Wake zetu mbona hamjishughulishi tuwapo faragha kama enzi za uchumba?

Wake zetu mbona hamjishughulishi tuwapo faragha kama enzi za uchumba?

Jamani sasa sisi wapenda mauno tukayapatie wapi? na dini ishakataza kutoka nje ya ndoa? Na hawa mashemeji zetu tunaoishi nao full mitego khanga moja anapita mbele yako mimate inakutoka, ubb.oo kuusimamisha. Wengine wazee wa kanisa jamani, tunahesabu sadaka kanisani pia tuna udhu!
Hahahhh mzee wa kanisa mbona una tamaa hivo
 
wakati wa uchumba tulikuwa tunapiga kampeni nishapata uraisi kampeni za nini tena?

watoto wawili anachoka kulea jamani na usiku tena akatike loh mbona hivyo.. embu anza wewe kukatika mkuu
[emoji28][emoji28]aanze yeye na ata shanga wanaume siku hizi wanavaa
 
mnalala kama magogo tukianza kunyemelea tu-hausigeli mnanuna. Jitumeni Ndoa kitu gani?? mkizubaa tutazaa na mahausigeli mamaeee tushachokaaaa.
cc. Mfalme Mswaki

ha ha haaa,povuuu
 
Kiwango kimeshuka hiyo ni kawaida ya michezo yote hivyo michezo ya kikubwa au inavyoitwa michezo ya kitandani ni kama michezo mingine ndio maana utaskia mi bao zangu 3-4 nk kama mpira tu.
 
Jamani sasa sisi wapenda mauno tukayapatie wapi? na dini ishakataza kutoka nje ya ndoa? Na hawa mashemeji zetu tunaoishi nao full mitego khanga moja anapita mbele yako mimate inakutoka, ubb.oo kuusimamisha. Wengine wazee wa kanisa jamani, tunahesabu sadaka kanisani pia tuna udhu!
Hata wewe unaweza kukata hayo mauno si lazima akate mkeo
 
Wakati wa uchumba ulikuwa unajitahid kukata " mauno " mwanzo - mwisho mpaka nikasema hapa nimepata. Sasa tumefunga ndoa na una watoto wawili ndani, lakini mauno umesitisha, kulikoni?

Yaani in-short care na utundu kitandani umepungua kama sio kupotea kabisa. Jamani mnataka twende wapi sisi wa ndoa ya mke mmoja? Bora wenzetu wa upande wa pili wanaruhusiwa wake wanne at a time, pia kwao talaka imeruhusiwa tofauti na sisi huku.

Wake zetu badilikeni.

cc. Baba Paroko,
Bcc. Askofu, Nabii, mtume, Dr....
Mkeo ana kazi nyingi sana zaidi ya kukata mauno kakwo,awali mlikua wawili sasa hivi mpo wa 4 unatarajia maisha ya wawili yaendelee kuwepo, mgongo na kiuno chake unabeba mzigo mkubwa wa malez kuliko shahawa zako kama vipi we jikatie viuno vyako wakati wa tendo kujiridhisha nafs yako
 
Kumbe wote wamefanana baada ya kuolewa na kuzaa
 
Tukianza mechi na ma-hausigeli FULL KUNUNA, tena walivyo na mashine mnato ndo tutalowea humo. Jiongezeni nyie wamama. Kuolewa sio kujisahau namna hiyo.
Si uwe wazi Mkuu?

Kuwa kuna hg unamnyemelea hivyo unatafuta sababu?????

Kama yeye hakati kwa nini wewe usikate hicho kiuno? Tena itasaidia kumkuna kotekote na kifikia mshindo vizuri....
mnalala kama magogo tukianza kunyemelea tu-hausigeli mnanuna. Jitumeni Ndoa kitu gani?? mkizubaa tutazaa na mahausigeli mamaeee tushachokaaaa.
cc. Mfalme Mswaki
 
Back
Top Bottom