote tutembee na hii kitu kama begi muda wote bila hivyo watatumaliza hawa viumbe.




images (38).jpeg
 
Wala awahangaiki siku hizi unapewa sumu ya taratibu kupitia chai miezi sita tu wanagawana urithi.Marehemu alikufa kwa tatizo la ini.
Mara nyingi Sana mke Mdogo ndo ana chance kubwa ya kukua kuliko Mkubwa Mdogo ufata mali.Mkubwa mmepita wote kwenye milima na mabonde wadogo huwa huja kwenye mteremko.
Ndio maana nimekwambia toka nduki[emoji382][emoji382][emoji382]
 
Kama hofu yako ni kupatana kwao unachotakiwa kufanya ni kuwagombanisha tu... simple like that!!!

Tena nikikumbuka enzi zangu za utoto... yaani nikifika mahali hata kama wenzangu walikuwa wanacheza kwa amani; hapo lazima nishawishi watu wazichape! Na wallah watazichapa tu, na baada ya hapo nabaki roho kwaaatu!!
Maadui ni C(c&d)M wameoatatana juu ya [emoji382][emoji382][emoji382]
 
Yaani wake zako walikuwa mahasimu kwelikweli hadi kutishiana kuwekeana sumu na pengine walishazichapa saana mbele yako huku ukipambana kuwaamua.

Leo unarudi zako home baada ya mihangaiko yako unawakuta wanakula sahani moja na kucheka huku wakigonga "hi5" ndugu umekwisha!

Toka nduki

[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]View attachment 1871530
Aisee hapo tahadhari ni muhimu na umakini maana kuwaelewa ni ngumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hofu yako ni kupatana kwao unachotakiwa kufanya ni kuwagombanisha tu... simple like that!!!

Tena nikikumbuka enzi zangu za utoto... yaani nikifika mahali hata kama wenzangu walikuwa wanacheza kwa amani; hapo lazima nishawishi watu wazichape! Na wallah watazichapa tu, na baada ya hapo nabaki roho kwaaatu!!
Instinct za kichawi hizo[emoji2]
 
Yaani wake zako walikuwa mahasimu kwelikweli hadi kutishiana kuwekeana sumu na pengine walishazichapa saana mbele yako huku ukipambana kuwaamua.

Leo unarudi zako home baada ya mihangaiko yako unawakuta wanakula sahani moja na kucheka huku wakigonga "hi5" ndugu umekwisha!

Toka nduki
Ni kwako tu me wang[emoji116]
FB_IMG_16231550216108372.jpg
 
Back
Top Bottom