M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Wakati wa uchumba ulikuwa unajitahid kukata " mauno " mwanzo - mwisho mpaka nikasema hapa nimepata. Sasa tumefunga ndoa na una watoto wawili ndani, lakini mauno umesitisha, kulikoni?
Yaani in-short care na utundu kitandani umepungua kama sio kupotea kabisa. Jamani mnataka twende wapi sisi wa ndoa ya mke mmoja? Bora wenzetu wa upande wa pili wanaruhusiwa wake wanne at a time, pia kwao talaka imeruhusiwa tofauti na sisi huku.
Wake zetu badilikeni.
cc. Baba Paroko,
Bcc. Askofu, Nabii, mtume, Dr....
Yaani in-short care na utundu kitandani umepungua kama sio kupotea kabisa. Jamani mnataka twende wapi sisi wa ndoa ya mke mmoja? Bora wenzetu wa upande wa pili wanaruhusiwa wake wanne at a time, pia kwao talaka imeruhusiwa tofauti na sisi huku.
Wake zetu badilikeni.
cc. Baba Paroko,
Bcc. Askofu, Nabii, mtume, Dr....