Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Mwambie mkeo akuvalieNimemiss MIUNO na SHANGA kiunoni!!!Daah yaani natamani nirudie wale wa kununua pale kati lakini ndo vile tena nishaoa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie mkeo akuvalieNimemiss MIUNO na SHANGA kiunoni!!!Daah yaani natamani nirudie wale wa kununua pale kati lakini ndo vile tena nishaoa.
Hahahhh mzee wa kanisa mbona una tamaa hivoJamani sasa sisi wapenda mauno tukayapatie wapi? na dini ishakataza kutoka nje ya ndoa? Na hawa mashemeji zetu tunaoishi nao full mitego khanga moja anapita mbele yako mimate inakutoka, ubb.oo kuusimamisha. Wengine wazee wa kanisa jamani, tunahesabu sadaka kanisani pia tuna udhu!
Wala usiogope ingiayan izi changamoto kwa walio tangulia kuoa huwa zinanikatisha tamaa ya kuoa
[emoji28][emoji28]aanze yeye na ata shanga wanaume siku hizi wanavaawakati wa uchumba tulikuwa tunapiga kampeni nishapata uraisi kampeni za nini tena?
watoto wawili anachoka kulea jamani na usiku tena akatike loh mbona hivyo.. embu anza wewe kukatika mkuu
Niingiie tuWala usiogope ingia
mnalala kama magogo tukianza kunyemelea tu-hausigeli mnanuna. Jitumeni Ndoa kitu gani?? mkizubaa tutazaa na mahausigeli mamaeee tushachokaaaa.
cc. Mfalme Mswaki
ha ha haha asije kuambiwa analiwa mzigo[emoji28][emoji28]aanze yeye na ata shanga wanaume siku hizi wanavaa
Hata wewe unaweza kukata hayo mauno si lazima akate mkeoJamani sasa sisi wapenda mauno tukayapatie wapi? na dini ishakataza kutoka nje ya ndoa? Na hawa mashemeji zetu tunaoishi nao full mitego khanga moja anapita mbele yako mimate inakutoka, ubb.oo kuusimamisha. Wengine wazee wa kanisa jamani, tunahesabu sadaka kanisani pia tuna udhu!
Mkeo ana kazi nyingi sana zaidi ya kukata mauno kakwo,awali mlikua wawili sasa hivi mpo wa 4 unatarajia maisha ya wawili yaendelee kuwepo, mgongo na kiuno chake unabeba mzigo mkubwa wa malez kuliko shahawa zako kama vipi we jikatie viuno vyako wakati wa tendo kujiridhisha nafs yakoWakati wa uchumba ulikuwa unajitahid kukata " mauno " mwanzo - mwisho mpaka nikasema hapa nimepata. Sasa tumefunga ndoa na una watoto wawili ndani, lakini mauno umesitisha, kulikoni?
Yaani in-short care na utundu kitandani umepungua kama sio kupotea kabisa. Jamani mnataka twende wapi sisi wa ndoa ya mke mmoja? Bora wenzetu wa upande wa pili wanaruhusiwa wake wanne at a time, pia kwao talaka imeruhusiwa tofauti na sisi huku.
Wake zetu badilikeni.
cc. Baba Paroko,
Bcc. Askofu, Nabii, mtume, Dr....
mie mwanamke akate asikate kwangu poa ila chamuhimu utamu kila mtu apate nakuridhika
Hahahaha jamanVery true,mbaya zaidi badala azungumze nae...analeta huku hahahaa.
Mauno hata Bob Junior anayo,amkodishe akamfue mkewe.
HahHahahawakati wa uchumba tulikuwa tunapiga kampeni nishapata uraisi kampeni za nini tena?
watoto wawili anachoka kulea jamani na usiku tena akatike loh mbona hivyo.. embu anza wewe kukatika mkuu
Asante... .Unataka mtu aliyezaa watoto wawili aendelee kufanya mambo aliyofanya kabla hajazaa?
Wewe ushazaa hata mmoja ujue dhahma yake?
Halafu ukute mke anaamka saa kumi analala saa sita.. hapo hajaparamiwa......Hamu imemuishaa anawaza wanae
Si uwe wazi Mkuu?Tukianza mechi na ma-hausigeli FULL KUNUNA, tena walivyo na mashine mnato ndo tutalowea humo. Jiongezeni nyie wamama. Kuolewa sio kujisahau namna hiyo.
mnalala kama magogo tukianza kunyemelea tu-hausigeli mnanuna. Jitumeni Ndoa kitu gani?? mkizubaa tutazaa na mahausigeli mamaeee tushachokaaaa.
cc. Mfalme Mswaki